Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbona hata morinho alichukuwa europa na akatimuliwa next season?
Van gaal alichukuwa FA na bado akafukuzwa..
Timu haichezi vizuri..
Kila siku inarudi chini,,
Viwango vya wachezaji vinashuka kila siku...
Tatizo ni ole,,
Bila kumfukuza mapema anaweza kusababisha team nzima ikashuka Kiwango..
Kwahiyo Ole ndiye aliyesababisha Mo na Van Gaal akafukuzwa ?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
OLE HAPA HUTOKI!!!

Newcastle
Hii mechi hata tukishinda itakuwa ni kwa tofauti ya goli 1 (1 - 0, 2 - 1, 3 - 2) au droo kabisa.

PSG
Weee! Sema tena "Mountains are there to be climbed."

Chelsea
Ole hana mbinu zitakazompa japo point 1 kutoka The Blues.

Leipzig
Kama vile inakuja inakataa. Hii tunaweza shinda ila...

Arsenal
Hapa tunashida, chini ya Ole timu yetu ni mbovu ila Arsenal hana nafasi ya kuondoka hata na point 1.

Nawaona mnaozidi kumpigia chapuo Ole ila ukweli tu ni kwamba Ole ni mweupe.

Nimetoa comment hapo juu kwa upcoming fixtures, guess what? Kuna possibility kubwa timu itapata matokeo mazuri sana;

Sasa hapo ndiyo Ole ataonekana bora ila kiukweli kazi kubwa itafanywa na uwezo binafsi wa wachezaji, wachezaji wetu wanajitahidi sana kuficha makosa ya Ole.

Ole it's time to go; eti United sasa hivi ni ya kuwazia game ya Newcastle, United ya sasa ni ya kuwazia timu kama Leipzig. Kwa kikosi tulichonacho ni dhahiri Ole ana uwezo mdogo. Mnaondelea kumsifia endeleeni, Ole kapewa muda wa kutosha angalau kucheza soka safi uwanjani, angalau timu kuwa na 60% ikiingia uwanjani.

Ila Ole na vijana wake wanajificha kusema "hatupewi first choices" "timu haikuwa fit, hatukuwa na pre-season matches"

#OleOUT
Tuache bias tunaposhinda mnasema wachezaji wamejituma kuficha makosa ya Ole

Tukifungwa tunakimbilia kusema Ole ni mbovu.

I don't understand

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
A so called top manager
20201011_121235.jpg


Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Mimi nadhani tunatofautiana sehemu kuhusu timu. Kufungwa ni jambo la kawaida kabisa hatuna tatizo nalo, mimi Binafsi tatizo langu na ole ni mpira unaochezwa uwanjani aisee hamna kitu kabisa.
Hivi wachezaji wanashindwa hata kupiga pasi kumi bila kupoteza mpira? Haieleweki manchester inacheza mfumo gani let's say van gaal timu ilikua inapiga mpira mwingi sana shida ikawa kufunga tu tukawa na droo nyingi sana lakini alionekana kuna kitu anatengeneza same Mourihyo anajulikana soka lake defence sasa huyu ole anacheza soka gani??
Kudominate mpira kwa palace kunamuhitaji messi au Sancho?? Timu kama palace wanatukimbiza, Brighton wanatukimbiza hapa tatizo la nani. Ole mpaka sasa amefeli wachezaji wakiamka na moods wanashinda basi kwisha habari.
 
Hata kama ilimchukuwa miaka 10 ,,lakini tangia mwanzo alionyesha ana kitu cha ziada kuwapa spurs kama akipewa muda.
Ole has proved already ,,,he has nothing more to give for man u..
Kitu gani hicho cha ziada? Hebu kitajeni tukijue
 
Tuache bias tunaposhinda mnasema wachezaji wamejituma kuficha makosa ya Ole

Tukifungwa tunakimbilia kusema Ole ni mbovu.

I don't understand

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Yaani kwa kifupi wadau wanamaanisha hawana imani tena na Ole na ikitokea timu ikashinda inakuwa imeshinda kwa kujituma na uwezo binafsi Wa wachezaji na si mipango ya mwalimu. Na ikitokea imefungwa basi si kitu cha kushangaa Mana uwezo Wa mwalimu si Wa kushinda! Kwa maana nyingine kwa sasa ile timu inapocheza, pale kwenye benchi awepo kocha au asiwepo ni sawa tu!
 
