
VAR imetupa ushindi.
It's too late ligi imeshaanza na soon itachanganya,Japo tumeshinda. Mwaka huu utakuwa mgumu sana kwetu, unless otherwise mambo yabadilike mapema. Watoe hela tupate wachezaji. Natural Left Back na natural Winger.
Hujui mpira wewe hata wangekuwa wamerudi makwao wangeitwa penati ipigweManina kabisa huyu Refa akachezeshe championship mpira umeisha unarudije kwenye VAR?