Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Mchezaji wao anayelipwa hela nyingi ni £13,000 kwa wiki.Ukichungulia mishahara ya manutd na ukalinganisha na Luton utasema huu ni wizi wa wazi
Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Wachezaji wana lack of confidence tofauti na timu zingineMchezaji wao anayelipwa hela nyingi ni £13,000 kwa wiki.
Kiukweli ni ngumu kuelewa kitu wanachokifanya wachezaji wa Leeds au Everton au Wolves ni kipi kuwashinda wa Man. Utd kwenye mechi ndogo tu kama hizi.
Kabisa kwa Sasa tunamhitaji Sana huyu jamaaMungu amjalie Eric Bail aispate majeraha tena.. Anatuokoa sana.
★
Kocha hamna mule hata mbinu zake cjaziona wala nn tulicheza hovyo mpk walipoingia kina Bruno kwa uwezo wao binafsi ndo mpira ukabadilika, yeye yupo juu huko kaweka nne anajifanya introvert au co?★Man of the Match kwangu ni ERIC BAILLY jamaa kanifurahisha sana hata kama tusinge shinda ningelala na furaha tu
Cha ajabu na chakushangaza na mtaniambia mechi ijayo ataanza Victor Lindelof na Eric Bailly atakuwa nje hapo ndio utajua ngozi nyeusi haina Bahati★View attachment 1577739
Huyu Bailly tumeongea mara nyingi kwamba anastahili kuanza sema naye tatizo lake majeruhi mara kwa mara.★Man of the Match kwangu ni ERIC BAILLY jamaa kanifurahisha sana hata kama tusinge shinda ningelala na furaha tu
Cha ajabu na chakushangaza na mtaniambia mechi ijayo ataanza Victor Lindelof na Eric Bailly atakuwa nje hapo ndio utajua ngozi nyeusi haina Bahati★View attachment 1577739