Unaweza ukatupa mfano walau mmoja wa striker ambaye anafaa kuwa first choice pale united ?
Cavani.PSG..ana 33 ...tangu ujio wa icardi na neima amekuwa yupo benchi na anapatikana kwa free transfer,, ila ana sifa zote za striker,,na ana gerentii ya kufunga..na ana good experience..
Mousa dembele, Lyon..ana 23....amekuwa na msimu mzuri tangu atoke Celtic,,amefunga magoli 58 kwenye mechi za leage 1 ktk mechi 42 alizocheza..
Paul ,,volve ..huyu jamaa ana 29 nae atatusaidia sn ktk kufunga,,
Jovic ,,real Madrid..huyu Dogo ana 22 ,alikuwa franfruit ya German ,alicheka sana na nyavu mwaka Jana,,akanunuliwa real,,lakini hajang' aa sana,,ila yupo sokoni..
Kuna ile striker ya sevila,,jina limenitoka kidogo,,
Na ole ameshawaonya martial na rashford kwamba anatafuta striker wa kuchalenge nafasi zao..
Don't take their position for granted..