Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Everton wako vizuri Sana msimu huu !!! Wana kitu flani Cha ziada ! Shina shaka watachallenge top six !!!!!!!

Carlo amekaa muda mfupi ametengeneza chemistry nzuri pia amescout vizuri Sana !!!! Mid ya Allan, gomez na doucure(nadhani cjapatia kuandika) imekaa vizuri ! Mbele pako moto , James , richalson na clevit ,,,,defenders wako njema pia
 
Yani yule Bissaka aliyekua anaimbiwa mapambio, leo hayupo tena. Yule Bruno aliyewarudisha baadhi ya watu jamvini, anaonekana kwenye penalties tu. Achilia mbali wakina Pogba na mwenziwe Maguire. Dhoofu l'hali.

Sasa wa maana ni VDB. Anaonekana ana kitu mguuni. Na unadhani ni kwanini? Very simple, ni kwasababu bado hajamezwa na'mediocrity' ya timu. Kipya kinyemi. Ila akipewa muda kidogo, na mambo yakiendelea kuwa hivi, naye atafanania na waliomzunguka sababu wazungu wanasema Birds of the same feathers flock together.

Na panapochekesha zaidi ni kwamba, kuna watu na akili zao timamu kabisa wanaamini mtabibu wao ni Sancho sababu timu haina natural wingers. Na wengine wakiamini bila natural strikers basi hamna magoli huku Liverpool wenyewe wakicheza bila natural strikers (CF) pale mbele, Firmino anacheza False 9, na bado goli zipo tu.

Goli zinatoka pembeni. Zinatoka kwa mabeki. Zinatoka kwa Mids. Why? Simple, Timu ina flow. Ina structure na pattern.

Hiyo huinunui sokoni, unaitengeneza kwenye training. Otherwise hata aje nani, hakuna atakachokuja nacho. Zaidi ataingia kwenye 'circle of mediocrity'.
 
Yani yule Bissaka aliyekua anaimbiwa mapambio, leo hayupo tena. Yule Bruno aliyewarudisha baadhi ya watu jamvini, anaonekana kwenye penalties tu. Achilia mbali wakina Pogba na mwenziwe Maguire. Dhoofu l'hali.

Sasa wa maana ni VDB. Anaonekana ana kitu mguuni. Na unadhani ni kwanini? Very simple, ni kwasababu bado hajamezwa na'mediocrity' ya timu. Kipya kinyemi. Ila akipewa muda kidogo, na mambo yakiendelea kuwa hivi, naye atafanania na waliomzunguka sababu wazungu wanasema Birds of the same feathers flock together.

Na panapochekesha zaidi ni kwamba, kuna watu na akili zao timamu kabisa wanaamini mtabibu wao ni Sancho sababu timu haina natural wingers. Na wengine wakiamini bila natural strikers basi hamna magoli huku Liverpool wenyewe wakicheza bila natural strikers (CF) pale mbele, Firmino anacheza False 9, na bado goli zipo tu.

Goli zinatoka pembeni. Zinatoka kwa mabeki. Zinatoka kwa Mids. Why? Simple, Timu ina flow. Ina structure na pattern.

Hiyo huinunui sokoni, unaitengeneza kwenye training. Otherwise hata aje nani, hakuna atakachokuja nacho. Zaidi ataingia kwenye 'circle of mediocrity'.
jioni njema brother🙌👏🤝👍👊
============
 
Japo nimekuwa nikimtetea Ole, kusema ukweli huyu ndiye kocha mbovu zaidi kuliko wote tokea Fergie aondoke. Nili-overestimate uwezo wake kiukweli hamna kitu plus ukichanganya na uwezo mdogo wa wasaidizi wake hatufiki popote msimu huu. Toka nimeanza kuipenda Manchester United mwaka 1999 nikiwa na miaka 8 leo ni moja ya mechi nilitamani zaidi mpinzani wetu aondoke na ushindi walistahili kutufunga, Brighton wamecheza vizuri sana kila idara.
 
Yani yule Bissaka aliyekua anaimbiwa mapambio, leo hayupo tena. Yule Bruno aliyewarudisha baadhi ya watu jamvini, anaonekana kwenye penalties tu. Achilia mbali wakina Pogba na mwenziwe Maguire. Dhoofu l'hali.

Sasa wa maana ni VDB. Anaonekana ana kitu mguuni. Na unadhani ni kwanini? Very simple, ni kwasababu bado hajamezwa na'mediocrity' ya timu. Kipya kinyemi. Ila akipewa muda kidogo, na mambo yakiendelea kuwa hivi, naye atafanania na waliomzunguka sababu wazungu wanasema Birds of the same feathers flock together.

Na panapochekesha zaidi ni kwamba, kuna watu na akili zao timamu kabisa wanaamini mtabibu wao ni Sancho sababu timu haina natural wingers. Na wengine wakiamini bila natural strikers basi hamna magoli huku Liverpool wenyewe wakicheza bila natural strikers (CF) pale mbele, Firmino anacheza False 9, na bado goli zipo tu.