Nimeangalia Record za Klop na Ole toka wamekuja Epl, klop ameshika hadi nafasi ya 8, imemchukua hadi misimu 4 kuja kushika hio nafasi ya 2. Ole ameweza kushika nafasi ya 3 ndani ya misimu miwili tu. Alichofanya Ole Ndani ya misimu miwili Klop alishindwa kukifanya Misimu 4 ya mwanzo, ila Bado ole hafai.

Class ya mashabiki wetu ndio ilipo siku hizi, kocha anafaa au hafai kwa mihemuko ya mechi moja moja na sio target ya timu.
 
Yaani kwa kifupi wadau wanamaanisha hawana imani tena na Ole na ikitokea timu ikashinda inakuwa imeshinda kwa kujituma na uwezo binafsi Wa wachezaji na si mipango ya mwalimu. Na ikitokea imefungwa basi si kitu cha kushangaa Mana uwezo Wa mwalimu si Wa kushinda! Kwa maana nyingine kwa sasa ile timu inapocheza, pale kwenye benchi awepo kocha au asiwepo ni sawa tu!
Asante kwa kuliweka hili sawa.
 
Nimeangalia Record za Klop na Ole toka wamekuja Epl, klop ameshika hadi nafasi ya 8, imemchukua hadi misimu 4 kuja kushika hio nafasi ya 2. Ole ameweza kushika nafasi ya 3 ndani ya misimu miwili tu. Alichofanya Ole Ndani ya misimu miwili Klop alishindwa kukifanya Misimu 4 ya mwanzo, ila Bado ole hafai.

Class ya mashabiki wetu ndio ilipo siku hizi, kocha anafaa au hafai kwa mihemuko ya mechi moja moja na sio target ya timu.
Mkuu Ole akikosa matokeo kwenye mechi mbili zijazo unadhani ataendelea kuwa kocha wa United?
 
Tuache bias tunaposhinda mnasema wachezaji wamejituma kuficha makosa ya Ole

Tukifungwa tunakimbilia kusema Ole ni mbovu.

I don't understand

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mkuu nimekuwa nikifuatilia sana maoni yako juu ya Ole una positive view sana kwake (which is good) na ni dhahiri upo upande wake. Una point nyingi za msingi kumtetea Ole na naheshimu hilo kwa mawazo yako ila Ole HAJUI!

Msimu huu 'Ole Boys' mnasema ni match fitness ndiyo imeleta matokeo mabovu; kwa 40% nakubaliana na mawazo yako ila 60% sikubaliani na wewe. Hii timu ya Ole haijaanza kupata shida ikicheza na timu ndogo msimu huu, tumeona last season ilikuwa ni kama vile timu kubwa tu ndiyo Ole anaziweza kwenye mbinu zake.

Kipindi cha Ole tumefanikiwa kusajili wachezaji wazuri sana ila amekuja kuonyesha ni jinsi gani bench lake la ufundi linaua vipaji.

Nakumbuka maneno ya vibanda umiza mapema msimu uliopita:

"Wan, two, three Bissaka"
"James the Flash"
"Maguire" hii wadau walikuwa wanaitamka Kiswahili kuonyesha msisitizo.

Leo hii imebaki story, yapo mengi mazuri Ole kafanya ambayo yananifanya nitamani abaki ila kwa machache mabaya anayofanya ndiyo chanzo cha United kufeli.

Ukienda Everton utakuta World class player mmoja sidhani kama kuna mwingine, nenda Leeds sidhani kaka kuna World class player. Ila ukirudi Manchester United utakuta kuna Pogba, De Gea, Bruno na wachezaji wengi wenye uwezo binafsi mkubwa ambao ukiunganisha uwezo wao ndiyo unapata timu ya kueleweka.

Mimi sililii mataji kutoka kwa Ole, nataka mpira unaoeleweka uwanjani. Makombe yatakuja tukiweza kucheza soka safi as a team na kila mtu ajue namba yake na mbinu za kocha ibaki ku-deliver tu uwanjani.

Test yangu kwa Ole ni game ya Newcastle, hawa ni the likes of Crystal Palace na Brighton. Sasa hivi sitegemei kisingizio cha fitness sasa hivi mtatuambia shida ni wachezaji au mbinu na ufundishaji wa kocha.
 
Nimeangalia Record za Klop na Ole toka wamekuja Epl, klop ameshika hadi nafasi ya 8, imemchukua hadi misimu 4 kuja kushika hio nafasi ya 2. Ole ameweza kushika nafasi ya 3 ndani ya misimu miwili tu. Alichofanya Ole Ndani ya misimu miwili Klop alishindwa kukifanya Misimu 4 ya mwanzo, ila Bado ole hafai.

Class ya mashabiki wetu ndio ilipo siku hizi, kocha anafaa au hafai kwa mihemuko ya mechi moja moja na sio target ya timu.
Katika hiyo misimu lete kikosi cha Liverpool halafu uangalie na baada ya Klop kupewa mahitaji yake.

Muangalie na Ole baada ya kupewa mahitaji yake huku ikiwa limebaki eneo moja sanasana la RW.

Halafu rudi tena timu aliyoachiwa Klop na aliyoachiwa Ole halafu tujadili sasa.
 
Mkuu nimekuwa nikifuatilia sana maoni yako juu ya Ole una positive view sana kwake (which is good) na ni dhahiri upo upande wake. Una point nyingi za msingi kumtetea Ole na naheshimu hilo kwa mawazo yako ila Ole HAJUI!

Msimu huu 'Ole Boys' mnasema ni match fitness ndiyo imeleta matokeo mabovu; kwa 40% nakubaliana na mawazo yako ila 60% sikubaliani na wewe. Hii timu ya Ole haijaanza kupata shida ikicheza na timu ndogo msimu huu, tumeona last season ilikuwa ni kama vile timu kubwa tu ndiyo Ole anaziweza kwenye mbinu zake.

Kipindi cha Ole tumefanikiwa kusajili wachezaji wazuri sana ila amekuja kuonyesha ni jinsi gani bench lake la ufundi linaua vipaji.

Nakumbuka maneno ya vibanda umiza mapema msimu uliopita:

"Wan, two, three Bissaka"
"James the Flash"
"Maguire" hii wadau walikuwa wanaitamka Kiswahili kuonyesha msisitizo.

Leo hii imebaki story, yapo mengi mazuri Ole kafanya ambayo yananifanya nitamani abaki ila kwa machache mabaya anayofanya ndiyo chanzo cha United kufeli.

Ukienda Everton utakuta World class player mmoja sidhani kama kuna mwingine, nenda Leeds sidhani kaka kuna World class player. Ila ukirudi Manchester United utakuta kuna Pogba, De Gea, Bruno na wachezaji wengi wenye uwezo binafsi mkubwa ambao ukiunganisha uwezo wao ndiyo unapata timu ya kueleweka.

Mimi sililii mataji kutoka kwa Ole, nataka mpira unaoeleweka uwanjani. Makombe yatakuja tukiweza kucheza soka safi as a team na kila mtu ajue namba yake na mbinu za kocha ibaki ku-deliver tu uwanjani.

Test yangu kwa Ole ni game ya Newcastle, hawa ni the likes of Crystal Palace na Brighton. Sasa hivi sitegemei kisingizio cha fitness sasa hivi mtatuambia shida ni wachezaji au mbinu na ufundishaji wa kocha.
Na kwenye soka kuna nafasi ya Kuwa-Prove wrong watu..Tumpe pia Ole hiyo nafasi..

Muda ni hakimu mzuri
 
Sababu kubwa ya sisi kutokupata matokeo mazuri na kumuona Ole hausiki ni zipi?
Mkuu unasema kutopata matokeo as if tumecheza mechi za kutosha tumezingua.

Mnasahau timu toja january mwishoni si wadogo si wakubwa tumewafunga wote timu imetoka chini hadi nafasi ya 3.

Mpe kocha hata miezi miwili kwanza uone kama kweli hao wachezaji wameshuka viwango.

Miaka kibao fergie anaanza vibaya na baadae tunabeba ubingwa,
 
Mkuu unasema kutopata matokeo as if tumecheza mechi za kutosha tumezingua.

Mnasahau timu toja january mwishoni si wadogo si wakubwa tumewafunga wote timu imetoka chini hadi nafasi ya 3.

Mpe kocha hata miezi miwili kwanza uone kama kweli hao wachezaji wameshuka viwango.

Miaka kibao fergie anaanza vibaya na baadae tunabeba ubingwa,
Nice move..tumpe muda Ole kidogo
 
Back
Top Bottom