Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,632
Kipindi cha pili eneo la Bissaka ni km tuliweka jiwe tu muda mwingi palikuwa waziDaah,,Ole anaifundisha nini hii timu?..Timu hata ule utayari haina
Wachezaji kazi ni kupoteza mipira na kupiga watu gwara uwanjani
AWB is Gone
Ni muda kidogo tu mpaka pale Pogba atakapoanza vurugu zake




