Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Man Utd ni club kubwa.

Ni nadra sana kupata mchezaji asije kucheza kwa presha.

Ndo maana tulisajili baadhi ya wachezaji wenye majina wakashindwa kufanya vizuri.

Tumuamini Martial, tumpe viungo na wingers.
Sawa mkuu ngj tuone.
 
Mkuu Roy Keane aliwahi kusema kwamba tusitarajie makubwa toka kwa Martial, kuna kitu alimaanisha na nahisi mm nilimuelewa sn cz aliongea yale yale niliyokuwa nawaambia watu.
Yepi mengine, sababu post covid 19 martial is quite a different being
 
Kleberson,Veron,Forlan,Anderson,Falcao,DiMaria na wengine toka South America walistruggle United licha ya kucheza vizuri timu nyingine

Tevez,Rafael,Heinze & Valencia ndio wachezaji toka S.America waliofanikiwa United
Kuna watu walikuwa wanatamani yule Federico Valverde na sasa Sergio Reguillon.

Hawa watu sijui walikosana nini na United wengi hawafanyi vizuri na united hata Fred sidhani kama atadumu misimu miwili mbele.
 
NYUMBUU
tapatalk_1598966161143.jpg
 
Ujio wa Alcantara utafanya Mc tominay au Fred kupotea kabisa. Yawezakana nafasi kwao ikawa ni Emirates cup pekee
Alcantara hawezi kuweka benchi hao vijana kwanza akija epl lazima apotee tu.

Na sidhani kama United wako kwenye mbio za kumsajili Thiago Alcantara zaidi ya rumours tu
 
Lengo la Ole km langu tu, ole anaamini ktk viungo km pep mm pia ni muumini wa viungo bora uwanjani unapokuwa na viungo bora mfano Bruno, pogba, VDB, Alcantara, Matic, Mc Tommy n.k hapo ukimkamata mtu unamfumua malinda mpk anaomba poo kudadadeki mana kila akianza anakaa na mpira sekunde 3 mnao nyie mnakaa nao dk5.
Tatizo kipaaa na Maguire sio kbsaa
 
Psg na Juve tuliwafunga na kikosi kibovu kushinda hiki, na Ole siku zote anafanya vizuri akikutana na timu inayofunguka.

Pia washambuliaji wetu Rashford na Martial ni big game players, wanazifunga zaidi timu kubwa kuliko Ndogo.

Epl yenyewe Timu kubwa ikikutana na sisi inajiandaa kisaikolojia.
Ha ha ha ni ile tunashinda kizalizali roho mkononi. Ile ya PSG ni bahati tu na hadi Leo sijui tuliwafungaje na hata kwao imebaki historia
 
Manyumbu sio sehemu salama bado Van biki kukimbia

Sanchez: Nilitaka kuondoka Man Utd na kurudi Arsenal baada ya kufanya mazoezi siku ya kwanza.

Mshambuliaji wa kimataifa wa Chile, Alexis Sanchez amekiri kuwa alitaka kuondoka Manchester United na kurudi Arsenal baada ya kufanya mazoezi siku yake ya kwanza tu na Mashetani Wekundu.

"Baada ya kufanya mazoezi yangu ya kwanza kabisa niligundua vitu vingi, nilirudi nyumbani na kuiomba familia yangu na meneja wangu ikiwa naweza kuvunja mkataba na kurudi Arsenal, hapakuwa sehemu sahihi, lakini nilikuwa tayari nimesaini," amesema Sanchez.

Akizungumzia wakati wake huko Manchester kupitia video iliyopostiwa kwenye Instagram yake, mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 31 anadai alifahamu haraka sana kwamba hatafurahiya maisha yake ndani ya klabu na aligundua kukosekana kwa umoja ndani ya kikosi cha United kilichokuwa kikinolewa na Jose Mourinho .

"Baada ya mazoezi ya siku ya kwanza tu niligundua vitu vingi, nilirudi nyumbani na kuuliza familia yangu na meneja wangu ikiwa siwezi kuvunja mkataba na kurudi Arsenal, kitu hakikunitoshea, lakini nilikuwa tayari nimesaini," Sanchez alisema.

"Miezi ilipita na niliendelea kuhisi hivyo hivyo. Hatukuwa na umoja kama timu kwa wakati huo.

"Waandishi pia walizungumza bila kujua na iliniumiza. Wachezaji wa zamani pia walizungumza na hawakujua ni nini kilikuwa kinaendelea ndani ya klabu. Na waliniumiza.

"Mchezaji pia anategemea mazingira ya ndani ya klabu, tunahitaji kuwa kama familia moja. Hatukuwa hivyo, na ilionekana hadi uwanjani. Ikiwa mtu alikosea, walinilaumu mimi.

"Ninajilaumu mwenyewe na nilipaswa kucheza vizuri zaidi. Lakini nilikuwa nikilaumiwa kila wakati, hata ikiwa nilicheza kwa dakika chache."

Itakumbukwa Sanchez alicheza game 45 kwa Mashetani Wekundu, akifunga mabao matano tu na kutoa assits tisa, takwimu ambazo zilikuwa chini sana ukilinganisha na mabao 80 aliyofunga kwenye michezo 166 na Gunners.
 
Huyu dogo wangempa jezi namba 20 aliyokuwa akivaa Robin Van Persie uchezaji wao unafanana sana.
Sure, na ingempendeza sn unajua mm binafsi ktk namba kubwa kubwa nnazoona zinapendeza kuvaa mojawapo ni 20, lkn kuna zngne pia kwasabu ya influence ya wachezaji mfano 23-beckham, 19-Messi, 66-Arnold na 18-Scholes.
 
Niliona hyo tetesi pia japo wakasema mchezaji anataka hela nyingi jambo litalofanya Man U waachane nae
Ndo hapo nnapowashangaa wachezaji, wakisikia utd utakuta wana demand pesa nyingi wkt angeenda barca, Liverpool au Bayern wangelipwa pesa mbuzi tu.
 
Back
Top Bottom