Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

PTER,

Sijui unaona nini special kwa Victor Lindelof, ila ukweli ni kwamba sio mchezaji wa kikosi cha kwanza kwa timu kubwa kama Manchester United kwa kifupi hafai. Ana uwezo mdogo sana generally plus ni too soft sio aggressive as a central defender.

Kitu pekee kinachofanya acheze ni kwa sababu timu yetu hatuna beki mwingine wa kati nje yake yeye na Harry ambao hawapati majeraha ya mara kwa mara. Kama Eric Bailly asingekuwa anapata majeraha ya mara kwa mara Victor hawezi kucheza kikosi cha kwanza.

Eric, ni beki mzuri sana kama angekuwa hapati majeraha muda huu angekuwa yeye ndio tegemeo. Ana sifa nyingi sana za beki wa kati anazopaswa kuwa nazo. Yupo very aggressive and stronger pia ni mtu mwenye uwezo wa kusoma mchezo hata mechi zenye pressure anaweza kucheza bila shida. Tatizo lake muda mwingi hana match fitness plus ukiwa unapata majeraha ya mara kwa mara confidence inapungua pia unaanza kuwa kilaza hupati muda wa ku-grow zaidi badala yake unaanza kuwa mbovu zaidi.

Ukitaka kufanya follow up vizuri kuhusu Eric, itafute ile mechi ya EPL tuliwafunga Chelsea goli 2 bila ilichezeka Stamford Bridge, feb 17, 2020. Utaona kuna kitu anacho ila shida ni majeraha ya mara kwa mara hayampi nafasi ya kukua zaidi kama mchezaji mwisho anajikuta ana-grow backward technically as a footballer.
 
PTER,

Sijui unaona nini special kwa Victor Lindelof, ila ukweli ni kwamba sio mchezaji wa kikosi cha kwanza kwa timu kubwa kama Manchester United kwa kifupi hafai. Ana uwezo mdogo sana generally plus ni too soft sio aggressive as a central defender.

Kitu pekee kinachofanya acheze ni kwa sababu timu yetu hatuna beki mwingine wa kati nje yake yeye na Harry ambao hawapati majeraha ya mara kwa mara. Kama Eric Bailly asingekuwa anapata majeraha ya mara kwa mara Victor hawezi kucheza kikosi cha kwanza.

Eric, ni beki mzuri sana kama angekuwa hapati majeraha muda huu angekuwa yeye ndio tegemeo. Ana sifa nyingi sana za beki wa kati anazopaswa kuwa nazo. Yupo very aggressive and stronger pia ni mtu mwenye uwezo wa kusoma mchezo hata mechi zenye pressure anaweza kucheza bila shida. Tatizo lake muda mwingi hana match fitness plus ukiwa unapata majeraha ya mara kwa mara confidence inapungua pia unaanza kuwa kilaza hupati muda wa ku-grow zaidi badala yake unaanza kuwa mbovu zaidi.

Ukitaka kufanya follow up vizuri kuhusu Eric, itafute ile mechi ya EPL tuliwafunga Chelsea goli 2 bila ilichezeka Stamford Bridge, feb 17, 2020. Utaona kuna kitu anacho ila shida ni majeraha ya mara kwa mara hayampi nafasi ya kukua zaidi kama mchezaji mwisho anajikuta ana-grow backward technically as a footballer.
 


Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
Hawa ndio wachezaji nnaowataka yn majina yao ya kawaida lkn ni hatari, kwa nilichokiona hapa huyu dogo ni moto kuliko wachezaji wengi pale utd yn naweza kumuweka level za pogba na Bruno, nikipewa nichague Sancho na huyu kiukweli mm nachukua kwnz bila kuangalia mahitaji ya tm.

Ila hofu yng anaweza akaharibika pale utd kabla hajafanya anachotaka kufanya, cz ata perform vzr mcm mmoja zen unaofuata atalipwa pesa kufuru na sifa za ajabu toka kwa mashabiki zen kwisha habari yake, na hiki ndicho kinachoisumbua utd ya ss.
 
