Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

The best 007,

Hahahahaaa inaonekana huwakubali kabisa Anthony na mshikaji wake Marcus. Kwa sasa namba ya muhimu zaidi kununua mchezaji ni beki wa kati hapa pana tatizo kubwa sana. Tumedondosha sana points muhimu kwa uzembe hapana kiongozi ktk hili eneo, muda inapopigwa kona au set pieces ni rahisi sana sisi kufungwa na cross ikipigwa kwa umakini tunakuwa ktk hatari.
Striker na winger ni muhimu zaidi mkuu.

Ukiwa na striker anakupa magoli 25 ya epl kwa msimu ataleta utofauti mkubwa kwenye msimamo kuliko mabeki.

Naamini kwenye kushambulia zaidi kuliko kuzuia. Tukiondoa draw zisizo na ulazima, tutafika mbali tu.
 
Tia Cavani kati pale, tia VDB huku pembeni pia hata Grealish sajili japo wengi wanamchukulia poa najua kwasabu anacheza na Sammata ndivyo WaTz tulivyo but Grealish huwezi mfananisha na wapuuzi wengi pale utd na kwasabu atakutana na mafundi zaidi yake lazima atachange mpira wake wa anao anao,

kikosi kiwe

1. De gea
2. AWB
3. Shaw (apatikane beki wa kum back up huyu)
4. Upermecano
5. Maguire
6. Matic
7. Sancho
8. Bruno
9. Cavani
10. Pogba
11. VDB

Benchi:
Grealish, Fred, Mctomminay, Martial, Rashford, Greenwood, Bailly, Williams n.k

Hapo kwenye first eleven utaona ni wachezaji wa3 tu ambao hatujawasajili ukiongezea na Grealish utaona kwamba ni wachezaji wa4 tu ambao nitaongezea hapo na unaweza kuona upana wa kikosi hapo.
Utoe £80M mchezaji atokee benchi? Hiyo ni kumleta mchezaji atakeleta impact right away.

Bora ukawatafute wakina VDB wanne. Grealish is still a big gamble kwa hiyo bei labda angeuzwa kwa £25M.
 
Mkuu Roy Keane aliwahi kusema kwamba tusitarajie makubwa toka kwa Martial, kuna kitu alimaanisha na nahisi mm nilimuelewa sn cz aliongea yale yale niliyokuwa nawaambia watu.
Waingereza hawajui mpira. Usiwasikilize hao pundits ukaweka maneno yao kichwani.

Rio. Keane. Scholes. Neville.

Hawa jamaa hawajui kitu.

Japo Martial anatakiwa apate mtu wa kumtoa jasho.
 
Waingereza hawajui mpira. Usiwasikilize hao pundits ukaweka maneno yao kichwani.

Rio. Keane. Scholes. Neville.

Hawa jamaa hawajui kitu.

Japo Martial anatakiwa apate mtu wa kumtoa jasho.
Ni kweli ila Martial hatufai popote hata ukimuweka no11 bado huwa anapata tabu kupenya kuingia ndani, cjajua ni kwnn mashabiki wengi mnamuelewa huyu jamaa, ofcz mm con chochote kutoka kwake I don't know why.
 
Tunatamani wachezaji wazuri wengiiiiiii!!!! Hivi tuna kocha Wa kuwatumia wachezaji wazuri wakaonyesha uzuri wao kwa kiwango cha juu!!!!
 
Ukiangalia ile front 3 yetu halafu ukutane na timu kama Munchen, Juve,R. Madrid,PSG n.k ndio utapojitambua una vijitu siyo watu!
Ndo hapo ss, ebhn inasemekana Bayern na Man u wapo mezani kuhusu Alcantara, mwenye info atupe.
 
Tunaanza kuongea lugha moja.

Moja kati vitu ninawachukia waingereza ni kujikuza kule wasipostahili.

Wanajiona wana viwango wakati ni wakawaida sana.

Muingereza pekee niliemkubali kizazi hiki ni Wayne Rooney labda kidogo umuweke David Beckham.

Ila wengine sioni uajabu wowote.
Vipi kuhusu Paul Scholes
 
Ni kweli ila Martial hatufai popote hata ukimuweka no11 bado huwa anapata tabu kupenya kuingia ndani, cjajua ni kwnn mashabiki wengi mnamuelewa huyu jamaa, ofcz mm con chochote kutoka kwake I don't know why.
Mnamlaumu Martial Je amezungukwa na kina nani? Au ndo hizo pasi uchwara za fred? Au mnataka akokote mpira kutoka goli moja hadi lingine.

Mpira ni combination,Kuna mdau aliongelea accuracy ya Martial hapo EPL.
 
Striker na winger ni muhimu zaidi mkuu.

Ukiwa na striker anakupa magoli 25 ya epl kwa msimu ataleta utofauti mkubwa kwenye msimamo kuliko mabeki.

