Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Dogo anakukera mara kumi anakufurahisha mojaNileteeni rashford
Nileteeni rashford
Nileteeni rashfoooooord
Nileteeni rashfoooooooooord
PSG ni genge la wahuni
CHELSEA ni utopolo fc
Madrid hana jipya uefa toka aondoke ronaldo.....Kuna tabia ipo UEFA, timu moja ikipindua meza na nyingine zinafuata mkumbo.
Naona hii ni wiki ya underdogs kushangaza watu.
Kaanza man u jana. Leo Shakhtar Donetsk anamuadhibu Madrid, dk y 40+ tayari Madrid anaongozwa tatu bila.
Nawasubiri Atletico na Ajax
Kiburi cha Zidane kinaicost timu.Madrid hana jipya uefa toka aondoke ronaldo.....
Ronaldo ameondoka zidane sio kocha.Kiburi cha Zidane kinaicost timu.
Madrid hana jipya uefa toka aondoke ronaldo.....
Kuna uzi fulani tulikua tunabishana kama Guardiola ni kocha mzuri ama la ule uzi ulimuweka Zidane tatu bora ya makocha duniani.Ronaldo ameondoka zidane sio kocha.
We jamaa lazima timu yako itakuwa inacheza futuhi tu yani Man U ni underdogKuna tabia ipo UEFA, timu moja ikipindua meza na nyingine zinafuata mkumbo.
Naona hii ni wiki ya underdogs kushangaza watu.
Kaanza man u jana. Leo Shakhtar Donetsk anamuadhibu Madrid, dk y 40+ tayari Madrid anaongozwa tatu bila.
Nawasubiri Atletico na Ajax
Huenda na Arsenal nao wakapindua mezaKuna tabia ipo UEFA, timu moja ikipindua meza na nyingine zinafuata mkumbo.
Naona hii ni wiki ya underdogs kushangaza watu.
Kaanza man u jana. Leo Shakhtar Donetsk anamuadhibu Madrid, dk y 40+ tayari Madrid anaongozwa tatu bila.
Nawasubiri Atletico na Ajax