Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★kwa wale wa King'amuzi cha AZAM Chaneli namba 121 ESPN Wanazungumzia swala la Pogba baada ya kupost kuwa ndoto ya kwenda Real Madrid bado anayo wachambuzi wanasema;-

1:asijionyeshe yeye ni staa wa kimataifa kupitia mitando huo ustaa auonyeshe Pitch.

2:Afikirie kwa undani anapotaka kuomba kuongezewa mshahara afikiri na anachokifanya Uwanjana je kinalingana (kinakizi) na pesa anohitaji.

3:Kama yeye kweli anajiita mchezaji bora basi airudishe Manchester United katika level za kipindi cha Sir Alex na ndipo ahame.★


#GGMU


@espn
manutd
Tangu enzi za mourinho paulo scholes alisema kwamba tatizo la man utd kwanza ni paul pogba halafu jose mourinho watu hawakumwelea.
Kwa uelewa wangu mimi ni kwamba pogba hachezi kwa kiwango cha juu lakini kutokana na usupastaa/thamani yake,wanaona aibu kumweka bench.
Kipindi akiwa majeruhi ambapo kama bruno hajaja, tulikuwa na fred,mctomminay na matic kiungo kilikuwa supa sana. Watu wengi hili hatukuliona maana tunakumbuka ujio wa bruno zaidi.
 
Now,explain to me how we lost a chance to play even one final from three semi's last season.

Na unadhani Ole ataendelea kuwacharaza wakubwa kama msimu uliopita?
Laissez fair attitude ambayo imeaffect the whole squad.

Lakini kushinda tournaments kunategemea pia na bahati tu.

Diego Simeone ameingia UCL finals mara mbili hajachukua hata moja je unataka kusema hana tactical brilliance ?

Klopp before kaingia finals mbili na liverpool na zote akapoteza dhidi ya Sevilla na Real Madrid je unataka kusema hana tactical brilliance ?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Ukizungumzia tactical ability kwa Ole mimi nakupinga.

Ole ameshawafunga makocha wote wakubwa EPL nadhani ukiondoa Klopp tu tena akiwa na squad mbovu zaidi last season.

Tactical brilliance ya mwalimu huonekana kwenye mechi zinazohitaji ufundi mwingi hasa big matches Ole did that to his best last season akiwa na kikosi kibovu kuliko cha sasa.

Ole ana mapungufu yake as a manager but not tactical brilliance.

Mapungufu nayoyaona mimi kwa Ole he is not a leader material pia anapenda Laissez faire Attitude.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mkuu PTER pamoja na hayo,anakosa plan B ya mchezo na usajili pia.
 
Ni kweli ila hatuitaji mpaka tuwe na sancho/grealish/ake kuishinda crystal palace/totenham sembuse kucheza mpira mzuri uwanjani
So far mechi zote 3 tulizocheza ktk ligi tumezidiwa kila kitu na opponents zetu,

Ebu muangalie Carlo Ancelot alivyoibadili Everton kwa bajeti ndogo tu, usiombe tukutane na Everton hii, siku iyo tutaikataa timu yetu pendwa

Woodward ana mapungufu ila OGS ana mapungufu makubwa sanaa, nilikua ninaimani sana na OGS na hata ofcn kwngu aka yngu watu wananita OGS ila kwasasa sitak hata kumsikia
Mkuu, hiyo Everton imejengwa kwa misimu kama miwili au mitatu, wachezaji kama Pickford, Keane, sigusson, Richarison, na jamaa mmoja mturuki flani, ndio kaja kuwaongeza kina James, sema kocha anauwezo mkubwa, nikukumbe kuwa Everton ndio timu ambayo haijawahi shuka daraja kwenye historia ya ligi ya Uingereza
 
Now,explain to me how we lost a chance to play even one final from three semi's last season.

Na unadhani Ole ataendelea kuwacharaza wakubwa kama msimu uliopita?
Kwanza kitendo cha kufika semi finals tatu kwenye tournaments tatu ndani ya msimu mmoja ni cha kupongezwa sana cause hakuna kocha mwingine aliyefanya hivyo except OGS.