Goli zinatoka pembeni. Zinatoka kwa mabeki. Zinatoka kwa Mids. Why? Simple, Timu ina flow. Ina structure na pattern.

Hiyo huinunui sokoni, unaitengeneza kwenye training. Otherwise hata aje nani, hakuna atakachokuja nacho. Zaidi ataingia kwenye 'circle of mediocrity'.
Kuinusuru hii timu ni kufukuza kocha na benchi la ufundi.
 
Yani yule Bissaka aliyekua anaimbiwa mapambio, leo hayupo tena. Yule Bruno aliyewarudisha baadhi ya watu jamvini, anaonekana kwenye penalties tu. Achilia mbali wakina Pogba na mwenziwe Maguire. Dhoofu l'hali.

Sasa wa maana ni VDB. Anaonekana ana kitu mguuni. Na unadhani ni kwanini? Very simple, ni kwasababu bado hajamezwa na'mediocrity' ya timu. Kipya kinyemi. Ila akipewa muda kidogo, na mambo yakiendelea kuwa hivi, naye atafanania na waliomzunguka sababu wazungu wanasema Birds of the same feathers flock together.

Na panapochekesha zaidi ni kwamba, kuna watu na akili zao timamu kabisa wanaamini mtabibu wao ni Sancho sababu timu haina natural wingers. Na wengine wakiamini bila natural strikers basi hamna magoli huku Liverpool wenyewe wakicheza bila natural strikers (CF) pale mbele, Firmino anacheza False 9, na bado goli zipo tu.

Goli zinatoka pembeni. Zinatoka kwa mabeki. Zinatoka kwa Mids. Why? Simple, Timu ina flow. Ina structure na pattern.

Hiyo huinunui sokoni, unaitengeneza kwenye training. Otherwise hata aje nani, hakuna atakachokuja nacho. Zaidi ataingia kwenye 'circle of mediocrity'.
Ukweli unaouuma...Leo nimeumia sana timu inavyocheza mpaka huruma...timu haina staili rasmi ya uchezaji.
 
😂😂😂 Kumbe Man. Utd tukikaza ubingwa wetu bhana, wapinzani wetu ndo hawa Chelshit kweli!!!
 
Yani yule Bissaka aliyekua anaimbiwa mapambio, leo hayupo tena. Yule Bruno aliyewarudisha baadhi ya watu jamvini, anaonekana kwenye penalties tu. Achilia mbali wakina Pogba na mwenziwe Maguire. Dhoofu l'hali.

Sasa wa maana ni VDB. Anaonekana ana kitu mguuni. Na unadhani ni kwanini? Very simple, ni kwasababu bado hajamezwa na'mediocrity' ya timu. Kipya kinyemi. Ila akipewa muda kidogo, na mambo yakiendelea kuwa hivi, naye atafanania na waliomzunguka sababu wazungu wanasema Birds of the same feathers flock together.

Na panapochekesha zaidi ni kwamba, kuna watu na akili zao timamu kabisa wanaamini mtabibu wao ni Sancho sababu timu haina natural wingers. Na wengine wakiamini bila natural strikers basi hamna magoli huku Liverpool wenyewe wakicheza bila natural strikers (CF) pale mbele, Firmino anacheza False 9, na bado goli zipo tu.

Goli zinatoka pembeni. Zinatoka kwa mabeki. Zinatoka kwa Mids. Why? Simple, Timu ina flow. Ina structure na pattern.

Hiyo huinunui sokoni, unaitengeneza kwenye training. Otherwise hata aje nani, hakuna atakachokuja nacho. Zaidi ataingia kwenye 'circle of mediocrity'.


Kaka! umeandika kiuchambuzi hasa. Hongera!
 
Bruno Fernandes huyu jamaa yeye anachokijua ni kusubiri penalty tu.
Ile pasi kwa Rashford ni Penalty? Tu assume Bruno fernandez hajafunga goli hata moja Toka Aje Man Utd, idadi ya Assist tu ni nzuri. So far amecheza mechi 16 za Epl na Ana Assist 8, average kila mechi 2 ni assist 1. Ukimtoa Henry, Ozil, Fabregas na De bruyne sidhani kama Kuna Kiumbe chochote pale Epl chenye record kama hii.
 
Ile pasi kwa Rashford ni Penalty? Tu assume Bruno fernandez hajafunga goli hata moja Toka Aje Man Utd, idadi ya Assist tu ni nzuri. So far amecheza mechi 16 za Epl na Ana Assist 8, average kila mechi 2 ni assist 1. Ukimtoa Henry, Ozil, Fabregas na De bruyne sidhani kama Kuna Kiumbe chochote pale Epl chenye record kama hii.
Bruno anajitahidi sana tokea amefika Utd.

Ila tukubaliane msipomfukuza Ole,hamfiki popote hata mpewe Messi,Ronaldo. Timu haina mbinu hatujui Ole anatumia falsafa gani.

Manchester mnahitaji kocha. Hamuhitaji sijui Sancho n.k
 
Back
Top Bottom