Yodoki II

Frenkie De Jong namuona bado ana nafasi ya ku-shine baada ya baba yake kupewa timu (Ronald Koeman) ila De Light huyu dogo alikosea kwenda mahala ambapo atagombea namba na wazoefu na wenye uwezo kumzidi hapo pressure inakuwa kubwa zaidi.

Wachezaji wengi hasa hasa wanapokuwa wadogo kuna muda wanakosa guidance nzuri ya timu zipi za kwenda kucheza. Kuna timu ukienda ni ngumu kupewa nafasi moja kwa moja sasa ukimuweka mchezaji mdogo kushindana na wazoefu ni rahisi sana kuonekana yeye ni flop hususani timu zenye ushindani wa namba. (Mf. mzuri ni Renato Júnior Luz Sanches alitoka Benfica akaenda kichwa kichwa Bayern sasa hivi yupo Ufaransa huko ila pale alionekana flop, competition was too stiff for him there.)

De Light, pale Juventus anagombania namba na Leonardo Bonucci pamoja na Giorgio Chiellini shughuli ya hawa wazee sio ya kitoto pia yupo na Daniele Rugani. Bahati pekee ya De Light ni majeraha ya mara kwa mara yanayompata Leo Bonucci.
 
Adidas kwanini wanatufanyia ujinga kiasi hiki..mkataba nao unaisha lini turudi Nike?
Mpk hv ss Adidas hawajatoa jezi kali hata moja, za nzr ila co kali, za mwaka jana ndio hovyo kabisa ile black logo iliharibu uzi mzima ni heri turudi Nike sema tatizo Adidas wametoa mpunga mrefu mno so ili turudi Nike inabidi watoe mpunga kuwazd Adidas.
 
Mpk hv ss Adidas hawajatoa jezi kali hata moja, za nzr ila co kali, za mwaka jana ndio hovyo kabisa ile black logo iliharibu uzi mzima ni heri turudi Nike sema tatizo Adidas wametoa mpunga mrefu mno so ili turudi Nike inabidi watoe mpunga kuwazd Adidas.
Kuna jezi ile ya nike 2007/2008..yaani kitu kimesimamia ukucha ile mbaya..CR7 akiwa ameuvaa mtu unasema Yeees!!
 
Kuna jezi ile ya nike 2007/2008..yaani kitu kimesimamia ukucha ile mbaya..CR7 akiwa ameuvaa mtu unasema Yeees!!
Tunaanzia hv

Sharp - Cantona & Yorke

Vodafone - Veron & Beckham

AIG - CR7

AON (Draft draft) - Robin van Vampire

AON (Yakawaida) - Berbatov

Chevrolet -
 
Hivi yule coulibaly Wa Napoli bado ni gharama sana au umri,au hatufai!?
Sio gharama sna,,na anatufaa sana tu,,maana nae pia ni top target,,tatizo hii management ya Manchester united inayohusika na usajili ipo very slow,,,
Hyo ndy shida ya united..
Ikimtaka mchezaji inachukuwa muda mrefu kupeleka ofa zao,,mwisho wa Simu timu zngn za faster mfano man city,,au Chelsea wanabeba .
Tatizo hilo ndy maana hata van gaal alilalamika kutopata ushirikiano na management ya man u pindi akitaka wachezaji wa kusajili ambao ndy top target,,, kutokana na kuchelewa kupeleka offer mwisho wa siku mchezaji ananunuliwa na timu pinzani,, matokeo yake unachukuwa mchezaji ambaye hakuwa chaguo la kwanza.
Hyo ndy shida.
 
Stars wenzake waliotokea Ajax akina De jong na De Light soka limegoma walikohamia

Sent from my SM-J530F using JamiiForums mobile app
Huyu halitogoma japo kwa lile limpira letu sijui kama ataenda kwenye next level. Pale ajax alikuwa anakichafua nomaaa? Kuna siku nliwahi sema hivi Man U hawamuoni huyu dogo!? Kwa kifupi ni kama wamenisajilia mimi
 
Back
Top Bottom