Mapungufu ya Paul ni ya kitabia zaidi ila kwa kiwango chake sioni mbadala wake kwa sasa tukienda sokoni bila kutoa pesa si chini ya $100M. Akiwa 100% fit anaweza kutoa mchango mkubwa sana ktk timu. Kitu cha kufurahisha ukiangalia takwimu zake toka tumemtoa Juventus miaka minne iliyopita ni zile zile wala hajabadilika hasa hasa msimu wa 2018/19 ndio msimu wake bora zaidi kitakwimu as a footballer ktk professional career yake.
Kitu kikubwa kilichomkwamisha Paul kwa kipindi kirefu sana Manchester United ya sasa imejaza wachezaji wengi sana ambao hawastaili kucheza pale. Na ndio maana utaona hata tukicheza na vitimu vidogo mechi inakuwa ngumu sana. Tofauti ya vitimu kama Southamptom au Sevilla au Leiceister ni jina la timu tu ila kiuhalisia wachezaji waliopo kwetu na kwao tunafanana nao tu.
As an individual, hawezi kubeba timu peke yake unahitaji uwe na wachezaji atleast watatu wa daraja lako ili muwe na nguvu ya kufanya maajabu. Juventus alizungukwa na watu wazito wengi alichokuwa akifanya kule ni hiki hiki tu tofauti ni quality ya watu aliocheza nao kule na huku. Juventus alikuwa akicheza na Andrea Pirlo, Paul Dyabala, Carlos Tevez, Arturo Vidal na Giorgio Chiellini hamna mchezaji wa kuunga unga hapa linganisha na aliokuja kucheza nao Manchester United.
Usisahau ubora wa timu ni collective responsibility. Individually kila mtu anaweza kucheza ila ili ufanye vizuri unahitaji watu kadhaa wa daraja la juu. Hakuna timu inayoshinda mataji bila kuwa na angalau wachezaji wa tatu wa kiwango kikubwa mno.
Kitu kikubwa kilichomkwamisha Paul kwa kipindi kirefu sana Manchester United ya sasa imejaza wachezaji wengi sana ambao hawastaili kucheza pale. Na ndio maana utaona hata tukicheza na vitimu vidogo mechi inakuwa ngumu sana. Tofauti ya vitimu kama Southamptom au Sevilla au Leiceister ni jina la timu tu ila kiuhalisia wachezaji waliopo kwetu na kwao tunafanana nao tu.
As an individual, hawezi kubeba timu peke yake unahitaji uwe na wachezaji atleast watatu wa daraja lako ili muwe na nguvu ya kufanya maajabu. Juventus alizungukwa na watu wazito wengi alichokuwa akifanya kule ni hiki hiki tu tofauti ni quality ya watu aliocheza nao kule na huku. Juventus alikuwa akicheza na Andrea Pirlo, Paul Dyabala, Carlos Tevez, Arturo Vidal na Giorgio Chiellini hamna mchezaji wa kuunga unga hapa linganisha na aliokuja kucheza nao Manchester United.
Usisahau ubora wa timu ni collective responsibility. Individually kila mtu anaweza kucheza ila ili ufanye vizuri unahitaji watu kadhaa wa daraja la juu. Hakuna timu inayoshinda mataji bila kuwa na angalau wachezaji wa tatu wa kiwango kikubwa mno.

