Mkuu unajuwa maana ya beki pacha?maana yake ni kucheza kwa pamoja na kwa ushirikiano,,,sasa huo ushirikiano wa harry na lindleof hauendani,,yaani hawana matching nzr,,,sababu hata namba 5 huwa anapanda sometimes,,sio kama anabaki nyuma siku zote,,
na ukitazama man u ,,harry ndy muanzishaji wa mashambulizi,,Mara nyingi anakuwa anapanda,,na kama namba 4 hajuwi majukumu yake basi timu itafungwa,,,mm nimeshaona Mara nyingi hata lucka shaw huwa anaingia ndani kufuta makosa ya beki 4 na 5 wakati harry amepanda na tumeshambuliwa kwa haraka,,,
Siku zote kama 5 akipanda lazima 4 abaki,,,maana siku zote namba 5 ndy anabaki mwisho,,sasa iweje makosa ya 4 na 5 aje asawazishe namba 3?maana yake huyu aliyeachiwa jukumu la kulinda nae katoka au kazembea....nakumbuka kuna mechi fulani tulichezesha beily ,,magwea na lindeliof kwa pamoja ,,game ile beily alifuta makosa mengi sn ya lindleof na man u tulishinda,,,bila beily kuwepo tungefungwa nyingi tu..
Nakumbuka tuliweka banch rashford halafu wilian akawa anacheza ubavu wa kushoto na winga,,nadhani ilikuwa mechi ya Chelsea na man u kama sijakosea,,,,BISAKA akaweka cross matata martial akafunga bao la pili kwa kichwa dk za lala salama....
OLE alishaona tatizo la back line yake ina mapungufu gn?
Ndy maana top target yake ni no 9.no 7,center back partner wa harry,,na kiungo mfungaji inje ya box au popote utafungwa...na namba 3
View attachment 1556133