DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,993
- 11,871
Ile nî takataka, mavi kabisaThiago Silva ni Magwaya watano. Uyo Fosu hata Yanga hapati namba.
#CFC![]()
Ile nî takataka, mavi kabisaThiago Silva ni Magwaya watano. Uyo Fosu hata Yanga hapati namba.
#CFC![]()
Spurs ya pochetino Imefanya Nini ambacho ole Hajafanya? Tusiwe wasahaulifu jamani mechi 1 au mbili zitusahaulishe mema yote.
Timu yetu ndio kwanza Imekutana, fitness level ni ndogo, ita improve kadri muda unavyozidi kwenda.
Hizo game zote tutashinda Ole kwenye big games anafanya vizuriSpurs, Chelsea, Arsenal, Everton
Katika hizi fixture Ole akitoka salama na aachiwe timu, ndani ya wiki 6 zijazo tutajua mbivu na mbichi.
Uhakika!Watu wanapiga kelele..ooh tunahitaji straika..straika kama lukaku kwa mpira ule goli zinatokea wapi,pogba hata chance moja hajacreate..timu haiwezi kupiga hata pass kumi kwenye half ya mpinzani..huu si utani?..Tengeneza kwanza system ya uchezaji
Yaani Ole kama hawezi kuimprove viwango vya hawa tulionao hata kuongeza wengine naona atashindwa kuwatumia tu
Timu inacheza kwa morali kwa kipindi fulani tu then kwisha habari..
Hizo game zote tutashinda Ole kwenye big games anafanya vizuri
Mechi ngumu hapo ni ya Everton tu, hizo zingine watafunguka hivyo tutawafunga kirahisi tu.Mkuu umeona pressing ya hizo timu lakin? Jana Neal Maupay na Aaron Connolly walikuwa wanawazidi mbio mabek wetu sasa tukikutana na Calvert-Lewin na Richarlison au Son itakuwaje? Nafaham kila mech na mbinu zake ila Fitness ya timu yetu ipo chini sana labda kiungo anaanze fred na matic mbele yao awe bruno ila pogba bado hajawa fit tunaweza kuhangaika
There is nothing special wamefanya so far United sio Everton au Spurs there is no stability & consistently kuanzia kwenye defence, midfield & forward kila siku matatizo yana-swapNikuulize maswali sasa.
1. Toka Rashford azaliwe amewahi kuwa na kiwango kama cha man utd sasa?
2. Toka Martial azaliwe Amewahi kuwa na kiwango kama Cha sasa?
3.toka Bruno Fernandez azaliwe amewahi kuwa na Kiwango kama cha sasa?
4. Toka Greenwood azaliwe amewahi kuwa na kiwango kama cha sasa?
Unaweza nipa mifano ya wachezaji Ole ambao ameshindwa kuboresha viwango vyao?
Vipi kuhusu transfer zake so far zimefanikiwa kiasi Gani?
AWB, Lindelof, Rashford, Martial, Bruno, Pogba viwango vimeshuka sana sana.Nikuulize maswali sasa.
1. Toka Rashford azaliwe amewahi kuwa na kiwango kama cha man utd sasa?
2. Toka Martial azaliwe Amewahi kuwa na kiwango kama Cha sasa?
3.toka Bruno Fernandez azaliwe amewahi kuwa na Kiwango kama cha sasa?
4. Toka Greenwood azaliwe amewahi kuwa na kiwango kama cha sasa?
Unaweza nipa mifano ya wachezaji Ole ambao ameshindwa kuboresha viwango vyao?
Vipi kuhusu transfer zake so far zimefanikiwa kiasi Gani?
Mechi ngumu hapo ni ya Everton tu, hizo zingine watafunguka hivyo tutawafunga kirahisi tu.



Ukiondoa greenwood haoartial na rashford viwango vyao ni kama vimedumaa,bado Naamini hawakupaswa kuwa ktk level hii waliyopo sasa. Bruno kaja na kipaji cha hali ya juu kidogo kidogo ataanza kuwa mshenzi tu kama wengine tu, vile vile kwa DVDBNikuulize maswali sasa.
1. Toka Rashford azaliwe amewahi kuwa na kiwango kama cha man utd sasa?
2. Toka Martial azaliwe Amewahi kuwa na kiwango kama Cha sasa?
3.toka Bruno Fernandez azaliwe amewahi kuwa na Kiwango kama cha sasa?
4. Toka Greenwood azaliwe amewahi kuwa na kiwango kama cha sasa?
Unaweza nipa mifano ya wachezaji Ole ambao ameshindwa kuboresha viwango vyao?
Vipi kuhusu transfer zake so far zimefanikiwa kiasi Gani?
AWB, Lindelof, Rashford, Martial, Bruno, Pogba viwango vimeshuka sana sana.
Timu inacheza bila coordination, flow, concistency. Philosophy haijulikani, game plan hakuna.
Ukiangalia Bayern, Liverpool, Man City wanavyocheza ukilinganisha na timu ya Ole. Unaona kabisa utofauti.
Ukiondoa greenwood haoartial na rashford viwango vyao ni kama vimedumaa,bado Naamini hawakupaswa kuwa ktk level hii waliyopo sasa. Bruno kaja na kipaji cha hali ya juu kidogo kidogo ataanza kuwa mshenzi tu kama wengine tu, vile vile kwa DVDB
Timu haijafanya preseason kwahiyo hali kama hii haiepukiki.Mkuu tia kumbukumbu jana brighton alitaka kutupiga wiki mganga wa de gea katuokoa nguzo zile jana zimeficha mengi vipi hao magiant kama hatujapata form? Bissaka anakabana na de gea![]()
Timu haijafanya preseason kwahiyo hali kama hii haiepukiki.
Man u tutakaa sawa mechi tatu zijazo
sidhani kama achievement ya Ole msimu uliopita ni idadi ya points, bali run iliosababisha hio nafasi ya 3, toka bruno aje man United hakuna timu iliopata points nyingi kushinda sisi. je unafkiri hili si jambo la kujivunia?There is nothing special wamefanya so far United sio Everton au Spurs there is no stability & consistently kuanzia kwenye defence, midfield & forward kila siku matatizo yana-swap
Last season tumemaliza EPL na point 66 while our worst manager post SAF era (Moyes) finish with 64 points
Na OGS alipewa hii timu tangu December 2018 lakini ukiangalia wanavyocheza utadhani kapewa timu last month
exactly mkuu, mashabiki hawalioni hili.Timu haijafanya preseason kwahiyo hali kama hii haiepukiki.
Man u tutakaa sawa mechi tatu zijazo
Timu haina match fitness ndiyo maana tunateswa na vitimu vidogo kwa sababu ya kutofanya preseason.Sawa mkuu ngoja tusubiri
Mashabiki tunapenda kuona mambo mazuri tu.exactly mkuu, mashabiki hawalioni hili.