Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wachambuzi maandazi pekee ndy wanaomtetea martial,,
Martial ni mchezaji mzuri,,,ni mfungaji pia,,lakini anakuwa bora kabisa akitokea pembeni,,,
Pale no 9 zina wenyewe, watu wa kazi,,,,,ndy maana ktk prediction yangu ya ma u,,huwa namuweka kama left wing...ni hatari sn akiwa upende ule,,martial ni mmoja wa wachezaji ninaowapenda kabisa man u,lakini kwa no 9 atatukosesha makombe..
Martial ana nyota ya kupendwa hata mm ilinichukua muda mrefu kuamini kwamba hana lolote, jamaa yng mmoja kila akiniambia hamna kitu mule nikawa nakataa akaniambia anza kumfuatilia angalia movement zake angalia anavyopoteza mipira kirahisi, zen angalia anavyokosa magoli.

Baada ya hapo nikaanza kumfatilia nikagundua maneno ya Roy Keane juu ya Martial ni kweli kabisa na tangu hapo ckuwa namuelewa kabisa yn Martial hapaswi kuanza kikosi cha Utd ni lazy boy sn.
 
Unaweza tupa link ya statistics kuwa Martial anaongoza ulaya
nimepost hapo chini epl wise, nimepost misimu mitatu

hii ni stats nyengine ya martial toka 2011 hakuna striker man U mwenye conversio kubwa kushinda Martial
Ranked: Manchester United's top five deadliest strikers since 2011

nimeangalia aliyotop ulaya sijaona pengine nime overlook ila zipo stats kama hizi
Stats shock: Man Utd ace Martial 5th most efficient attacker in Europe - Falcao No1 - Tribal Football

na martial anafanya hivi kwa consistency tokea 2015 anakuja mpaka leo.
 
Martial ana nyota ya kupendwa hata mm ilinichukua muda mrefu kuamini kwamba hana lolote, jamaa yng mmoja kila akiniambia hamna kitu mule nikawa nakataa akaniambia anza kumfuatilia angalia movement zake angalia anavyopoteza mipira kirahisi, zen angalia anavyokosa magoli.

Baada ya hapo nikaanza kumfatilia nikagundua maneno ya Roy Keane juu ya Martial ni kweli kabisa na tangu hapo ckuwa namuelewa kabisa yn Martial hapaswi kuanza kikosi cha Utd ni lazy boy sn.
Hakika kabisa mkuu,,martial alianza kupata mashabiki kipindi kile anakuja man u,,vyombo vya habari vilianza kulaumu sana man u kwa kumnunuwa martial akiwa na 19 kwa 56 milionl paunds,,wanasema ni pesa nyingi sana kwa kinda kama martial,,
Baadae likatokea kundi la mashabiki duniani kukaa upande wa martial kumsapoti,,na kumtetea..
Martial kwa bahati nzr alifunga goli kwenye mechi ya kwnz tu alipoingia man u,,akitokea bench,,kuchukuwa nafasi ya wilbek kama sijakosea,,,
Hilo kundi ndy limegeuka team martial.
Hadi Leo,,
martial ni mzuri ila ni winger na sio striker..
 
Naona mashabiki wa martial mnavyojifariji....yaani uende vitani na manati uwache K 47 Jeshi la akiba?
Ole hana akili hizo,, lengo la kutafuta striker ni kwamba martial is not good enough ..
Labda nikuulize martial alifunga goli ngapi za kichwa? Msimu mzima,,
Martial ukimbana kwenye njia hana maajabu,,,
Cavani popote utafungwa...cavani ni kama ibrahimovic ,,je alipokuja man u alilikuwa na umri gani?
Je akina martial walifunga magoli mangapi?
Kama ibra hakuwa top scorer kwa club ya man u..
Cavani sio back up ya martial,, bali martial ndy back up ya cavani..
Mimi ni Shabiki wa Manchester United, kama timu.
Na support wachezaji wote na Cavan akija vilevile
Nimetoa sababu kwa nini nasema Edson Cavan amesajiriwa kama back up(option two).
Injuries plus age, lazima awe managed vizuri (kucheza mechi chache).