Naamini kwenye kushambulia zaidi kuliko kuzuia. Tukiondoa draw zisizo na ulazima, tutafika mbali tu.
Hakika mkuu,,,
 
Ni kweli ila Martial hatufai popote hata ukimuweka no11 bado huwa anapata tabu kupenya kuingia ndani, cjajua ni kwnn mashabiki wengi mnamuelewa huyu jamaa, ofcz mm con chochote kutoka kwake I don't know why.
Mkuu martial yupo vzr sana akiwa left,
Na uchezaji wake sio wa kutia cross ndani,bali ni kupenya na kutoa assist,,
Ni mzr sn martial ukilinganisha na forward tulionao kwa sasa,,
Ila hatoshi kuwa main striker,,
Anapaswa arudishe jezi no 9 ,,acheze winger..
 
Ndo hapo ss, ebhn inasemekana Bayern na Man u wapo mezani kuhusu Alcantara, mwenye info atupe.
Liver poor walipeleka ofa yao ikawa ndogo,,
Wakati Munich wa nafikiria ofa ya liver ,,agent wa alcantara akawaambiya Munich kwamba man u nao wanamuhitaji alcantara,,
So kinachofanyika now ni man u kuongea na mchezaji kwanza kuhusu malipo yake yake ya mshahara,,wakikubaliana ndy wanapeleka ofa kwa Munich,
Lakini liver washakubaliana na mchezaji mshahara bado club ya bayan Munich ,,kwani ofa yao ni kubwa kwao,, wanafanya negotiations..
 
Mnamlaumu Martial Je amezungukwa na kina nani? Au ndo hizo pasi uchwara za fred? Au mnataka akokote mpira kutoka goli moja hadi lingine.

Mpira ni combination,Kuna mdau aliongelea accuracy ya Martial hapo EPL.
Kweli mkuu
 
Ukiangalia ile front 3 yetu halafu ukutane na timu kama Munchen, Juve,R. Madrid,PSG n.k ndio utapojitambua una vijitu siyo watu!
Psg na Juve tuliwafunga na kikosi kibovu kushinda hiki, na Ole siku zote anafanya vizuri akikutana na timu inayofunguka.

Pia washambuliaji wetu Rashford na Martial ni big game players, wanazifunga zaidi timu kubwa kuliko Ndogo.

Epl yenyewe Timu kubwa ikikutana na sisi inajiandaa kisaikolojia.
 
Naondoa

1 Smalling
2 Phill jones
3 Rojo
4 Lingardinho
5 Perreira
6 Mata
7 Fred

Naleta

1 Regullon ile LB ya Madrid iliyoko sevila kwa mkopo
2 World-class CB Kama Upermecano
3 Alcantara
4 Sancho
5 Jiminez

Nawapa onyo

1 Rashford
2 Dan James

Ila tu kama ningekuwa Ole + Ed Woodward
Sawa bwana OGS tumekuelewa
 
MANCHESTER United na Bayern Munich zipo mezani kujadili uwezekano wa kukamilisha dili la uhamisho wa kiungo wa mabingwa hao wa Ulaya, Thiago Alcantara kutua ndani ya viunga vya Old Trafford katika dirisha hili la usajili.
Liverpool ndio ilikuwa klabu ya kwanza kuwa kwenye mpango wa kutaka kumsainisha mchezaji huyo lakini imekuwa inasita kutoa Euro 30 milioni, bei ambayo imetajiwa na Bayern kama ada ya usajili wa Alcantara.
Thiago mapema mwezi Juni aliiambia Bayern kuwa hafikirii kuurefusha mkataba wake ambao unatarajiwa kumalizika mwaka 2021 na anahitaji kuondoka katika dirisha hili la usajili.
Bayern haina mpango wa kumuchia bure mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29, hivyo inatarajia kumuuza katika dirisha hili kwa klabu ambayo itawasilisha ofa inayoeleweka kwa kuwa alikuwa mchezaji wao muhimu msimu uliopita na akaiwezesha kushinda taji la Ligi ya Mabingwa Ulaya.
Thiago amecheza Bayern kwa miaka saba baada ya kujiunga nayo akitokea Barcelona mwaka 2013, aliponunuliwa kwa ada ya uhamisho ya Euro 25 milioni na kufikia sasa amecheza mechi 235 na kufunga mabao 31, lakini amekuwa akitumika zaidi kwenye eneo la kiungo ambalo analitendea haki kwa kuonyesha kiwango kizuri.
Taarifa zilizochapishwa katika tovuti ya ESPN zinadai kuwa Liverpool yenyewe imeamua kuachana na mpango wa kutaka kumsajili.
 
Mkuu martial yupo vzr sana akiwa left,
Na uchezaji wake sio wa kutia cross ndani,bali ni kupenya na kutoa assist,,
Ni mzr sn martial ukilinganisha na forward tulionao kwa sasa,,
Ila hatoshi kuwa main striker,,
Anapaswa arudishe jezi no 9 ,,acheze winger..
Ni kweli ila mm nilianza kugundua kwamba Martial hatoshi tng enzi zile anatokea kushoto, huwa anajitahidi kutoka mtu lkn mara nyingi anashindwa japo zipo chache alizo win so tng hapo nikawa namfuatilia kwa makini na kiukweli jamaa ana nyota ya kupendwa cz hata mm nilitokea kumkubali sn but mwishowe nikagundua ni overrated player.
 
Back
Top Bottom