Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

wametuma offer kwa mara ya pili,

beki 3 wa kiwango cha juu tunamuhitaji ila kukosekana kwake si pigo kubwa (tunaweza kuangazia eneo jengine)

kwa Ole kusajili right back mwengine ni sawa na kujitukana mwenyewe, dunia hii ni wanadamu wawili tu ndio wenye jeuri ya kufanya hivyo (mourinho na guardiola)
Pep kauzu ile mbaya,kaingia tena sokoni kutafuta CB kwa £65m na wamedondokea kwa Diaz wa Benfica
 
mwenye macho haambiwi tazama
1601396753236.png
 



MPAKA DIRISHA LIFUNGWE TUNAWEZA KUAMBULIA MCHEZAJI MMOJA AU TUKATOKA KAPA KABISA DAAAH SO SAD KIUKWELI...
 
Si bado hawajafikia makubaliano ?

Hivi Alex Telles tunamhitaji kweli au ni kwasababu tunahitaji kusajili tu ?

Kama tulitakiwa kusajili fullback awe right back walau kutupa option ya kucheza wide kutokana na Bissaka kushindwa kufanya jukumu hilo.

Au tunajiandaa kumtoa kwa mkopo Brandon William's tena ?

Mapungufu yetu ni attacking upande wa kulia ili tupate threat pande zote mbili za uwanja.
Unaona sasa?

Bissaka si amekuja juzi tu? Leo tunasajili mbadala kisa ameshindwa kufit eneo hilo. Bruno nae akiwa flop? Tutamsajili mbadala? Pogba je?

Hapo kosa la nani mchezaji kuja akiwa mzuri na kuflop baada ya msimu mmoja?
 
Man Utd ina rundo la mascout dunia nzima.

Ina maana wote akili zao zimegota kwa Sancho?

Dunia nzima?, ligi zote tumekosa mbadala wa Sancho?

€100M ni hela nyingi sana kwa mchezaji mmoja ambaye atakuja kuwa sawa na wakina Martial na Rashford.

Hapa tunakuja kupigwa tena kama Maguire. Sancho hana hadhi ya kutolewa hiyo hela.
20200929_223802.jpg
 
@manutd
Unaona sasa?

Bissaka si amekuja juzi tu? Leo tunasajili mbadala kisa ameshindwa kufit eneo hilo. Bruno nae akiwa flop? Tutamsajili mbadala? Pogba je?

Hapo kosa la nani mchezaji kuja akiwa mzuri na kuflop baada ya msimu mmoja?
IMG_20200927_123907_932.jpeg
 
★Kesho Brighton Hove Albion tunao tena sijui tutawapiga ngapi hawa jamaa duuh★
IMG_20200929_230114_558.jpeg
 
Back
Top Bottom