Kama wew unadhani Cavan ndio atakuwa 1st no9, sio mbaya ni maono yako.
Na ikiwa hivyo, poa tuu.Muhimu ManU ifanye vizuri.

GGMU.
 
Kwanza Man united haichezi mpira wa kupiga cross cause haina wingers na full backs wake siyo wapiga cross.

Pia Mwalimu ana prefer kucheza na kutengeneza magoli centrally.

Kwa vyovyote vile usajili wa Cavani hautakuwa na impact yoyote kwa sababu hatapata service sahihi from both flanks.



Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Impact itakuwepo ila si ya kiwango kilichotegemewa.
 
Mkuu usitumie nguvu nyingi, ni kwamba shabiki wa utd anaweza kushabikia tm yyte ile duniani kasoro akishabikia hz tutamshangaa sn

Arsenal
Barcelona
Chelsea

Na kule England ni Liverpool yn mwiko kabisa.

Mm mwenyewe ni man u ila Leeds naipenda tangu enzi za Ferdinand, Radebe, Kewell, Smith and Viduka.
Kwa hyo kushabikia Man City si ajabu sana ama!
 
Kuna huyu dogo kutoka Uruguay.
Naona nae anasajiliwa.
IMG_20201004_172304_458.jpg


The Athletic wrote about him too, some takeaways from the article:
* Pellistri speaks English, Real & City also shown interest
* Plays on the right side of attack, but can also play on the left.
* Extremely quick. Two-footed. Loves to run at defenders.
* Needs to work on his shooting, considered far from a finished article.
* Pellistri has impressed with his speed, his through-balls, his aggressive pressing and fast recovery, and is considered calm under pressure.
* Delivered more crosses per game than any other player in Uruguay this season
* Spanish passport, so play anywhere across EU. Although that won't apply to England after Jan 1st, 2021.
 
Mimi ni Shabiki wa Manchester United, kama timu.
Na support wachezaji wote na Cavan akija vilevile
Nimetoa sababu kwa nini nasema Edson Cavan amesajiriwa kama back up(option two).
Injuries plus age, lazima awe managed vizuri (kucheza mechi chache).

Kama wew unadhani Cavan ndio atakuwa 1st no9, sio mbaya ni maono yako.
Na ikiwa hivyo, poa tuu.Muhimu ManU ifanye vizuri.

GGMU.
Hata ibrahimovic alivyokuja aliletwa kama back up,,.mwisho wa siku martial akarudisha jezi namba 9..
Cavani ni bora kuliko martial... Ukwl mchungu..
Unasema cavani majeruhi huyo martial alikaa bench akiwa majeruhi miezi mingapi nje?
Rashford alikaa bench majeruhi muda gani?
Kuwa majeruhi kwa mchezaji mpira ni kawaida sn..
Na labda nikufahamishe...
Edson cavani alikuwa ndy king of PSG ,kabla ya kuja neyma,,
Baada ya kuja neyma yule kocha wa PSG Tuchele ,,akabadilisha mfumo wa kuchezesha viungo wengi pale ndani,,,na kumweka bench cavani over icard,,,ambaye ni muagentina,,
Walibadilisha kabisa way of playing,, na style yao,,hapo cavani bench likamuhusu,,haikumaanisha kwamba alikuwa majeruhi,,,mkuu Mimi mwaka Jana wote nimeumalizia France,,na nimeangalia leage one yote,,na wachambuzi wa soka la France nimewafatilia kwa makini sana,, wachambuzi wao wanaongea tofauti sn,,kuhusu cavani,,na nimekuwa namwangalia ktk mechi zake nyingi alizocheza ,,,Si mtu wa kumfananisha na watu wa ajabu ajabu..
Ni mchezaji ambaye akicheza hata mashabiki wenyewe wa PSG wanafurahia,,
nakuahidi kitu kimoja,,
Mfano ikatokea cavani akawa ndy mwiba tukawaua PSG..basi kocha wao yupo mashakani....mark my words mkuu..
Screenshot_2020-10-04-16-18-50.jpeg
 
Back
Top Bottom