
Hivi ingetokea tungeshinda mechi zote za mwanzo!

Tungeletewa wachezaji?

Hivi watu hawashtuki na mara hii mashabiki tumesahau!

Wakati wa usajili, board walikuwa kama wako chooni wanakunya, ubabaishaji mwingi.

Kabla ya game na sevilla europa, akina matic walikuwa wanamuuliza ole, vp sancho anatua au niaje!

Ole alikuwa anawapa moyo, ni hela nyingi lakini subira ni muhimu.

Hivi imagine wewe ndiyo mchezaji, unajituma kwa moyo wote, mnaambiwa mkiingia UCL, salary zenu zinarudi, bonus ya kutosha, na kikosi kitaimarishwa, ghafla bin vuu dirisha la usajili kimya!

Morali lazima iwe chini hata kama mna wachezaji wa vipaji wa sayari gani.

Board ya man utd ina mambo ya kijinga sana, ole hana kosa.

Tena ole namuona ni kocha anayejua mikakati zaidi ya ki mgt kuliko makocha wengi wa sasa.