OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Atazifunga timu ndogo ndogo kama arsenal ..unamfahamu Ziyech wewe, mbele ya Kante kila goti litapigwa.Atawapiga kweli mkuu!
#CFC



Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Atazifunga timu ndogo ndogo kama arsenal ..unamfahamu Ziyech wewe, mbele ya Kante kila goti litapigwa.Atawapiga kweli mkuu!



Kama tumezadiwa penalty nyingi maana yake strikers wetu wanaingia sana kwenye box hivyo ni threat kwa timu pinzaniLakini za penalty ni nyingi kuliko,,so hatupaswi kusubiri penalty mkuu,,tunahitaji no 9,,now,,vinginevyo tukija nunuwa no 9 dirisha Dogo,,tutakuwa tushachelewa km tulivyochelewa kumnunuwa Fernandez..
Unadhani tungemnunuwa Fernandez mwanzo wa msimu tungekuwa nafasi gn man u?
Kwa uonavyo wewe mkuu,,ubingwa tutasubiri snKama tumezadiwa penalty nyingi maana yake strikers wetu wanaingia sana kwenye box hivyo ni threat kwa timu pinzani
PSG wanamtaka pia..Hivi ighalo asharudi kwao china?
Cavani.PSG..ana 33 ...tangu ujio wa icardi na neima amekuwa yupo benchi na anapatikana kwa free transfer,, ila ana sifa zote za striker,,na ana gerentii ya kufunga..na ana good experience..Unaweza ukatupa mfano walau mmoja wa striker ambaye anafaa kuwa first choice pale united ?
Mkuu Darmian uko sahihi sana kwenye ulinganifu wa magoli kati ya attack trio yetu na ya liverpool. Kitu cha kujiuliza ni kwamba kama magoli ndio hutoa points ambazo mwisho wa siku ndizo huamua bingwa wa ligi,kwanini magoli yetu mengi hayajatusaidia kunyakua ndoo msimu huu? Wakati mwingine uhalisia ni bora zaidi kuliko takwimu. Kuna kauli moja maarufu sana mzee wenger akiwa kwenye peak aliwahi kusema kuwa namnukuu "sitaki striker anayefunga goli tano kwenye mechi moja halafu anakaa mechi tano hajafunga. Nataka striker anayefunga goli moja kila mechi katika mechi tano mfululizo" mwisho wa nukuu. Maana yake ni kwamba washambuliaji wetu kuna baadhi ya mechi wanakosa mbinu za kupenya defense ya adui,ila siku wakifanikiwa hufunga magoli mengi. Nadhani hili liko wazi sana,mbinu za OGS zikigoma kufanya kazi hakuna mtu wa kuchukua maamuzi magumu timu ishinde. Ndio maana watu humu wanawataka awkina Cavan na uzbabu wao waje kwa scenarios kama hizi. AsanteHalafu wakuu muda mwingine tuongee kwa kuangalia "Numbers"..
Usijiropokee tu kuwa Washambuliaji wa Liverpool wanafunga kila siku tofauti na sisi wakati front three yetu imewazidi magoli this season..
