radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Mourinho leo kakipata cha mtema kumi...3-3 baada ya kuwa mbele kwa goli tatu
Nadhani msimu huu tutapata matokeo ya kushangaza kote ulaya..
Sijui ni ratiba iliyovurugwa na corona,mashabiki kutokuwepo uwanjani au giants wamebaki majina tu?..IDK kwa kweli,ila kuna namna klabu zimeathirika



walianza kwa moto had nikajua mambo safi nikasepa kilichotokea ndio hicho daaaa ila kad nyekundu ilituharibia kwa hawa jamaa



★
Juan Mata’s game by numbers vs. Newcastle United:
CHALLENGE!

★