Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Thomas Tuchel kakutana na Ole mara tatu kashinda mara moja na kafungwa mara mbili pale pale Parc de princes nani ana uwezo kuliko mwenzake ?
Hehehe Ole kashawapa United ligi mara ngapi? Kawafikisha united fainali au nusu ucl mara ngapi?
 
Hehehe Ole kashawapa United ligi mara ngapi? Kawafikisha united fainali au nusu ucl mara ngapi?
Unazungumzia UCL huu ni msimu wa kwanza kaingia na timu yake mwenyewe huko UCL.

Msimu aliomtoa PSG alifika quarterfinal na squad ile wakati PSG alishia 16.

Tuchel kafika quarterfinal mara moja tu na mbili tu akiwa na psg.
 
Miaka 8 nyuma man u angekutana na psg dhahiri psg angeonekana underdog ila siyo leo. Vumilia ila ndiyo ukweli.
Naona umeng'ang'ana na underdogs sana.
First of all define underdogs?

Second hao underdogs ndio waeshinda. Kuna ubaya
 
Of course haiwezi badilisha the fact that underdog ni man u
Wachambuzi uchwara wanakuharibu,,,
Man u itakuwaje under dog? Kwa PSG?
Man u ni club namba moja duniani kwa ukubwa,,utajiri na kuwa na supporters wengi duniani,,
Wakati PSG ni club ya kumi duniani kwa u kubwa na supporters..
Usifananishe man u na vitu vya hovyo hovyo mkuu..
 
★Manchester United have announced a loss of £70m in annual revenue due to the effects of the coronavirus pandemic.★


manutd |
IMG_20201022_180643_263.jpeg
 
Huyu dogo sijui anajiona star sana hata simuelewi. Timu ya taifa walimtimua yeye na Foden. Huku penye ugali ameanza tena.
Screenshot_2020-10-22-18-26-50.jpg
 
Thomas Tuchel kakutana na Ole mara tatu kashinda mara moja na kafungwa mara mbili pale pale Parc de princes nani ana uwezo kuliko mwenzake ?
Sasa msije kutupigia kelele kuwa ole hafai, maana weekend sio mbali
 
Back
Top Bottom