Huoni kuwa tactical brilliance yake ni kubwa kucheza tournaments tatu unafika semi zote na timu inaingia top 3 epl kwa squad ambayo ina deadwoods wengi namna ile ?

Haya ni mafanikio alihitaji kupewa mahitaji yake sawa sawa na board.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu PTER pamoja na hayo,anakosa plan B ya mchezo na usajili pia.
Usajili siwezi kumtupia mzigo Ole hata kidogo kwa sababu makocha wengi waliopita walilalamikia Bodi kuwasajilia wachezaji ambao siyo mahitaji yao.

Kama bodi ilifanya hivyo kwa Moyes, Van Gaal na Mourinho kwanini isimfanyie hivyo Ole ?

Kumlaumu Ole kwenye usajili ni kumuonea tu.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu, hiyo Everton imejengwa kwa misimu kama miwili au mitatu, wachezaji kama Pickford, Keane, sigusson, Richarison, na jamaa mmoja mturuki flani, ndio kaja kuwaongeza kina James, sema kocha anauwezo mkubwa, nikukumbe kuwa Everton ndio timu ambayo haijawahi shuka daraja kwenye historia ya ligi ya Uingereza
Turn around ya everton hii ni uwezo wa Don Carlo kuliko uwekezaji wa wachezaji ndani ya miaka 2-3 iliyopita mkuu.
Angalia wachezaji ambao ni chachu ya ushindi wao wengi ni wageni na sio walikuwepo kitambo.
 
Kwanza kitendo cha kufika semi finals tatu kwenye tournaments tatu ndani ya msimu mmoja ni cha kupongezwa sana cause hakuna kocha mwingine aliyefanya hivyo except OGS.

Huoni kuwa tactical brilliance yake ni kubwa kucheza tournaments tatu unafika semi zote na timu inaingia top 3 epl kwa squad ambayo ina deadwoods wengi namna ile ?

Haya ni mafanikio alihitaji kupewa mahitaji yake sawa sawa na board.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Mwenzake alichukua Europa na kikosi cha akina Phil Jones, Lingard, Young, Valencia, Smalling etc. Baada ya hapo maboresho ya usajili yamefanyika bado unaamini Man Utd ni mbovu?
 
Tufanye hizo mechi mbili zote kafungwa,
Utamfanya nini?
Nitakua nimejiunga na wale wanao mpinga.
Wanaompinga wana hoja moja inani shawishi niwaunge mkono.

Au wewe ulijua nita mfanya nini?
 
Tangu enzi za mourinho paulo scholes alisema kwamba tatizo la man utd kwanza ni paul pogba halafu jose mourinho watu hawakumwelea.
Kwa uelewa wangu mimi ni kwamba pogba hachezi kwa kiwango cha juu lakini kutokana na usupastaa/thamani yake,wanaona aibu kumweka bench.
Kipindi akiwa majeruhi ambapo kama bruno hajaja, tulikuwa na fred,mctomminay na matic kiungo kilikuwa supa sana. Watu wengi hili hatukuliona maana tunakumbuka ujio wa bruno zaidi.
Ole kumuweka benchi Pogba hawezi..

Matic+Fred+Fernandes+Scott ndo sababu kuu ya sisi kumaliza nafasi ya tatu msimu uliopita

Hii kiungo cha Matic+Pogba+Fernandes hamna kitu kabisa..wanafanya pia mabeki wawe exposed sana

Bila Ole kusort out hili jambo,hiki kiungo ndo kitamfukuzisha kazi mapema zaidi hasa tutakapokutana na big teams

"""Huyu Pogba huwa natamani auzwe tu,usupastaa uchwara mwingi wakati ni too inconsistent""""
 
Kwanza kitendo cha kufika semi finals tatu kwenye tournaments tatu ndani ya msimu mmoja ni cha kupongezwa sana cause hakuna kocha mwingine aliyefanya hivyo except OGS.

Huoni kuwa tactical brilliance yake ni kubwa kucheza tournaments tatu unafika semi zote na timu inaingia top 3 epl kwa squad ambayo ina deadwoods wengi namna ile ?

