Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Spurs ya Poch ilishasnza kuporomoka. Tukubali, kiufundi Mou ni among world best. Ataweza ku-deliver sababu Spurs hakuna Pressure. United pressire ni kubwa kuanzia Wachezaji hadi kwa mwalimu.

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app

Mourinho sio kuzidiwa na pressure ya united kapita madrid,chelsea,inter milan na porto labda porto tunaweza kusema ni timu ndogo lakin hizo timu zote zina pressure tatizo la hii timu bodi ipo kibiashara wachezaj wote alikkuwa akiwataka kama chaguo la kwanza hakupata ndipo mgogoro ukaanza.

Alisema kumaliza nafasi ya pili na hii timu yaani timu yetu ni mafanikio makubwa sana ktk ngazi yake ya ukocha wengi tuliona utani leo wakina smalling na jones hawapo ambao walikuwa mabek wa mourinho.

Nakubali pochetino alianza kuporomoka hasa kimbinu rejea post yangu nimeandika hivi

"Pochetina alijitahidi kuandaa timu"" jikite hapo hakuna mahali nimesema mourinho hana mbinu

Nikamalizia mourinho anaweza kupata kitu kama son na kane wakiwa fiti.
 
Kwanza ole namchukulia ni kocha mwenye uwezo Mdogo na asiye na maono. Kuna mtu humu alisema kuliko kumtoa diogo dalot kwa kuwa hatuna winga Wa kulia na Dogo alionyesha angalau kuwa na uwezo Wa kupiga krosi basi angemjaribu huko saba kama aliona fullback haimfai. Binafsi nakubaliana na hili wazo na ninaamini inge click!

Kabisa dalot hakuwa na sababu ya kutoka ni mzur sana kwenda mbela naweza kusema hata james anaweza kusubir kwa huyo bwana mdogo japo ni vitu viwili tofauti
 
IMG_0084.jpg
 
Kwanza ole namchukulia ni kocha mwenye uwezo Mdogo na asiye na maono. Kuna mtu humu alisema kuliko kumtoa diogo dalot kwa kuwa hatuna winga Wa kulia na Dogo alionyesha angalau kuwa na uwezo Wa kupiga krosi basi angemjaribu huko saba kama aliona fullback haimfai. Binafsi nakubaliana na hili wazo na ninaamini inge click!
Umeonaee.
 
Mourinho leo kakipata cha mtema kumi...3-3 baada ya kuwa mbele kwa goli tatu

Nadhani msimu huu tutapata matokeo ya kushangaza kote ulaya..

Sijui ni ratiba iliyovurugwa na corona,mashabiki kutokuwepo uwanjani au giants wamebaki majina tu?..IDK kwa kweli,ila kuna namna klabu zimeathirika
 
Mmmh ndo epl iyo
Mourinho leo kakipata cha mtema kumi...3-3 baada ya kuwa mbele kwa goli tatu

Nadhani msimu huu tutapata matokeo ya kushangaza kote ulaya..

Sijui ni ratiba iliyovurugwa na corona,mashabiki kutokuwepo uwanjani au giants wamebaki majina tu?..IDK kwa kweli,ila kuna namna klabu zimeathirika
 
Mourinho leo kakipata cha mtema kumi...3-3 baada ya kuwa mbele kwa goli tatu

Nadhani msimu huu tutapata matokeo ya kushangaza kote ulaya..

Sijui ni ratiba iliyovurugwa na corona,mashabiki kutokuwepo uwanjani au giants wamebaki majina tu?..IDK kwa kweli,ila kuna namna klabu zimeathirika
Mashabiki walikuwa wanachangia kiasi kikubwa matokeo ya hizi team kubwa maana sahiv team on paper inaonekana iko home ila ile atmosphere ya kuwepo home haipo
 
Ili kusiwe na mkanganyiko huu Pogba auzwe hela nzuri halafu watumie hyo hela kuwekeza kwa mchezaji kama haaland na winga Wa kulia Mana viungo Wa kufanya kazi ya pogba tayari tunao tena wawili
unamuamini ED atamuuza pogba na kuleta winga wa kulia?
 
Back
Top Bottom