Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,150
- 17,002
Hii ndio mara ya kwanza kuona. Mpira umekwisha kisha referee anaamuru mpira urudi uwanjani kwa ajili ya kutoa adhabu ambayo ilipaswa kutolewa kabla ya kupuliza kipyenga kuashiria mpira umeisha.
Brighton wame hit post mara tano. Walicheza vizuri na kwa uwelewano mzuri. Brighton walistahili ushindi lakini bahati haikuwa upande wao. Yote kwa yote hongereni kwa alama 3 japo ni za jasho haswa.
Brighton wame hit post mara tano. Walicheza vizuri na kwa uwelewano mzuri. Brighton walistahili ushindi lakini bahati haikuwa upande wao. Yote kwa yote hongereni kwa alama 3 japo ni za jasho haswa.




