Pogba hakubadili game ya jana, at least kwa nilivyoona. Watu waliopiga mwingi sana jana no Mata na alipoingia VDB mchezo ulikua more direct. VDB hakai na mpira, akipokea anatoa na hata goli la Bruno ali play part kubwa tuu.Aliyebadili dira ya United ni Pogba. Ukiwa na Fred na Scot, kazi yao ni kutibua na si ku-create. James formation ya timu kwa sasa haim-accommodate vizuri, Donny ni mtu sahihi kucheza nafasi hiyo. Pogba bado licha ya makosa yake, anacheza mipira flani iliyokadriwa na ndiye starman wa United, though bitter to consume
Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Hiyo nafuu ya Chelsea kwa Man Utd ni ipi? Mmecheza mechi 5 mna points 8, Utd kacheza mechi 4 ana points 6. If you know the math and probability, then huwezi kusema Chelsea anaizidi Utd.Kwan ukicheza mechi kubwa hustahili kupata ushindi? Kifo ni kifo tu haijalishi ni kwa mshituko au kwa kuvamiwa. Kubali mkuu sote ni wabovu ila atleast mimi nina kauafadhali kidogo.
Labda nikukumbushe pengine wakati game ya Chelsea inaendelea hukufuatilia vizuri. Hakuna muda sisi tuliongoza 3 then The Saints wakaja kusawazisha sijui unazungumzia mechi gani mkuu.
Hapo ndipo huwa Ole ananishangaza sn, kwnn Pobga asicheze juu? Au hata pembeni awe kiungo wa kuingia ndani? Analazimisha kumchezesha chini kisa huwa anacheza hvyo France, France co Utd bhn.Pogba hakubadili game ya jana, at least kwa nilivyoona. Watu waliopiga mwingi sana jana no Mata na alipoingia VDB mchezo ulikua more direct. VDB hakai na mpira, akipokea anatoa na hata goli la Bruno ali play part kubwa tuu.
Jana timu ilicheza kwa morali, sema magoli yalikuja late. Kiungo cha Scott na Fred kina work rate kubwa sana, akianza Pogba kwenye hiyo pivot kunapotea sana mpira sababu Pogba anao anao sana. Pogba anakua mzuri akicheza juu, anapocheza Bruno.
Maguire jana kajitahidi sana, lakini watu tutasubiri aharibu ndio tuongee.
Sent from my VS835 using JamiiForums mobile app
unaelewa kwamba pogba akicheza juu anaempisha ni Fernandez? siku ole akimchezesha pogba juu na fernandez akatolewa pale si ndio mtazidi kumsimanga mzee wa watu?Hapo ndipo huwa Ole ananishangaza sn, kwnn Pobga asicheze juu? Au hata pembeni awe kiungo wa kuingia ndani? Analazimisha kumchezesha chini kisa huwa anacheza hvyo France, France co Utd bhn.
Kwn Bruno anacheza pembeni?unaelewa kwamba pogba akicheza juu anaempisha ni Fernandez? siku ole akimchezesha pogba juu na fernandez akatolewa pale si ndio mtazidi kumsimanga mzee wa watu?
Bruno anaweza cheza no.8 pogba akacheza no. 10 haina shida.unaelewa kwamba pogba akicheza juu anaempisha ni Fernandez? siku ole akimchezesha pogba juu na fernandez akatolewa pale si ndio mtazidi kumsimanga mzee wa watu?
Nashangaa bado kuna watu wanamuita hiyo jina Hahah. Mtu anayembeza Fernandes huwa naangalia na kumuona kuwa chuki ime cloud his judgement.
penalndez
Ili ucheze 8 na 10 inamaana ni 4-4-2 isiyo Diamond, hakuna winga hata mmoja labda james kidogo anaeweza kucheza mfumo huo utd, na ni mfumo wa kizamani ni kama hautumiki tena.Bruno anaweza cheza no.8 pogba akacheza no. 10 haina shida.
huyu daniel james hawezi kuwa fullback kama ilivyo kwa davies wa bayern munich?






mkuu mbona unacheka, nimejikuta naliwazia hilo jambo.
Nazungumzia 4-3-2-1, haiwezekani?Ili ucheze 8 na 10 inamaana ni 4-4-2 isiyo Diamond, hakuna winga hata mmoja labda james kidogo anaeweza kucheza mfumo huo utd, na ni mfumo wa kizamani ni kama hautumiki tena.
Tatizo hana nguvu za kuhimili kuwa beki.mkuu mbona unacheka, nimejikuta naliwazia hilo jambo.
anafaa acheze beki namba 2
======
ana ujinga fulani, akifika karibu na eneo la hatari anapiga shuti ndogo(ananiudhi vibaya)
jana guardiola alinipigia formation ya ajabu sana(false centre back)Nazungumzia 4-3-2-1, haiwezekani?
unamkumbuka philip lahm na umbile lake?Tatizo hana nguvu za kuhimili kuwa bek
Inawezekana ila huo mfumo sijui kama unaweza cheza kila siku.Nazungumzia 4-3-2-1, haiwezekani?
Hii idea sio mbaya kabisa.huyu daniel james hawezi kuwa fullback kama ilivyo kwa davies wa bayern munich?