Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

-
'Messi cannot leave now' - Former Barcelona president Gaspart slams planned exit


However, Gaspart - who was president of Barca between 2000 and 2003 - told Marca: "[Messi] cannot leave. He will have to leave in 2021.

"I have seen the contract and it is very clear. The clause ended in June and there is no going back.

"I prefer him to leave next year for zero than to go now for less than €700 million.

"The club is in charge here, not the player. The club paid the players. And this is not a matter of money, there is a signed contract and that's it."


Source ; Sky Sports




Sasa je ! Kuna timu yenye €700 million na yenye uwezo wa kutoa mshahara zaidi €650k kwa wiki kwa huyu mzee mwenye 33years????
Maana hiyo €700 million inanunua timu nzima Arsenal na Chelsea kwa ujumla 😀 😀
Wewe ni takataka wa kupuuzwa. Unaifanisha Chelsea na vitu vy ajabu ajabu
 
★Shida kuna watu humu vigeu geu walipokuea wakifanya vibaya waliomba wauzwe nao wamerudi form tena baada ya miaka mingi kupita ko wangebaki wabebwe na hawabebeki afu unashanaa mtu anaanza maneno "umeuza mala nani ukabakiza nani" kwani nani pale team ya baba ake atabakia milele.
Herrera me mwenyewe sikupenda auzwe kwakweli ila ndio ishatokea mtu anaanza lawama za kike kama kalipiwa Mahari nusu ½ bwana
Yaliyopita si ndwele ndugu lazima tm iendelee hao wameenda unataka kutuaminisha kwamba hakuna wengine? Je hao tng wakiwa man u walitupatia mafanikio gn zaidi ya europa tena tukicheza kwa kubahatisha bahatisha tu.
 
Kwahiyo ndiyo munataka kumpokonya Ucaptain siyo? Angelikuwa sio Muengereza kama Paul Pogba ingewezekana! Lakini wakati ni Muengereza basi Ucaptain wake hautoguswa 😂😂😂

View attachment 1548656

Hawezi kuendelea kuwa captain wenzetu wanazingatia sn maadili, namuona Bruno akivaa tambala lililokuwa likimsubiri na kwakweli ameonesha ya kwmb ni kiongozi wa kweli uwanjani.

Nilisema 😂😂😂

 
★HERE WE GO:
Harry Maguire is set to meet senior Manchester United officials to discuss the future of the club captaincy, after being found guilty of three charges by a Greek court.★

#GGMU
IMG_20200821_213448_512.jpeg
 
★mohamedbouhafsi | AS Monaco have rejected a €25m offer from Man Utd for Benoît Badiashile. He will stay “unless Manchester make a Martial-like, unrefusable bid for him”★.

manutd |
IMG_20200826_160134_932.jpeg
 
Dean Henderson sign 6yrs new contract with Manchester United, with weekly pay of 120,000£,
No more Loan deals will stay to fight for number one spot with David da Gea

Bad news for Serg Romero

Source Sky Sports
dean henderson = mshara wa paundi 120000 kwa wiki
david degea =mshahara wa paundi 375,000 kwa wiki
jumla = paundi 500000
=============================
 
Mashabiki wa Chelsea na arsenal wanashindwa kuwa kwenye jukwaa lao , muda wore wanashinda huku .

Jamani nendeni kwenu...
 
Back
Top Bottom