Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mna FA ngapi mkuu?

Ukishindwa kujibu hilö, kwa heshima na unyenyekevu edit comment yako na ufute maneno 'kila kitu' wala usijihisi aibu na unyonge huo ndio uungwana na ukomavu, na sisi waungawana tutahesabu tu umeteleza kijana.
Mkuu Man united unatuletea story za vikombe vya chai ?

Ona hata aibu basi
 
Pia wengine ni wazuri ila ni wapuuzi pengine ni kutokana na ubora mdogo wa kocha wachezaji km

Rashford
Martial
Linderlof.. huenda co wabaya isipokuwa kocha huenda hawezi kuwafanya waonekane ni killers, imefika kipindi hata pogba anaonekana hovyo kabisa.
Rashford,martial ni wingers sio natural strikers..hilo ndy tatizo letu man u,,kugeuza winger kuwapa mikoba ya striker
 
Hapa napo umerudia kuwa Ferguson alikuwa na squad mbovu kuliko sasa hivi unataka nionyeshe nini wakati wewe mwenyewe umesema.

Hivi striking force ya
Van Persie, Wayne Rooney, Chicharito na Dany Welbeck ni mbovu kuliko striking force ya Rashford, Martial, Greenwood na Ighalo ?

Je defence force ya
Nemanja Vidic, Rio Ferdinand, Chris Smalling Patrice Evra, Rafael Da Silva na Fabio Da Silva iko sawa na hii ya kina Lindelof, Maguire na mgonjwa Bailly ?

Kwenye midfield ya

Darren Fletcher, Paul Scholes, Ryan Giggs, Antonio Valencia, Shinji Kagawa, Michael Carrick, Jisung Park utalinganisha na hii midfield ambayo ikipiga pass mbili lazima ipoteze mpira ?
Tena umesahau na Damian babatov kwenye strikers.
Man u ile ndy ilikiwa na spirit ya feggy times..na sio hii ya sasa
 
As #MUFC struggle to sign reinforcements, nobody should underestimate effects of a pandemic that has denied them at least £35m in matchday revenue. But the Glazer regime has cost them £1.5bn over past 15 yrs, causing more damage than a pandemic ever could

Mzee Hahahaha umeamua kabisa kuweka pundamilia kwenye avatar noma.
 
Nilikuwa naangalia ratiba ya EPL na nikaona baada ya mechi za weekend hii gemu za wiki zinazofuata zinachezwa muda mmoja..Kwanini wamefanya hivi? au sio ratiba rasmi?
 
Back
Top Bottom