Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Daah,,Ole anaifundisha nini hii timu?..Timu hata ule utayari haina

Wachezaji kazi ni kupoteza mipira na kupiga watu gwara uwanjani

AWB is Gone

Ni muda kidogo tu mpaka pale Pogba atakapoanza vurugu zake
Kipindi cha pili eneo la Bissaka ni km tuliweka jiwe tu muda mwingi palikuwa wazi
 
Ninyi munaweza kurudisha goli tatu kama Chelsea? Au ndo mpaka mpate penati😀😀😀

Angalia mlivyopigwa na crystal Palace, kwa sababu hamkupata penati ndo maana goli hazikurudi😂😂😂😂
 
★MU Players ratings★



manutd |
IMG_20200926_214605_861.jpeg
 
★Bruno Fernandes: "Maybe they [Brighton] say they did better. The point is to score goals not to hit the post or crossbar." ★

#GGMU

manutd |
IMG_20200926_143947_433.jpeg
 
★Solskjær: "First of all we have to be thankful José [Mourinho] isn’t here to measure the goalposts, otherwise we’d have been in trouble." ★


#GGMU

manutd |
IMG_20200926_145152_738.jpeg
 
Bruno anajitahidi sana tokea amefika Utd.

Ila tukubaliane msipomfukuza Ole,hamfiki popote hata mpewe Messi,Ronaldo. Timu haina mbinu hatujui Ole anatumia falsafa gani.

Manchester mnahitaji kocha. Hamuhitaji sijui Sancho n.k
lvg na Mou wote walikuwa top coach, hakuna guarantee yoyote akiondoka ole na kuja kocha mkubwa kwamba atafaulu. so far ole kwangu yupo kwenye right path na ana support yangu, na nipo positive.
 
lvg na Mou wote walikuwa top coach, hakuna guarantee yoyote akiondoka ole na kuja kocha mkubwa kwamba atafaulu. so far ole kwangu yupo kwenye right path na ana support yangu, na nipo positive.
Lvg alikuwa top coach ila hakupewa right choices, Mo alikuwa top coach ila anafundisha mpira mbovu ni kama zama zake zimeisha hivi, na hata sasa bado anahangaika. Ole ni kikwazo zaidi kwenye ile timu kuliko kina Martial Mana hana uwezo Wa kuboresha na kuongeza kiwango cha mchezaji mzuri. Pia hana uwezo Wa kutumia vema vipaji vya kila mchezaji. Ni average coach kama Jamhuri Kihwelo tu
 
Kipindi cha pili eneo la Bissaka ni km tuliweka jiwe tu muda mwingi palikuwa wazi
Kabisa.. kuna mipira mingi ilikuwa inatupwa upande wake yeye akiwa hayupo.

Yule dogo aliyekuwa anaunganisha ile mipira inapaa juu angekuwa makini angepiga hattrick kabisa.

[] Twende mbele turudi nyuma ila Ole hii timu ni kubwa sana kwake.

[] Arsenal, Everton na Spurs wamejipanga sana kuliko Man u.. na hapa ndio watafanya hata Top 4 itukose, tukijitahidi 6-7 au 8.
 
Lvg alikuwa top coach ila hakupewa right choices, Mo alikuwa top coach ila anafundisha mpira mbovu ni kama zama zake zimeisha hivi, na hata sasa bado anahangaika. Ole ni kikwazo zaidi kwenye ile timu kuliko kina Martial Mana hana uwezo Wa kuboresha na kuongeza kiwango cha mchezaji mzuri. Pia hana uwezo Wa kutumia vema vipaji vya kila mchezaji. Ni average coach kama Jamhuri Kihwelo tu
Watu wanapiga kelele..ooh tunahitaji straika..straika kama lukaku kwa mpira ule goli zinatokea wapi,pogba hata chance moja hajacreate..timu haiwezi kupiga hata pass kumi kwenye half ya mpinzani..huu si utani?..Tengeneza kwanza system ya uchezaji

Yaani Ole kama hawezi kuimprove viwango vya hawa tulionao hata kuongeza wengine naona atashindwa kuwatumia tu


Timu inacheza kwa morali kwa kipindi fulani tu then kwisha habari..
 
Back
Top Bottom