Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man U jana imepiga mashuti 5 tu. Mawili on target. Kocha mkabaji Mourinho kamiliki mpira kwa zaidi ya 60%.

Ole bado anafanyia majaribio formation ya 4 2 3 1. Watu waliuliza De Beek atacheza wapi? Hili swali binfasi niliona la kawaida ila sasa naona Ole anavyostruggle.

Hii timu mara ya mwisho kupigwa 6 ilikua na Man City. Nadhani 2011 au 2012 leo yamejirudia na kila shabiki ana stori yake ya kutia huruma.

Arsenal wenzangu kuna mwenzetu alisema ni vyema tukakutana na Man U tukiwa na Partey na Aouar mi nikajibu hawa wanafungwa bila hao wawili. Simply kwakua angalau tuna mid na defense inayojielewa kuliko wao.

Striker yetu pia ni nzuri kuwazidi. Hii timu ni useless.
Una Kipepe unasema una straika nzuri ??😎😎😎
 
★Have Manchester United prioritised the wrong player all along?

@manutd
IMG_20201005_152814_971.jpeg
 
Najaribu kuangalia timu ndogo ya Everton sio moja ya timu kubwa tajiri duniani ila iwa pesa yao kidogo wana fanya sajili zenye AKILI, na sishangai wamekua kwenye top performance na kuongoza ligi hadi sasa.

Wakati mwingine unaweza kua na pesa nyingi lakini hazina msaada wowote kwenye maisha yako kama hujui kuzitumia vizuri zikusaidie katika jambo unalolifanya. Ni upuuzi tu.

Narudia kua timu ya Manchester United iendelee kufungwa game sita mfululizo kwa goli sitasita kila mechi.
 
Amad Traoré will join Manchester United on next January, here we go! Deal agreed right not with Atalanta but the young talent [born in 2002] will arrive on 2021 because of work permit and passport timing.

#MUFC will pay €30m + add ons for him!
 
Ni sawa na mnunuzi wa Mchele akanunue chenga halafu aje alaumiwe mpishi kwa kupika bokoboko.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Wachezaji waliopo wanaweza kuchukua kombe wakipata kocha mzuri.

Niambie namba ambayo haina mchezaji wa maana pale United.

Kocha ni mzembe na hajui anachofanya.
 
Ok sawa naomba unisaidie kitu kidogo tu, nikweli wamekuja makocha 4(co 5) ndani ya kipindi kifupi, tukimtoa Moyes je Mou ni kocha mbovu? Van gaal je? Vp utd hsisajiri wachezaji wazuri? Mbn walikuwa wanafanya vzr huko walipo? Matic mbovu, Mata mbovu, Fernandes mbovu, Pobga mbovu duuhhh kweli kazi.

Unasema Peter Kenyon na David Gill walikaa na kocha mmoja tu je ulitaka wabadili kocha wambadili nani? Yn wamfukuze Ferguson? Mbn comparison yako haipo fair mkuu.

Mm ukitoa imani yng hafifu kwa Ole nafahamu ukweli kwamba utd ilikuwa lazima iyumbe kutokana na aliyeondoka alikuwa mtu mzito sana so kiuhalisia lazima tm iyumbe, yn aondoke mtu aliyekaa miaka 26 klabuni zen tm iendelee kuwa hivyo hivyo mbn isingeleta maana ya uwalimu bora wa Ferguson.

Lazima tuyumbe na itachukua muda mrefu kabla ya tm kukaa sawa.
Kungekuwa na DoF, succession plan isingeleta shida.
 
hii hali iliwakuta arsenal msimu ule waliofungwa magoli 8 na man utd.
==========
hatujui kinachoendelea huko ndani ila kwa jicho la kawaida unagundua ya kwamba ed woodward bado amekuwa akihangaika kuhakikisha ya kwamba anatimiza takwa la mwalimu kwa kumletea mchezaji husika na ndivyo ninavyojiaminisha(ed woodward hawezi kuitakia mabaya man utd)

changamoto inakuja pale ambapo muuzaji lengwa anaposhindwa kukubaliana na ombi la mnunuaji (bei ya kuuza mchezaji), hapo ndio tunajikuta tunapoteza muda mwingi sana kufanya mazungumzo yatakayowezesha pande zote zinafanya biashara itakayowafaidisha pande zote (tunasahau kwenye negotiation mwenye nguvu anakuwa ni muuzaji labda itokezee awe na shida kubwa sana yenye kuambatana ubinadamu wa kibiashara)

ukiagalia situation ya usajili wa sancho tokea mapema ilishaonyesha ni upi muelekeo wa dortmund (mpaka leo hii msimamo wao umebaki vile vile kwa kutokuwa tayari kumuuza mchezaji chini ya kiwango walichokiweka), unajiuliza ni kipi kinachotufanya kupoteza muda mwingi haliyakuwa hatuna uwezo wa kufikia thamani iliowekwa na pia hatuna uwezo wa kuwashawishi dortmund kumuuza mchezaji kwa thamani tunayoihitaji (ina maana tokea mapema tulipaswa kuangalia alternative nyenginezo)

kama mwalimu hakuwa na second option basi hilo ni tatizo lake na kwa solskjaer nina wasiwasi huenda hakuwa na target nyengine kwa winga wa kulia baada ya sancho ndio maana tumekuwa wapapatikaji ( leo bale, kesho doglas costa, keshokutwa dembele, na hao wote huko kwao hawatakiwi basi ingelikuwa ni rahisi kukamilisha sajili zao).

ila kama mwalimu aliidhinisha second option kwa kila target lengwa lakini bado bodi ikashindwa kufanya kazi yake kwa usahihi kwa takribani miezi mitatu ndio tutakuwa tunarudi palepale kwenye kesi yetu ya kila siku (tuna wasimamamizi wabovu).
Yaani Solkjaer kazunguka duniani kote second option yake kwa Sancho awe Adam Traore ??

Haiwezekani hapa ni kwamba Woodward kashindwa kufanya usajili kaamua kununua mtu yoyote aliyeko sokoni bila hata consultation na Mwalimu.

Kimsingi Ole mpaka sasa Van Gaal alionewa, Mouringo alionewa pia na sasa ni zamu ya Ole kuonewa na Woodward.

Muda utasema.

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
Yaani Solkjaer kazunguka duniani kote second option yake kwa Sancho awe Adam Traore ??
Haiwezekani hapa ni kwamba Woodward kashindwa kufanya usajili kaamua kununua mtu yoyote aliyeko sokoni bila hata consultation na Mwalimu.
Kimsingi Ole mpaka sasa Van Gaal alionewa, Mouringo alionewa pia na sasa ni zamu ya Ole kuonewa na Woodward.
Muda utasema.
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Angelikuwa na sifa za mourinho basi ndani ya siku chache zijazo tungelifahamu ukweli uliopo, kama ulivyosema tunapaswa tusubiri muda utupe ukweli uliopo.

option pekee iliobaki ni osmane dembele, barcelona wanatia presha ya kutaka kutuuzia kwa bei ya jumla na si kwa mkopo hii ni kwa sababu wanajua fika tuna uhitaji wa winga wa kulia.

tukijiingiza ovyo wanaturamba.
 
Back
Top Bottom