Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

★Guess who!?


manutd |
IMG_20201011_215811_533.jpeg
 
Mkuu unasema kutopata matokeo as if tumecheza mechi za kutosha tumezingua.

Mnasahau timu toja january mwishoni si wadogo si wakubwa tumewafunga wote timu imetoka chini hadi nafasi ya 3.

Mpe kocha hata miezi miwili kwanza uone kama kweli hao wachezaji wameshuka viwango.

Miaka kibao fergie anaanza vibaya na baadae tunabeba ubingwa,
Nampa Ole msimu mzima.
 
Pochetino ataleta mpira wa Burudani...
Timu itacheza vizuri na kukuza vipaji vya makinda na kuwapa makali wachezaji waliokwisha makali.
Lakini ole ndy sababu ya timu kufanya vibaya..
Pochetino nae hovyo tu.

Hana motivation ya makombe.

Tutafute proven coach, sio makocha aina ya kina gigsy, pochetino au ole.
 
Back
Top Bottom