Heheheheheeee unajua mkuu nakuheshimu ila unataka nianze kujiuliza, hicho kikosi unachokitaja nimekwambia hakikuwa kibovu isipokuwa wachezaji wengi walikuwa ktk zama zao za mwisho mwisho, angalia umri wao af angalia umri wa ss, hicho kikosi ulichokitaja ww hapo km utaangalia majina ni makubwa kuliko hata kikosi cha ss cha Liverpool, je unataka kutuaminisha kwamba kikosi hicho kilikuwa bora kuliko cha Liverpool cha ss?
Unafananisha ubora wa Ferdinand, Evra, Vidic na hawa wa ss, ukweli ni kwamba hao walicheza katika ubora wa hali ya juu sn enzi zao lkn kumbuka comment yng nilisema zama za mwisho mwisho za Ferguson hao walikuwa hawana ubora wao tuliouzoea walikuwa wameshaanza kulega lega na ndiyo maana cku ile pale Wembley tuliishia kuaibishwa na km isingekuwa huruma ya barca tungepigwa hata 8.
Kikosi cha ss co kibovu, huwezi kuniambia eti Maguire mbovu, Linderlof mbovu, Pobga mbovu, isipokuwa kocha ndiyo hatoshi hebu angalia hk kikosi ni kweli kilikuwa kina majina makubwa mengi lkn mbn baada ya Ferguson kuondoka wengi hawakudumu


View attachment 1576967