Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hv Fred na Scott ni nani yupo yupo vizuri kwenye passing accuracy?
Mkuu yule mtoto Mac Tommy yupo vzr sn tu,,
Ukitaka kuamini hilo,,kipindi pogba yupo .majeruhi,,alikuwa anacheza matic,,Fred,na Mac tommy,,
Nimewaangalia vzr sn,,walikuwa wapo vzr sn pale kwnye kiungo,, nakumbuka hata kuna siku Mac Tommy alipiga goli la ushindi kwa man u,,dk za mwisho,,long shoot on target.
Kilichopo ni kwamba,,,Siku mac tommy akiwa benchi na wakicheza Pereira,, magic,na Fred pale kati ,,ndy utajuwa kumbe yule Mac Tommy ndy alikuwa anaficha ubovu wa Fred,,Mac Tommy yupo vzr sn mkuu..
Fred pasi zake ni short pass,,hana long pass,,,pasi zake za hapa hapa ambazo sio za kwenda mbele,,,na hata akiwa karibu na goli hana madhara yeyote,,, na kama nilivyokwambiya akipokonya mpira basi pasi ya mwisho ni fyongo,,
Yule mtoto Mac tommy kama tutamuacha aendlee kucheza,,na apewe nafasi ya kucheza na hawa seniors akina pogba na van de beek,,,atakuwa mzr zaidi,,ila kwangu mm fred hana nafasi hapo united,,,
 
Tumesajili falcao, lukaku, di maria, depay na mastaa kibao wameshindwa kutupeleka popote, tumemuamua turudi kwenye Asili yetu ya kusajili watoto wenye njaa ya mafanikio, timu imeanza kurudi kwenye form, haraka sana tunasahau tuanze tena kufuatilia hao wazee kina CAvani?
Personally ukiniuliza striker gani anafaa kusajiliwa United kwa sasa naona ni Raul Jimenez tu.

Nasema hivi kwa sababu ni mchezaji ambaye anaweza kucheza kama central striker kutokea kulia wakati sisi tuna Greenwood tu mwenye uwezo wa kucheza hiyo nafasi.

Pili Raul Jimenez anaweza kufit vizuri sana kwenye mifumo mingi tofauti tofauti bila kuathiri rhythm ya timu.

Martial msimu huu kajitahidi sana ukuzumingatia na majeraha aliyoyapata lakini pia team nzima haikuwa vizuri sana mwanzoni mwa msimu mpaka tuliporudi kutoka kwenye corona.
 
Hakika kwa sasa sokoni hata kupata Striker mzuri ni mbinde kweli kweli.

Tunahitaji Striker wa kucheza kama tunahitaji kubadili mfumo maana strikers wetu wengi hawafiti kucheza kama target men.
Mkuu strikers wapo kibao tu,,tatizo hawa scout wanaoshughulika na kuangalia wachezaji sijuwi wanatafuta mchezaji kwa kigezo gn?
kama watu wanahangaika na kununuwa Sancho as a winger kwa 120 milion paunds i,,tutashindwaje kupata striker?
Huko France kuna watu wanafunga vibaya,,na hawana gharama,,
 
Sikupingi mkuu,,na wala sisemi martial sio mshambuliaji mzr,,mm ni mmoja kati wa fans wa martial,,huwa namuelewa sn tu..
Martial anacheza vizuri sn wide,,akitokea kushoto,,na hata Mara zingine utamuona akiona kabanwa sn kati anampisha rashford pale no 9 yeye anakimbilia kushoto,,utaona kabisa timu imebadilika na yeye pia kabadilika uchezaji,,
Ninachosema ni kwamba ili tuwe washindani wa EPL na UEFA,,,FA basi tunapaswa tuongeze nguvu kwenye main striker no 9,,ndy maana martial sikumtoa kwnye kikosi,nikasema anapaswa acheze wide left,,, hivi umeshawahi kuona striker no 9 mfupi?madhara yake yapoje?kwenye timu pinzani?
Na ushawahi kuona striker mrefu?level ya Kane?madhara yake yapoje kwenye mipira ya juu?kona ,,cross nk?
Ndy maana martial kwenye kupiga mipira ya vichwa hapati nafasi,,sababu ya pia height yake ilivyo..pia hayupo strong sana ,,,akikutana na namba 4 mkorofi hutomuona uwanjani ,,, anapaswa acheze wide ndy anakuwa mkali sn..,,na hapo awepo mtu mkali level ya Kane,,au striker world class yeyote mzr,, pia anatosha..
Hebu tutumie kigezo cha urefu tuangalie timu kubwa Uingereza na ulaya

Martial Urefu wake 1.81m

1. Bingwa liverpool firmino ni 1.81m
2. Wa pili Man City Aguero ni 1.73m
3. Wa Nne Chelsea tamy ni 1.9m lakini huyu mpya waliemleta Werner ni 1.8m
4. Leicester Vardy ana 1.78m
5. Spurs kane ana 1.88m
6. Arsenal Auba ana 1.87m

Hivyo mkuu ni kane na Auba tu ndio warefu kwa main striker wa timu kubwa Epl ila timu za top 4 watakaoanza Aguero, firminho na werner wote hawajamzidi martial urefu.

