Hehehe Ole kashawapa United ligi mara ngapi? Kawafikisha united fainali au nusu ucl mara ngapi?Thomas Tuchel kakutana na Ole mara tatu kashinda mara moja na kafungwa mara mbili pale pale Parc de princes nani ana uwezo kuliko mwenzake ?
Hehehe Ole kashawapa United ligi mara ngapi? Kawafikisha united fainali au nusu ucl mara ngapi?Thomas Tuchel kakutana na Ole mara tatu kashinda mara moja na kafungwa mara mbili pale pale Parc de princes nani ana uwezo kuliko mwenzake ?
Unazungumzia UCL huu ni msimu wa kwanza kaingia na timu yake mwenyewe huko UCL.Hehehe Ole kashawapa United ligi mara ngapi? Kawafikisha united fainali au nusu ucl mara ngapi?
Naona umeng'ang'ana na underdogs sana.Miaka 8 nyuma man u angekutana na psg dhahiri psg angeonekana underdog ila siyo leo. Vumilia ila ndiyo ukweli.
Hata PSG ikiwa imesheheni mastaa wa kila aina bado haiwezikuwa timu kubwa kwa Manchester united..Wolves kaifunga City mara tatu...
Bado zikikutana anayeonekana favorite kushinda ni City.
Usifananishe leage 1 na premier leage mkuu,,Hehehe Ole kashawapa United ligi mara ngapi? Kawafikisha united fainali au nusu ucl mara ngapi?
Wachambuzi uchwara wanakuharibu,,,Of course haiwezi badilisha the fact that underdog ni man u
Ss kuhusu ubingwa ndg hata ungekuwa ni wewe kocha wa psg ungechukua.Hehehe Ole kashawapa United ligi mara ngapi? Kawafikisha united fainali au nusu ucl mara ngapi?
Hata bayan mkuu,,man u bado sio under dog ,,Tena anakuambia underdog kwa psg bora ingelikuwa ni Bayern![]()
Unaongea pumba we mtuHahaha kwani kinachowauma ni kipi? Watu tunazungumzia performance za timu miaka ya karibuni. Ukubwa wa kihistoria? Mashabiki? Uchumi? Obviously man u kazizidi timu nyingi siyo psg tu
Hizi ni pumba kwakua wewe ni kukuUnaongea pumba we mtu
Hawa Chevrolet watoke tuu hatuna upepo nao.★Official: MU's original contract with Chevrolet has been extended by six months to December 31 2021.★
#GGMU
manutd | View attachment 1608694
Kuandika tu hujuiMkuu unachafua hali ya hewa, bola utulie tu, usini tafutie ban bule.
Hao PSG wako kila siku tuna wagonga alafu unatuita under dog!?

Beki zao zote zinaanza, na washambuliji wenu kule hata bench hawakaiMkuu ukiondoa font three ya psg ni nani ana quality ya kuwa first eleven ya United
AvumilieMiaka 8 nyuma man u angekutana na psg dhahiri psg angeonekana underdog ila siyo leo. Vumilia ila ndiyo ukweli.
Sasa msije kutupigia kelele kuwa ole hafai, maana weekend sio mbaliThomas Tuchel kakutana na Ole mara tatu kashinda mara moja na kafungwa mara mbili pale pale Parc de princes nani ana uwezo kuliko mwenzake ?
SikupingiUsifananishe leage 1 na premier leage mkuu,,
Leage 1 ni laini sana tu..
Hata wachezaji wake ni wa mafungu..
Wanaopiga hizo kelele ni mashabiki wa ArsenalSasa msije kutupigia kelele kuwa ole hafai, maana weekend sio mbali