Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu unachafua hali ya hewa, bola utulie tu, usini tafutie ban bule.
Hao PSG wako kila siku tuna wagonga alafu unatuita under dog!?
Watford kamfunga liva ila wakikutana tena bado Watford atakua underdog tu.
 
Mkuu unachafua hali ya hewa, bola utulie tu, usini tafutie ban bule.
Hao PSG wako kila siku tuna wagonga alafu unatuita under dog!?
Alafu nahisi kama tutawagonga nyingi pale OT mana watakamia game ili kuvunja uteja wkt huo Utd itakuwa imerelax, mind u kipindi hicho team itakuwa imeshakuwa organized ukiunganisha na new signing
 
Our 25-man squad for the 2020/21 #PL season has been submitted...★


manutd |
IMG_20201022_124956_948.jpeg
 
Nina wasiwasi na mazoea ya kuwafunga psg, kisha baada ya hapo tunazorota.
Msimu wa 2018/19, baada ya kumnyuka psg na kumuondoa kwenye mashindano ya UCL, game iliyofuata ilikuwa na arsenane EPL.
Tena kabla ya psg mashabiki tuliomba miujiza ya MUNGU itendeke, na kweli tukawatoa psg.
Game na asrenane, mashabiki wa Man Utd tukajisemea, eti MUNGU apumzike, asrenane ni mteja wetu.
Kilichofuata nadhani wote tunajua, tulikula mkong'oto wa goli 2 kavu, na baada ya hapo tulipotea mazima hadi msimu unaisha, timu ilikuwa tia maji tia maji.
Game ya chelsea naiona kama ni game ambayo itatufanya tu gain confidence zaidi, maana EPL tumeanza vibaya kiukweli.
Vinginevyo chelsea anaweza akazinduka kwa kuanzia game yetu, maana mara ya mwisho alituotea goli la 3, magoli 2 yalikuwa ya kizembe.
Na prefer game na chelsea iwe hivi:-
Dean henderson
Brandon williams
Axel tuanzebe
Eric betrand bailly
Aaron wan bissaka
Scott mc tominay
Fred
Alex telles
Marcus rashford
Bruno fernandez
Edison Cavan

Substitution iwe hivi:-
Juan Mata
Victor lindelof
Paul pogba
Donny van de beek
Daniel james
Nemanja matic
Mason greenwood
 
Nina wasiwasi na mazoea ya kuwafunga psg, kisha baada ya hapo tunazorota.
Msimu wa 2018/19, baada ya kumnyuka psg na kumuondoa kwenye mashindano ya UCL, game iliyofuata ilikuwa na arsenane EPL.
Tena kabla ya psg mashabiki tuliomba miujiza ya MUNGU itendeke, na kweli tukawatoa psg.
Game na asrenane, mashabiki wa Man Utd tukajisemea, eti MUNGU apumzike, asrenane ni mteja wetu.
Kilichofuata nadhani wote tunajua, tulikula mkong'oto wa goli 2 kavu, na baada ya hapo tulipotea mazima hadi msimu unaisha, timu ilikuwa tia maji tia maji.
Game ya chelsea naiona kama ni game ambayo itatufanya tu gain confidence zaidi, maana EPL tumeanza vibaya kiukweli.
Vinginevyo chelsea anaweza akazinduka kwa kuanzia game yetu, maana mara ya mwisho alituotea goli la 3, magoli 2 yalikuwa ya kizembe.
Na prefer game na chelsea iwe hivi:-
Dean henderson
Brandon williams
Axel tuanzebe
Eric betrand bailly
Aaron wan bissaka
Scott mc tominay
Fred
Alex telles
Marcus rashford
Bruno fernandez
Edison Cavan

Substitution iwe hivi:-
Juan Mata
Victor lindelof
Paul pogba
Donny van de beek
Daniel james
Nemanja matic
Mason greenwood
Sema hapo kwa Baily na Tuanzebe, mmoja ampishe Lindolf.

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
 
Detective J ruralofficer mnachotaka kuanzisha ni ubishi.

PSG ingawa ana majeruhi 7 wa first 11 lakini bado betting companies zikampa man u points 6 psg kagewa 1.

Now kwakua you need to feed your ego ngoja niandike hivi;

Psg walikua favorite kushinda mechi kuliko man u based on recent years performance, kikosi, uwezo wa wachezaji na uwezo wa kocha wao.

Hapo sawa?
Bora ukae kimya kijana.

Find something better to do.

Unachosema hakibadilishi kitu.
 
Mkuu umeanza kushabikia mpira ln?
Hivi man u ataanzaje kuwa under dog kwa PSG?
Tena timu ambayo imeshaifunga Mara 2 mfululizo?
Wolves kaifunga City mara tatu...

Bado zikikutana anayeonekana favorite kushinda ni City.
 
Detective J ruralofficer mnachotaka kuanzisha ni ubishi.

PSG ingawa ana majeruhi 7 wa first 11 lakini bado betting companies zikampa man u points 6 psg kagewa 1.

Now kwakua you need to feed your ego ngoja niandike hivi;

Psg walikua favorite kushinda mechi kuliko man u based on recent years performance, kikosi, uwezo wa wachezaji na uwezo wa kocha wao.

Hapo sawa?
Thomas Tuchel kakutana na Ole mara tatu kashinda mara moja na kafungwa mara mbili pale pale Parc de princes nani ana uwezo kuliko mwenzake ?
 
Back
Top Bottom