Tu-base kwenye hoja zinazoweza kupewa backup na statistical data
Msimu Wa Epl toka January Aje BrunoMkuu Darmian uko sahihi sana kwenye ulinganifu wa magoli kati ya attack trio yetu na ya liverpool. Kitu cha kujiuliza ni kwamba kama magoli ndio hutoa points ambazo mwisho wa siku ndizo huamua bingwa wa ligi,kwanini magoli yetu mengi hayajatusaidia kunyakua ndoo msimu huu? Wakati mwingine uhalisia ni bora zaidi kuliko takwimu. Kuna kauli moja maarufu sana mzee wenger akiwa kwenye peak aliwahi kusema kuwa namnukuu "sitaki striker anayefunga goli tano kwenye mechi moja halafu anakaa mechi tano hajafunga. Nataka striker anayefunga goli moja kila mechi katika mechi tano mfululizo" mwisho wa nukuu. Maana yake ni kwamba washambuliaji wetu kuna baadhi ya mechi wanakosa mbinu za kupenya defense ya adui,ila siku wakifanikiwa hufunga magoli mengi. Nadhani hili liko wazi sana,mbinu za OGS zikigoma kufanya kazi hakuna mtu wa kuchukua maamuzi magumu timu ishinde. Ndio maana watu humu wanawataka awkina Cavan na uzbabu wao waje kwa scenarios kama hizi. Asante
Umeua mkuu,,umeeleweka vyema sana,,Mkuu Darmian uko sahihi sana kwenye ulinganifu wa magoli kati ya attack trio yetu na ya liverpool. Kitu cha kujiuliza ni kwamba kama magoli ndio hutoa points ambazo mwisho wa siku ndizo huamua bingwa wa ligi,kwanini magoli yetu mengi hayajatusaidia kunyakua ndoo msimu huu? Wakati mwingine uhalisia ni bora zaidi kuliko takwimu. Kuna kauli moja maarufu sana mzee wenger akiwa kwenye peak aliwahi kusema kuwa namnukuu "sitaki striker anayefunga goli tano kwenye mechi moja halafu anakaa mechi tano hajafunga. Nataka striker anayefunga goli moja kila mechi katika mechi tano mfululizo" mwisho wa nukuu. Maana yake ni kwamba washambuliaji wetu kuna baadhi ya mechi wanakosa mbinu za kupenya defense ya adui,ila siku wakifanikiwa hufunga magoli mengi. Nadhani hili liko wazi sana,mbinu za OGS zikigoma kufanya kazi hakuna mtu wa kuchukua maamuzi magumu timu ishinde. Ndio maana watu humu wanawataka awkina Cavan na uzbabu wao waje kwa scenarios kama hizi. Asante
Hivi mkuu striker anakosa goal 4 anafunga 1 utabeba kombe gani?Halafu wakuu muda mwingine tuongee kwa kuangalia "Numbers"..
Usijiropokee tu kuwa Washambuliaji wa Liverpool wanafunga kila siku tofauti na sisi wakati front three yetu imewazidi magoli this season..
Tu-base kwenye hoja zinazoweza kupewa backup na statistical data
Hata Ighalo pia co wa kumtumainia kukaa mbele, ni masihara hayo mkuu.Ikishindikana tutembee nae tu ila kama wachina wataturuhusu tutoboe nae
Bora yeye kuliko MartialHata Ighalo pia co wa kumtumainia kukaa mbele, ni masihara hayo mkuu.
Kama tulivyopigwa 80 ya Maguire.Kwa usajili wa Van De Beek, naona tutakuwa tumeokoa Euro MIL40 kwa ajili ya eti yule Muingereza Grealish aliyepewa thamani ya Euro mil 80.
Maana naona jirani wenzetu pale London wameshapigwa mjini kwa Chillwell 50MIL 😀 😀 .
Nenda Serbia au Italy upate beki konki.Kweli kabisa na hata tm bora zaidi duniani ni zile ambazo hazina waingereza wengi.
Tunaanza kuongea lugha moja.Bavaria,
Benchi la ufundi likitulia likijikita ktk scouting approach recommendations ni rahisi sana kupata vipaji visivyo na majina na kwa bei poa sana kuliko kufanya head-hunting approach kama tulivyokuwa tunakomaa mwanzo. Hata ktk nafasi ya Jadon Sancho tunaweza ku-cancel tuwaachie scout wafanye yao tusitumie head-hunting approach kufuata mtu moja kwa moja. Ni rahisi sana kupigwa bei kubwa, mf. Jack Grealish tuliambiwa tupeleke Pound 80 M.
Bruno, binafsi nilikuwa simfahamu kwa ukaribu kabla ya sisi kuonyesha kumuhitaji yaani nimemjua msimu mmoja uliopita. Just imagine kuna wachezaji wangapi wazuri ambao sisi hatuwafuatilii ila wapo talented labda kuliko hata Jadon Sancho ila hawana coverage kubwa. Maana misimu miwili nyuma kiungo kama Fred au Jesse Lingard walikuwa wanafahamika zaidi kuliko hata Bruno.