Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,478
ndio combo ya unbeaten run usisahau, timu ikipaki bus midfield ya Mctominay na Fred inakuwa ya kawaida, refer round ya kwanza msimu uliopita alipoumia pogba na matic. ila kwenye games kubwa no doubt jamaa wapo vizuri sana.Matic+Pogba+Fernandes isipewe kipaumbele..tunakuwa so inbalanced
Mkuu wewe humpendi
Na hili ndio tatizo ninaloliaona kwa mashabiki wengi
Mfano kipindi kile cha Jose watu walikuwa wanaombea Man Utd wapigwe ili ku prove point kwamba Jose hafai
Inawezekana leo kuna mashabiki wa United wamejisikia unyonge/vibaya Man Utd kushinda kwa kuwa tu timu chini ya Ole imeshinda
Haitakiwi kumpenda kocha/mchezaji kuliko unavyoipenda timu yako na kushabikia timu ishinde au ifungwe just to prove your point
Hii psg inacheza kifala halafu man u wanashindwa kumaliza
Huyu atakuja kuwa beki mzuri kama atapewa mazingira mazuri ya kudevelop zaidi..sema ni injury prone mama.eUmemsahau Tuanzebe
He was exceptional.. Nadhani he could top the list
wewe MBUZI wa arsenal baada ya kupigwa na man city ukaamua ubadilishe na ID ili tusikushtukie mbuzi wewe ... nasikia pia man u wamepigwa wiki huko nilijua utakuja na matokeo harakaNgoja tuwa amshe View attachment 1590706
Mtaishia kupiga ndondo hvyo hvyoHii psg inacheza kifala halafu man u wanashindwa kumaliza
Tulishinda ndio..ila Pogba hakuwa ana influence mechi,na Fernandes alikuwa moto kushinda hata form aliyoanza nayo ligi msimu huu..tupeane time tuone siku Ole akiwapanga consecutively tutawajudge upyaKwahiyo past lockdown tulikutana na timu laini laini pekee ?
.Mkuu unashindaje hapo...Mata ni mpishi mzuri umemweka bench, James juzi kaonesha mpira mkubwa sana (alitiririka sana) ilitakiwa kwa njia yoyote Martial aanzie bench. Huyo Cavani hata benchi hayupo. Haka kakocha ni takataka kabisa.
Naona saiv suala la Squad depth....ndio combo ya unbeaten run usisahau, timu ikipaki bus midfield ya Mctominay na Fred inakuwa ya kawaida, refer round ya kwanza msimu uliopita alipoumia pogba na matic. ila kwenye games kubwa no doubt jamaa wapo vizuri sana.
Wakuu tuappreciate effort za TUANZEBE sipati picha angekua Maguire mbape angekua anapepea.
TUANZEBE in.
Nimefurahi sana.
Ila Rashford kuna counter kanikera asee.
Surendio combo ya unbeaten run usisahau, timu ikipaki bus midfield ya Mctominay na Fred inakuwa ya kawaida, refer round ya kwanza msimu uliopita alipoumia pogba na matic. ila kwenye games kubwa no doubt jamaa wapo vizuri sana.
issue kule kulia, tukimaliza kule sasa tunaanza ku improve nafasi moja moja.Naona saiv suala la Squad depth....
Linaelekea kuwa sio tatizo tena,
Mnachagua hizo mid Mnavyotaka, safi sana.
Ole nampa time naamini bado ana kazi kubwa ya kufanya..we are not there aisee,badobado
Nilikuwa saloon jioni jioni jamaa wakawa wanasikiliza sports redioni,nikasikia kuwa bado tunamtaka dembele january..hizi tetesi zipo?issue kule kulia, tukimaliza kule sasa tunaanza ku improve nafasi moja moja.
Waliosema tusubiri PSG wamesepa
tetesi za goal.com, hawaaminiki, sijaona kina romano wakipostNilikuwa saloon jioni jioni jamaa wakawa wanasikiliza sports redioni,nikasikia kuwa bado tunamtaka dembele january..hizi tetesi zipo?
Maana nimeona ni ujinga tu kumsajili dembele
Siyo Axel na the Iceman?Mimi ni kati ya watu ninaamini kwamba United tuna wachezaji wazuri, kwa Uingereza tupo miongoni mwa top 4 ya timu zenye vikosi vizuri
Mimi ni kati ya watu wanaotaka sana legendary mchezaji wetu Ole afanikiwe pia akiwa kocha
Tatizo la Ole hana consistence, amekuwa kocha mwenye mafanikio kwa mechi kubwa (timu kubwa) ambazo ni chache, ndio maana kuna wakati ninaamini ni kocha mzuri kwenye hamasa na man Management kuliko mbinu
Leo ametumia mbinu nzuri ya kuwaheshimu PSG na kucheza counter attack
Pia hakuweka sana high line ambayo kibelenge Mbape ndio huwa anataka
Ameweza pia kumdhibiti Neymar kutokana na tabia yake ya show game na kung'ang'ania mipira... Kila alipokaa na mipira sekunde mbili akajikuta amezungukwa na watu kama akina Fred na Tominay na kunyang'anywa mipira
Pia ameweza kuwatumia Axel na Shaw kwenye kuwadhibiti wakimbeza Mwenge wote wa PSG pindi unapopigwa mpira wa mbio mbio
My concern Tuanzebe leo ameanza out of necessity, Maquire akipona Lindelof na Maquire watarudi kwenye namba zao (mimi nataka Tuanzebe na Maguire ndio waanze)