
Nina wasiwasi na mazoea ya kuwafunga psg, kisha baada ya hapo tunazorota.

Msimu wa 2018/19, baada ya kumnyuka psg na kumuondoa kwenye mashindano ya UCL, game iliyofuata ilikuwa na arsenane EPL.

Tena kabla ya psg mashabiki tuliomba miujiza ya MUNGU itendeke, na kweli tukawatoa psg.

Game na asrenane, mashabiki wa Man Utd tukajisemea, eti MUNGU apumzike, asrenane ni mteja wetu.

Kilichofuata nadhani wote tunajua, tulikula mkong'oto wa goli 2 kavu, na baada ya hapo tulipotea mazima hadi msimu unaisha, timu ilikuwa tia maji tia maji.

Game ya chelsea naiona kama ni game ambayo itatufanya tu gain confidence zaidi, maana EPL tumeanza vibaya kiukweli.

Vinginevyo chelsea anaweza akazinduka kwa kuanzia game yetu, maana mara ya mwisho alituotea goli la 3, magoli 2 yalikuwa ya kizembe.

Na prefer game na chelsea iwe hivi:-

Dean henderson

Brandon williams

Axel tuanzebe

Eric betrand bailly

Aaron wan bissaka

Scott mc tominay

Fred

Alex telles

Marcus rashford

Bruno fernandez

Edison Cavan

Substitution iwe hivi:-

Juan Mata

Victor lindelof

Paul pogba

Donny van de beek

Daniel james

Nemanja matic

Mason greenwood