OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,933
- 25,245
Uyo aliyeandika ni takataka fulani wa kupuuzwa.
Uyo aliyeandika ni takataka fulani wa kupuuzwa.
Wewe ni takataka wa kupuuzwa. Unaifanisha Chelsea na vitu vy ajabu ajabu-
'Messi cannot leave now' - Former Barcelona president Gaspart slams planned exit
However, Gaspart - who was president of Barca between 2000 and 2003 - told Marca: "[Messi] cannot leave. He will have to leave in 2021.
"I have seen the contract and it is very clear. The clause ended in June and there is no going back.
"I prefer him to leave next year for zero than to go now for less than €700 million.
"The club is in charge here, not the player. The club paid the players. And this is not a matter of money, there is a signed contract and that's it."
Source ; Sky Sports
Sasa je ! Kuna timu yenye €700 million na yenye uwezo wa kutoa mshahara zaidi €650k kwa wiki kwa huyu mzee mwenye 33years????
Maana hiyo €700 million inanunua timu nzima Arsenal na Chelsea kwa ujumla 😀 😀
★
Yaliyopita si ndwele ndugu lazima tm iendelee hao wameenda unataka kutuaminisha kwamba hakuna wengine? Je hao tng wakiwa man u walitupatia mafanikio gn zaidi ya europa tena tukicheza kwa kubahatisha bahatisha tu.
Kwahiyo ndiyo munataka kumpokonya Ucaptain siyo? Angelikuwa sio Muengereza kama Paul Pogba ingewezekana! Lakini wakati ni Muengereza basi Ucaptain wake hautoguswa 😂😂😂
View attachment 1548656
Hawezi kuendelea kuwa captain wenzetu wanazingatia sn maadili, namuona Bruno akivaa tambala lililokuwa likimsubiri na kwakweli ameonesha ya kwmb ni kiongozi wa kweli uwanjani.
★
Naona ni risk sana kumchukua Messi
Ana undugu na james?
Ana undugu na james?
Ndo nani huyu
dean henderson = mshara wa paundi 120000 kwa wikiDean Henderson sign 6yrs new contract with Manchester United, with weekly pay of 120,000£,
No more Loan deals will stay to fight for number one spot with David da Gea
Bad news for Serg Romero
Source Sky Sports
Mkuu ulikimbia Topic ya approximation form two?120+375=500![]()