Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbona dalot amechezeshwa winger mara nyingi tuu na OLE.
Msimu ule OLE anafika, hadi wadau wakawa wanasema "wenda tumepata RW sas".

Kama kumbukumbu zng ziko sawa mechi ya PSG dalot alicheza pia kama winger.
Yeah lakini aliingia baada ya kuona tunashambuliwa sana upande wa kulia.

Sasa kwanini wanahangaika kutafuta winger wa kulia wakati timu ina winger wa kulia tena mwenye attributes zote za winger?

Dalot ana pace, ball control nzuri, shooting, crossing, aggressive na anaweza kufunga pia.
 
Yeah lakini aliingia baada ya kuona tunashambuliwa sana upande wa kulia.

Sasa kwanini wanahangaika kutafuta winger wa kulia wakati timu ina winger wa kulia tena mwenye attributes zote za winger?

Dalot ana pace, ball control nzuri, shooting, crossing, aggressive na anaweza kufunga pia.
Kama United inataka kurudi top level, huwezi kumtegemea Dalot kama 1st team RW. Angalau kama back up.

Liverpool wana Sarah
Man City wana Mahrez,Bernardo.
Chelsea wana Ziyech
Spurs wana Son.

Halafu United wawe na Dalot ambae sizani kama ana assist hata 7, toka ameanza kucheza top level Football.

Ndio yale ya kumuuza Ronaldo then unamtegemea Valencia, Oberten wazibe pengo lake.
 
Kama United inataka kurudi top level, huwezi kumtegemea Dalot kama 1st team RW. Angalau kama back up.

Liverpool wana Sarah
Man City wana Mahrez,Bernardo.
Chelsea wana Ziyech
Spurs wana Son.

Halafu United wawe na Dalot ambae sizani kama ana assist hata 7, toka ameanza kucheza top level Football.

Ndio yale ya kumuuza Ronaldo then unamtegemea Valencia, Oberten wazibe pengo lake.
Hivi unajua Didier Drogba alikuwa center back?
 
Yeah lakini aliingia baada ya kuona tunashambuliwa sana upande wa kulia.

Sasa kwanini wanahangaika kutafuta winger wa kulia wakati timu ina winger wa kulia tena mwenye attributes zote za winger?

Dalot ana pace, ball control nzuri, shooting, crossing, aggressive na anaweza kufunga pia.
Anaweza kutupa positive impact ya kutufanya turidhike na Greenwood kuanzia benchi?
 
Hili ni jambo linanishangaza sana kwamba kama utani hatimae tumebakiza siku tatu dirisha lifungwe Man united wamemsajili mtu mmoja tu tena kwa msaada wa Edwin Van De Sar
ongezea:
baada ya madrid kusitisha mpango wao wa kusajili mchezaji msimu huu, usajili wa van de beek madrid walishafikia hatua nzuri sana ya kimazungumzo
 
Nilikuwa sifahamu mkuu.

Lakini hoja yangu iko pale pale United haitakiwi kumsubiri Dalot, a develop kuwa Top Class RW.

Hatuwezi kuacha kusajiri Rw eti kwa sababu Dalot ana attributes za kuwa RW mzuri.
Huo muda haupo kwenye timu kubwa.
Woodward kashindwa kusajili sasa au tunasubiri mpaka Woodward achomewe nyumba yake anunue winger ?

Tutumie wachezaji waliopo kufanya majukumu hayo, Van Gaal alimconvert Young kuwa Full back Mourinho akamconvert Valencia kuwa Full back kwanini tusimconvert Dalot kufanya jukumu la right wing ambalo ukiondoa Greenwood ni yeye tu ndiyo anaweza kutumika kwa usahihi ?
 
Woodward kashindwa kusajili sasa au tunasubiri mpaka Woodward achomewe nyumba yake anunue winger ?

Tutumie wachezaji waliopo kufanya majukumu hayo, Van Gaal alimconvert Young kuwa Full back Mourinho akamconvert Valencia kuwa Full back kwanini tusimconvert Dalot kufanya jukumu la right wing ambalo ukiondoa Greenwood ni yeye tu ndiyo anaweza kutumika kwa usahihi ?
Naamini akiwa fit, atapewa nafasi tuu,
Muhimu anapopewa nafasi aitumie vizuri.
 
yap mara nyingi sana alikuwa ana overlapping jambo lililopelekea kumpa uhuru mkubwa sana juan mata, uzuri zaidi eneo lake alikuwa analindwa na eric bailly
Imagine akiwa anacheza juu ya Wan Bissaka right wing yetu itakuwa stable na threat kuliko kushoto.

Automatically tutapata magoli mengi ya cross kutoka kulia lakini anajua kucheza wide hivyo itawapa space strikers wetu kufunga.

Hii ni cheap option ambayo tunaweza kutumia.

Van Gaal aliokosa defender wa kushoto alimtumia Young then Mourinho akamtumia Valencia effectively.

Kwanini asiwe Dalot kwenye wing ? Hata Alphonce Davies wa Bayern alikuwa winger
 
Back
Top Bottom