Haya ni mafanikio alihitaji kupewa mahitaji yake sawa sawa na board.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Hizo nusu fainali amecheza na Arsenal,Sevilla na Mancity..tumtoe City,atleast sasa ilibidi aingie fainal moja..na Semi za Arsenal na Sevilla tumecheza timu ikiwa inaonekana imekamilika kwa kiasi chake hao deadwoods ni kina nani?
 
Mkuu kuifunga timu kubwa haimaanishi kuwa kocha tactically yupo vizuri zaidi

Mimi huwa naamini kocha anayeishinda mechi kubwa tu na nyingine ana draw au kufungwa ni mzuri kwenye hamasa na sio ufundi

Kocha yupo vizuri kwenye hamasa na ndio maana anashinda mechi kubwa tu
Ukizungumzia tactical ability kwa Ole mimi nakupinga.

Ole ameshawafunga makocha wote wakubwa EPL nadhani ukiondoa Klopp tu tena akiwa na squad mbovu zaidi last season.

Tactical brilliance ya mwalimu huonekana kwenye mechi zinazohitaji ufundi mwingi hasa big matches Ole did that to his best last season akiwa na kikosi kibovu kuliko cha sasa.

Ole ana mapungufu yake as a manager but not tactical brilliance.

Mapungufu nayoyaona mimi kwa Ole he is not a leader material pia anapenda Laissez faire Attitude.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Hizo nusu fainali amecheza na Arsenal,Sevilla na Mancity..tumtoe City,atleast sasa ilibidi aingie fainal moja..na Semi za Arsenal na Sevilla tumecheza timu ikiwa inaonekana imekalika kwa kiasi chake hao deadwoods ni kina nani?
Hakuwa na squad ya kufanya rotation kwa muda mrefu.

Wachezaji wengi wamekuja kuimarika baada ya lockdown.

Tournaments wakati mwingine zinaamuliwa na bahati tu.

Na katika kila timu iliyomtoa OGS semi final wametwaa ubingwa cant you see that fact?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Tunamlaumu Ole kwa uwezo mdogo

Hivi katika hali ya kawaida ile mechi ya Spurs na United, timu ipo pungufu mchezaji mmoja, halafu unamtoa Bruno badala ya Pogba?

Upo nyuma mchezaji mmoja bado unaendelea na plan ya kufanya build up kutoka nyuma (kosa la Bailly ni much more down to coach than Bailly himself)
Kwanini tumlaumu Ole kwa kitu ambacho hajakifanya ?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Mkuu kuifunga timu kubwa haimaanishi kuwa kocha tactically yupo vizuri zaidi

Mimi huwa naamini kocha anayeishinda mechi kubwa tu na nyingine ana draw au kufungwa ni mzuri kwenye hamasa na sio ufundi

Kocha yupo vizuri kwenye hamasa na ndio maana anashinda mechi kubwa tu
Kama kushinda mechi kubwa ni hamasa hiyo hamasa inafeli vipi kumpa matokeo kwenye timu ndogo ambazo huwa hazichezi zaidi ya kupaki basi ?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Hakuwa na squad ya kufanya rotation kwa muda mrefu.

Wachezaji wengi wamekuja kuimarika baada ya lockdown.

Tournaments wakati mwingine zinaamuliwa na bahati tu.

Na katika kila timu iliyomtoa OGS semi final wametwaa ubingwa cant you see that fact?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Okay..

So mkuu,Ole ana sababu yoyote ya kushindwa kufanya vizuri msimu huu?..Let's forget about how we start this campaign
 
Pia ieleweke sio kila kocha huwa anapata first target anapohitaji

Mfano Pep first target yake alikuwa Fred ikashindikana, akamfuata Jorginho ikashindikana

Pep msimu huu alimtaka zaidi Koullibally ikashindikana, akampata Diaz

Klop alimtaka sana Wener, akina Jose walimtaka Milk wakampata Vinicious, Barca walimtaka Depay, Wijnaldum lakini ikashindikqna

Hakuna kocha ambaye huwa anapata first targets zake kwa 100%
Na hapa ulikuwa unalaumu nini kama siyo hoja ya mwalimu kukosa first target?

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom