OLE HAPA HUTOKI!!!
Newcastle
Hii mechi hata tukishinda itakuwa ni kwa tofauti ya goli 1 (1 - 0, 2 - 1, 3 - 2) au droo kabisa.
PSG



Weee! Sema tena "Mountains are there to be climbed."
Chelsea

Ole hana mbinu zitakazompa japo point 1 kutoka The Blues.
Leipzig
Kama vile inakuja inakataa. Hii tunaweza shinda ila...
Arsenal
Hapa tunashida, chini ya Ole timu yetu ni mbovu ila Arsenal hana nafasi ya kuondoka hata na point 1.
Nawaona mnaozidi kumpigia chapuo Ole ila ukweli tu ni kwamba Ole ni mweupe.
Nimetoa comment hapo juu kwa upcoming fixtures, guess what? Kuna possibility kubwa timu itapata matokeo mazuri sana;
Sasa hapo ndiyo Ole ataonekana bora ila kiukweli kazi kubwa itafanywa na uwezo binafsi wa wachezaji, wachezaji wetu wanajitahidi sana kuficha makosa ya Ole.
Ole it's time to go; eti United sasa hivi ni ya kuwazia game ya Newcastle, United ya sasa ni ya kuwazia timu kama Leipzig. Kwa kikosi tulichonacho ni dhahiri Ole ana uwezo mdogo. Mnaondelea kumsifia endeleeni, Ole kapewa muda wa kutosha angalau kucheza soka safi uwanjani, angalau timu kuwa na 60% ikiingia uwanjani.
Ila Ole na vijana wake wanajificha kusema "hatupewi first choices" "timu haikuwa fit, hatukuwa na pre-season matches"
#OleOUT