Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

kwamba hadi wachezaji majeruhi watacheza?
Majeruhi?? Uliwajeruhi wewe?? Tulia ukandwe mziki mneneeeee
Screenshot_20201004-174005.jpg
 
Hata ibrahimovic alivyokuja aliletwa kama back up,,.mwisho wa siku martial akarudisha jezi namba 9..
Cavani ni bora kuliko martial... Ukwl mchungu..
Unasema cavani majeruhi huyo martial alikaa bench akiwa majeruhi miezi mingapi nje?
Rashford alikaa bench majeruhi muda gani?
Kuwa majeruhi kwa mchezaji mpira ni kawaida sn..
Na labda nikufahamishe...
Edson cavani alikuwa ndy king of PSG ,kabla ya kuja neyma,,
Baada ya kuja neyma yule kocha wa PSG Tuchele ,,akabadilisha mfumo wa kuchezesha viungo wengi pale ndani,,,na kumweka bench cavani over icard,,,ambaye ni muagentina,,
Walibadilisha kabisa way of playing,, na style yao,,hapo cavani bench likamuhusu,,haikumaanisha kwamba alikuwa majeruhi,,,mkuu Mimi mwaka Jana wote nimeumalizia France,,na nimeangalia leage one yote,,na wachambuzi wa soka la France nimewafatilia kwa makini sana,, wachambuzi wao wanaongea tofauti sn,,kuhusu cavani,,na nimekuwa namwangalia ktk mechi zake nyingi alizocheza ,,,Si mtu wa kumfananisha na watu wa ajabu ajabu..
Ni mchezaji ambaye akicheza hata mashabiki wenyewe wa PSG wanafurahia,,
nakuahidi kitu kimoja,,
Mfano ikatokea cavani akawa ndy mwiba tukawaua PSG..basi kocha wao yupo mashakani....mark my words mkuu..View attachment 1590193
Tukubali kutokukubaliana.


GGMU
 
Man Utd XI: Matic, De Gea, Pogba, Maguire, Shaw, Martial, Bruno Fernandes, Bailly, Rashford, Wan-Bissaka, Greenwood

Subs: Mata, Lindelof, Fred, Lingard, Dean Henderson, Van de Beek, McTominay

Tottenham XI: Lloris, Sissoko, Lamela, Son, Aurier, Kane, Hojbjerg, Dier, Sanchez, Ndombele, Reguilon

Subs: Hart, Alderweireld, Lucas, Doherty, Ben Davies, Alli, Winks
 
Anachukua namba ya Ighalo? Ighalo ana namba tangu lini au unamaanisha benchi, af unasema angekuja Telles ili ashushe majalo amshushie nani majalo ss? Magoli kibao tena ya wazi kina Martial wanakosa mbele pale huoni?

Martial mechi ya pili namuona hana hata on target bado unasubiria pera chini ya muembe?

Wacha mtu mzima aje awafundishe watoto jinsi ya ku score zen asepe km watakuwa wafungaji kweli watakuwa wamepata darasa.

Dunia nzima inafahamu Cavani ni natural striker na alisha prove hilo ss huyo Martial ali prove kwa nani? Wacha Cavani aje wakurungu tuna jambo letu.
Martial hatufai. Hana msaada uwajani, soft, kiburi na hawezi kukaba
 
Man Utd XI: Matic, De Gea, Pogba, Maguire, Shaw, Martial, Bruno Fernandes, Bailly, Rashford, Wan-Bissaka, Greenwood

Subs: Mata, Lindelof, Fred, Lingard, Dean Henderson, Van de Beek, McTominay

Tottenham XI: Lloris, Sissoko, Lamela, Son, Aurier, Kane, Hojbjerg, Dier, Sanchez, Ndombele, Reguilon

Subs: Hart, Alderweireld, Lucas, Doherty, Ben Davies, Alli, Winks
Naona kdg kdg Bailly anaanza kum impress Ole.
 
Hata ibrahimovic alivyokuja aliletwa kama back up,,.mwisho wa siku martial akarudisha jezi namba 9..
Cavani ni bora kuliko martial... Ukwl mchungu..
Unasema cavani majeruhi huyo martial alikaa bench akiwa majeruhi miezi mingapi nje?
Rashford alikaa bench majeruhi muda gani?
Kuwa majeruhi kwa mchezaji mpira ni kawaida sn..
Na labda nikufahamishe...
Edson cavani alikuwa ndy king of PSG ,kabla ya kuja neyma,,
Baada ya kuja neyma yule kocha wa PSG Tuchele ,,akabadilisha mfumo wa kuchezesha viungo wengi pale ndani,,,na kumweka bench cavani over icard,,,ambaye ni muagentina,,
Walibadilisha kabisa way of playing,, na style yao,,hapo cavani bench likamuhusu,,haikumaanisha kwamba alikuwa majeruhi,,,mkuu Mimi mwaka Jana wote nimeumalizia France,,na nimeangalia leage one yote,,na wachambuzi wa soka la France nimewafatilia kwa makini sana,, wachambuzi wao wanaongea tofauti sn,,kuhusu cavani,,na nimekuwa namwangalia ktk mechi zake nyingi alizocheza ,,,Si mtu wa kumfananisha na watu wa ajabu ajabu..
Ni mchezaji ambaye akicheza hata mashabiki wenyewe wa PSG wanafurahia,,
nakuahidi kitu kimoja,,
Mfano ikatokea cavani akawa ndy mwiba tukawaua PSG..basi kocha wao yupo mashakani....mark my words mkuu..View attachment 1590193
Mkuu kwmb mwaka uliumaliza France ukimaanisha kuangalia ligi au ulikuwa kule.
 
Back
Top Bottom