Pia ukiangalia watu kama suarez, benzema, lewandoski etc hawana urefu wa kutisha, Age za striker wa kati kuwa mrefu zimeshapitwa na wakati, yupo Ighalo atakuwa impact sub plan ya Kawaida ikishindikana.

Mimi muono wangu timu yetu ni predictable tunatumia upande mmoja tu kushoto, kulia kumepwaya sana, akija mtu kama sancho ama mwengine anaejua kufunga na ku Assist akitokea kulia tutatisha sana.

Martial amefunga Goli 17 msimu uliopita hali ya kuwa amemiss mechi kama 8 kwa majeruhi, ameprove yeye ni 20 Goal striker, kwa Man U ni mwaka mmoja tu ndio striker wetu alifikisha goli zaidi ya 30, Ronaldo wa 2008, ila miaka yote top scorers wetu akiwa Rooney, berbatov, Nistelrooy, yorke etc wanakuwa wanacheza humo humo 20+

Na kama wadau wengine walivyosema hapo juu, tunamiss sana magoli toka sehemu nyengine, Ferdnandez ametusaidia sana ila mabeki wa kati, na viungo wengine wanatuangusha kwenye mchango wa Magoli.
 
Kweli mkuu,, mechi yetu na sevilla tulipaswa kushinda angalau kwa goli 2 mbele
Halafu kuna watu wanatetea strikers wetu kila Fernandez anafunga,,tena kwa penalties na sio magoli ya moves,,
Tunapaswa tununuwe striker no 9 ,,one chance ,,one goal,,
Uone kama hatukubeba ubingwa,,kipindi kile tumemnunuwa IBRA alitubeba sn tu..
Magoli ya vichwa ,,,na cross pia
 
Mkuu strikers wapo kibao tu,,tatizo hawa scout wanaoshughulika na kuangalia wachezaji sijuwi wanatafuta mchezaji kwa kigezo gn?
kama watu wanahangaika na kununuwa Sancho as a winger kwa 120 milion paunds i,,tutashindwaje kupata striker?
Huko France kuna watu wanafunga vibaya,,na hawana gharama,,
Unaweza ukatupa mfano walau mmoja wa striker ambaye anafaa kuwa first choice pale united ?
 
Personally ukiniuliza striker gani anafaa kusajiliwa United kwa sasa naona ni Raul Jimenez tu.

Nasema hivi kwa sababu ni mchezaji ambaye anaweza kucheza kama central striker kutokea kulia wakati sisi tuna Greenwood tu mwenye uwezo wa kucheza hiyo nafasi.

Pili Raul Jimenez anaweza kufit vizuri sana kwenye mifumo mingi tofauti tofauti bila kuathiri rhythm ya timu.

Martial msimu huu kajitahidi sana ukuzumingatia na majeraha aliyoyapata lakini pia team nzima haikuwa vizuri sana mwanzoni mwa msimu mpaka tuliporudi kutoka kwenye corona.
Ndy tunahitaji no 9 ..wa kucheka na nyavu..sio kucheka na camera kama akina rashford,,
Martial anahitaji masidizi pale kati,,yeye atokee kushoto..kama yeye aliweza kufunga magoli kadhaa na kakosa kadhaa,,na rashford aliyokosa ni mengi kuliko aliyofunga ,,je akija striker mwenye shabaha ya kufunga unadhani atafunga mangapi?
 
Personally ukiniuliza striker gani anafaa kusajiliwa United kwa sasa naona ni Raul Jimenez tu.

Nasema hivi kwa sababu ni mchezaji ambaye anaweza kucheza kama central striker kutokea kulia wakati sisi tuna Greenwood tu mwenye uwezo wa kucheza hiyo nafasi.

Pili Raul Jimenez anaweza kufit vizuri sana kwenye mifumo mingi tofauti tofauti bila kuathiri rhythm ya timu.

Martial msimu huu kajitahidi sana ukuzumingatia na majeraha aliyoyapata lakini pia team nzima haikuwa vizuri sana mwanzoni mwa msimu mpaka tuliporudi kutoka kwenye corona.
Hata mimi Jimenez nakubali anafit philosophy ya Ole, ni All around striker, jack of All trade.
 
Halafu kuna watu wanatetea strikers wetu kila Fernandez anafunga,,tena kwa penalties na sio magoli ya moves,,
Tunapaswa tununuwe striker no 9 ,,one chance ,,one goal,,
Uone kama hatukubeba ubingwa,,kipindi kile tumemnunuwa IBRA alitubeba sn tu..
Magoli ya vichwa ,,,na cross pia
Fernandes kafunga goli nyingi tu EPL ambazo siyo za pelnaty almost 5 goals.
 
Halafu kuna watu wanatetea strikers wetu kila Fernandez anafunga,,tena kwa penalties na sio magoli ya moves,,
Tunapaswa tununuwe striker no 9 ,,one chance ,,one goal,,
Uone kama hatukubeba ubingwa,,kipindi kile tumemnunuwa IBRA alitubeba sn tu..
Magoli ya vichwa ,,,na cross pia
Mpira tunaocheza sasa hivi hautegemei sana cross.

