Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Hahah! United ina matatizo mengi na mojawapo ni Ole.Halafu lawama tunamtupia Ole.View attachment 1597915
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hahah! United ina matatizo mengi na mojawapo ni Ole.Halafu lawama tunamtupia Ole.View attachment 1597915
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Ole hawezi kuwa tatizo katutoa shimoni huko angalau sasa hivi tunaonekana tunahitaji kitu.Hahah! United ina matatizo mengi na mojawapo ni Ole.
Kipi kinakushawishi kutoka kwa Ole kuamini anaweza kuanza kutafuta makombe?Ole hawezi kuwa tatizo katutoa shimoni huko angalau sasa hivi tunaonekana tunahitaji kitu.
Anatakiwa abadilike aanze kutafuta makombe siyo rebuild tena.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Sio kosa la utd Wala kosa la ole ama Ed mkuu !!! Utd walimuhitaji Sana huyu dogo pamoja na ahadi lukuki za mkataba mnono lakini timu ya maagent wake wakiongozwa na baba Yake waliichagua Dortmund !Ngoja mwakani release clause iwe activated timu zenye hela wamnunue.
Poor United!
Kuna habari niliwahi soma kuwa United ilikuwa juu yao kukamilisha dili ila kuna vipengele hawakukubaliana navyo kwenye mkataba wake ndiyo maana akaenda Dortmund ila ishu ya Bellingham ipo wazi aliwaamini BVB kuliko United na kiukweli kaenda sehemu salama kwa kipaji chake.Sio kosa la utd Wala kosa la ole ama Ed mkuu !!! Utd walimuhitaji Sana huyu dogo pamoja na ahadi lukuki za mkataba mnono lakini timu ya maagent wake wakiongozwa na baba Yake waliichagua Dortmund !
Kwa Nini ?
Kwa miaka ya hivi karibuni Dortmund imekua moja Kati ya timu ambazo zinawapa vijana nafasi kuonyesha vipaji vyao na kuwainua , pia uhakika wa namba ulikuwa 100,,,
Utd walihisi wangecheza kamari kumleta , pia Dortmund yupo tu kwa muda mfupi , soon Giants wataanza kumnyemelea ! Ishu ya Bellingham inafanana na hii ya Erling!
hahahaha. afadhali watu mnanza kuona kuwa Pogba hamna kitu.Ole kumuweka benchi Pogba hawezi..
Matic+Fred+Fernandes+Scott ndo sababu kuu ya sisi kumaliza nafasi ya tatu msimu uliopita
Hii kiungo cha Matic+Pogba+Fernandes hamna kitu kabisa..wanafanya pia mabeki wawe exposed sana
Bila Ole kusort out hili jambo,hiki kiungo ndo kitamfukuzisha kazi mapema zaidi hasa tutakapokutana na big teams
"""Huyu Pogba huwa natamani auzwe tu,usupastaa uchwara mwingi wakati ni too inconsistent""""
Nahisi kasper schemel, mtoto wa Peter.
Hapana mkuu co kweli, huyo atakuwa ni kasper schemeichel huoni nywele hzo km baba yake, pia dean Henderson ni mdogo sana hyo jezi ni ya enzi za Peter, so hawez kuwa Dean.
Dean Henderson huyo..hizo vintage jersey huwa zipogo tuHapana mkuu co kweli, huyo atakuwa ni kasper schemeichel huoni nywele hzo km baba yake, pia dean Henderson ni mdogo sana hyo jezi ni ya enzi za Peter, so hawez kuwa Dean.
Ole wampe nafasi, labda anaweza kuja na vitu vipya.Mkuu Ole akikosa matokeo kwenye mechi mbili zijazo unadhani ataendelea kuwa kocha wa United?
Manje6 YunaitediYaani ligi imesimama kidogo tu nyie Punda mmeshaanza kunenepa sio?..??
#COYG
#COYG

hiyo picha mala ya kwanza nilionaga alikuwepo anahojiwa Ole Sky Sports akawa anaonyeshwa picha anaulizwa huyu nani anataja lakini hapa alichemsha mpaka wakamtajia yeye alisema Brown
★
Hapana mkuu co kweli, huyo atakuwa ni kasper schemeichel huoni nywele hzo km baba yake, pia dean Henderson ni mdogo sana hyo jezi ni ya enzi za Peter, so hawez kuwa Dean.