Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii timu ukuta wote majanga shaw,bailly,maguire na bissaka vichomi vitupu wale mnaoangalia kwenye mabanda hamuwezi hata kuinuka dadeki
Tatizo kocha mkuu sio wachezaji, Hao wachezaji wamesajiliwa wakiwa na viwango bora kabisa.
 
Half time, camera zinamuangaza OGS usoni, to be honest namuonea huruma sana, kapewa timu kubwa kuliko uwezo wake, yaani kabebeshwa gunia la misumari hivi

Interview ya juzi kawajibu wandishi wa habari haitaji beki, anadai anaimani na mabeki alionao, sasa na hizi blanda za kina maguire leo sipati picha pressure atakayopewa na media za UK

Japo kwa game ya leo sina tatizo na OGS ila timu apewa fundi Marcelo Bielsa au Father Carlo Ancelot asubuhi hii, kuendelea kumvumilia OGS ni kujikosesha Top4
Woodward ndiyo anyoiporomosha Man united

Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
 
IMG_20201004_192648_456.JPG

And they don't believe if it happens
 
Half time, camera zinamuangaza OGS usoni, to be honest namuonea huruma sana, kapewa timu kubwa kuliko uwezo wake, yaani kabebeshwa gunia la misumari hivi

Interview ya juzi kawajibu wandishi wa habari haitaji beki, anadai anaimani na mabeki alionao, sasa na hizi blanda za kina maguire leo sipati picha pressure atakayopewa na media za UK

Japo kwa game ya leo sina tatizo na OGS ila timu apewa fundi Marcelo Bielsa au Father Carlo Ancelot asubuhi hii, kuendelea kumvumilia OGS ni kujikosesha Top4
Marcelo Bielsa hawezi kufundisha timu mbovu kama Man Utd..

Amekataa kuifundisha Barcelona! Anawezaje kwa hawa Penati FC!
 
Back
Top Bottom