Ndiyo maana hata recruitment ya Solkjaer haiangalii sana tall striker kwajili ya cross na long balls.
 
Hata mimi Jimenez nakubali anafit philosophy ya Ole, ni All around striker, jack of All trade.
Akisajiliwa atatusaidia sana kufunga goli za kwenye box header pamoja na kutengeneza space kwa kina Rashford na Martial.

The good thing is tunaweza kucheza mfumo wa 4 3 3 , 4 4 2, 4 5 1, 4 2 3 1, 4 2 2 2, 3 5 2 and 4 4 2 diamond with Raul Jimenez.
 
Hebu tutumie kigezo cha urefu tuangalie timu kubwa Uingereza na ulaya

Martial Urefu wake 1.81m

1. Bingwa liverpool firmino ni 1.81m
2. Wa pili Man City Aguero ni 1.73m
3. Wa Nne Chelsea tamy ni 1.9m lakini huyu mpya waliemleta Werner ni 1.8m
4. Leicester Vardy ana 1.78m
5. Spurs kane ana 1.88m
6. Arsenal Auba ana 1.87m

Hivyo mkuu ni kane na Auba tu ndio warefu kwa main striker wa timu kubwa Epl ila timu za top 4 watakaoanza Aguero, firminho na werner wote hawajamzidi martial urefu.

Pia ukiangalia watu kama suarez, benzema, lewandoski etc hawana urefu wa kutisha, Age za striker wa kati kuwa mrefu zimeshapitwa na wakati, yupo Ighalo atakuwa impact sub plan ya Kawaida ikishindikana.

Mimi muono wangu timu yetu ni predictable tunatumia upande mmoja tu kushoto, kulia kumepwaya sana, akija mtu kama sancho ama mwengine anaejua kufunga na ku Assist akitokea kulia tutatisha sana.

Martial amefunga Goli 17 msimu uliopita hali ya kuwa amemiss mechi kama 8 kwa majeruhi, ameprove yeye ni 20 Goal striker, kwa Man U ni mwaka mmoja tu ndio striker wetu alifikisha goli zaidi ya 30, Ronaldo wa 2008, ila miaka yote top scorers wetu akiwa Rooney, berbatov, Nistelrooy, yorke etc wanakuwa wanacheza humo humo 20+

Na kama wadau wengine walivyosema hapo juu, tunamiss sana magoli toka sehemu nyengine, Ferdnandez ametusaidia sana ila mabeki wa kati, na viungo wengine wanatuangusha kwenye mchango wa Magoli.
Hapo kwenye urefu nimekuelewa vzr mkuu,,
Lakini kwann martial ni mvivu wa kuruka vichwa?kama urefu wake unatosha kubaki no 9?
Ktk kumbukumbu yangu martial kafunga goli moja tu la kichwa msimu mzima kwnye mechi ya Chelsea akiunganisha cross ya WBS,,
Striker anakupiga kote kote mkuu,,huyo aguero tu ni mfupi kuliko martial lakini anakupiga kwa vichwa na miguu,,
Tatizo la martial nini?
Anaogopa kujirusha au kuchafuka?
Wee muangalie sn tu mkuu,,kuna cross zinapita hapo mbele ya martial,, huwa namkumbuka sn chacharito,,van Persi
Kwann hajitumi?ingekuwa anajituma zaidi martial ni Bonge na mchezaji,, angefunga mengi sn,,,hebu kama una kumbukumbu ni mechi ipi martial kafunga kwa kichwa?
Mkuu kama tusiponunuwa striker,, ni kwl timu itashinda lakini sio kwa mbinu za striker,,
 
Fernandes kafunga goli nyingi tu EPL ambazo siyo za pelnaty almost 5 goals.
Lakini za penalty ni nyingi kuliko,,so hatupaswi kusubiri penalty mkuu,,tunahitaji no 9,,now,,vinginevyo tukija nunuwa no 9 dirisha Dogo,,tutakuwa tushachelewa km tulivyochelewa kumnunuwa Fernandez..
Unadhani tungemnunuwa Fernandez mwanzo wa msimu tungekuwa nafasi gn man u?
 
Mbona sioni tukisafisha nyumba? Chris Smalling, Phil Jones, Andreas Perreira, Marcos Rojo, Jesse Lingard na Juan Mata (huyu anaonekana hayupo ktk mipango ya Ole) hawa wote hapaswi kuwepo tunahitaji kuwa na watu tutakao watumia tu.
Ni kweli kabisa ila tatizo naona kama vile hao wachezaji wetu hawana soko
 
Mpira tunaocheza sasa hivi hautegemei sana cross.

Ndiyo maana hata recruitment ya Solkjaer haiangalii sana tall striker kwajili ya cross na long balls.
Ndy hapo tunapo fail,,timu lazima inakuwa na mbinu zote,,
Mkizidiwa kwenye pasi za kupenyeza,,,wanabadili na kutumia long pass na cross,,,
Man u tukishabanwa kwenye kupenyeza pass ,,,hapo hakuna goal
 
Back
Top Bottom