Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Juan Mata’s game by numbers vs. Newcastle United:

94% pass accuracy
34 final third passes
3 chances created
3 ball recoveries
2/3 crosses
1 assist

#GGMU

manutd |
IMG_20201018_113710_689.jpeg
 
Aliyebadili dira ya United ni Pogba. Ukiwa na Fred na Scot, kazi yao ni kutibua na si ku-create. James formation ya timu kwa sasa haim-accommodate vizuri, Donny ni mtu sahihi kucheza nafasi hiyo. Pogba bado licha ya makosa yake, anacheza mipira flani iliyokadriwa na ndiye starman wa United, though bitter to consume

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Pogba hakubadili game ya jana, at least kwa nilivyoona. Watu waliopiga mwingi sana jana no Mata na alipoingia VDB mchezo ulikua more direct. VDB hakai na mpira, akipokea anatoa na hata goli la Bruno ali play part kubwa tuu.

Jana timu ilicheza kwa morali, sema magoli yalikuja late. Kiungo cha Scott na Fred kina work rate kubwa sana, akianza Pogba kwenye hiyo pivot kunapotea sana mpira sababu Pogba anao anao sana. Pogba anakua mzuri akicheza juu, anapocheza Bruno.

Maguire jana kajitahidi sana, lakini watu tutasubiri aharibu ndio tuongee.


Sent from my VS835 using JamiiForums mobile app
 
Kwan ukicheza mechi kubwa hustahili kupata ushindi? Kifo ni kifo tu haijalishi ni kwa mshituko au kwa kuvamiwa. Kubali mkuu sote ni wabovu ila atleast mimi nina kauafadhali kidogo.

Labda nikukumbushe pengine wakati game ya Chelsea inaendelea hukufuatilia vizuri. Hakuna muda sisi tuliongoza 3 then The Saints wakaja kusawazisha sijui unazungumzia mechi gani mkuu.
Hiyo nafuu ya Chelsea kwa Man Utd ni ipi? Mmecheza mechi 5 mna points 8, Utd kacheza mechi 4 ana points 6. If you know the math and probability, then huwezi kusema Chelsea anaizidi Utd.

Hii ni bila kuangalia ya last season.

Sent from my VS835 using JamiiForums mobile app
 
Pogba hakubadili game ya jana, at least kwa nilivyoona. Watu waliopiga mwingi sana jana no Mata na alipoingia VDB mchezo ulikua more direct. VDB hakai na mpira, akipokea anatoa na hata goli la Bruno ali play part kubwa tuu.

Jana timu ilicheza kwa morali, sema magoli yalikuja late. Kiungo cha Scott na Fred kina work rate kubwa sana, akianza Pogba kwenye hiyo pivot kunapotea sana mpira sababu Pogba anao anao sana. Pogba anakua mzuri akicheza juu, anapocheza Bruno.

Maguire jana kajitahidi sana, lakini watu tutasubiri aharibu ndio tuongee.


Sent from my VS835 using JamiiForums mobile app
Hapo ndipo huwa Ole ananishangaza sn, kwnn Pobga asicheze juu? Au hata pembeni awe kiungo wa kuingia ndani? Analazimisha kumchezesha chini kisa huwa anacheza hvyo France, France co Utd bhn.
 
Hapo ndipo huwa Ole ananishangaza sn, kwnn Pobga asicheze juu? Au hata pembeni awe kiungo wa kuingia ndani? Analazimisha kumchezesha chini kisa huwa anacheza hvyo France, France co Utd bhn.
unaelewa kwamba pogba akicheza juu anaempisha ni Fernandez? siku ole akimchezesha pogba juu na fernandez akatolewa pale si ndio mtazidi kumsimanga mzee wa watu?
 
Back
Top Bottom