Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mashabiki wa Chelsea na arsenal wanashindwa kuwa kwenye jukwaa lao , muda wore wanashinda huku .

Jamani nendeni kwenu...
Kwani wewe hujui kuna mashabiki wa manyumbu wanaokesha kwenye jukwaa la chelsea na arse8
 
Never forget Leicester sold both Kante and Chilwell to Chelsea for the price they sold Maguire to Man United.
Screenshot_20200826-220507_1598470119536.jpg
 
-
'Messi cannot leave now' - Former Barcelona president Gaspart slams planned exit


However, Gaspart - who was president of Barca between 2000 and 2003 - told Marca: "[Messi] cannot leave. He will have to leave in 2021.

"I have seen the contract and it is very clear. The clause ended in June and there is no going back.

"I prefer him to leave next year for zero than to go now for less than €700 million.

"The club is in charge here, not the player. The club paid the players. And this is not a matter of money, there is a signed contract and that's it."


Source ; Sky Sports




Sasa je ! Kuna timu yenye €700 million na yenye uwezo wa kutoa mshahara zaidi €650k kwa wiki kwa huyu mzee mwenye 33years????
Maana hiyo €700 million inanunua timu nzima Arsenal na Chelsea kwa ujumla 😀 😀
Mkuu kama hiyo avatar ndio picha yako aiseeeeh,naamini kuna mahala patakuwa panawasha na panahitaji kukunwa na kitu kigumu,
Acha kuidharaulisha Arsenal ,ungekuwa karibu ungechezea nako
 
Hiyo thamani ya kante ni zamani ila hyo ya chillwel ni overrated hana thamani hyo, pia subiri muone lampard akiwajazia maingereza hapo.
Je Werner,ziyech nao ni waingereza???
Vipi kuhusu Kai,Thiago silva je nao ni waingereza

Wale pale ni wachezaji aliowakuta kulikuwa hakuna namna zaidi ya kuwatumia na kuwachukua wale waliokuwepo loan
 
Mkuu kama hiyo avatar ndio picha yako aiseeeeh,naamini kuna mahala patakuwa panawasha na panahitaji kukunwa na kitu kigumu,
Acha kuidharaulisha Arsenal ,ungekuwa karibu ungechezea nako
Amekosea sana kuiweka Chelsea na timu nyingine za ajabu ajabu. Pumbafu kabisa..
 
-
'Messi cannot leave now' - Former Barcelona president Gaspart slams planned exit


However, Gaspart - who was president of Barca between 2000 and 2003 - told Marca: "[Messi] cannot leave. He will have to leave in 2021.

"I have seen the contract and it is very clear. The clause ended in June and there is no going back.

"I prefer him to leave next year for zero than to go now for less than €700 million.

"The club is in charge here, not the player. The club paid the players. And this is not a matter of money, there is a signed contract and that's it."


Source ; Sky Sports




Sasa je ! Kuna timu yenye €700 million na yenye uwezo wa kutoa mshahara zaidi €650k kwa wiki kwa huyu mzee mwenye 33years????
Maana hiyo €700 million inanunua timu nzima Arsenal na Chelsea kwa ujumla 😀 😀


Huo mshahara wa euro 650 elfu Kwa wiki Clubs zote za Big six wanao uwezo wa kulipa vizuri sana

Kama huamini kaangalie mishahara ya Atletico Madrid ,Intermilan na mapato ya hizo clubs Kwa mwaka halafu ukalinganisha na mapato ya Tottenham Hotspurs utapata jibu

Tatizo Kwa Messi ni hiyo Release Clause sababu value ya hiyo Clause inajenga viwanja viwili vikubwa vya kisasa kama uwanja Mpya wa Spurs, pia hiyo Release Clause ni mapato ya msimu mmoja nzima wa club ya top five highest earner clubs in Europe

Kiufupi hiyo Release Clause ni komesha maana hiyo hela unanunua Club kubwa kabisa pale EPL sio mchezaji mmoja
 
Wewe ni takataka wa kupuuzwa. Unaifanisha Chelsea na vitu vy ajabu ajabu
Takataka mwenyewe. Kwani kuna ubaya gani thamani ya messi kutokuwa sawa na jumla ya wachezaji wote wa Arsenal au Chelsea. Ww piga mahesabu utakuta ni hiyo Pauni 700Million , tena yawezekana chenji zikabaki😀😀 🤪 🤪
 
Mkuu kama hiyo avatar ndio picha yako aiseeeeh,naamini kuna mahala patakuwa panawasha na panahitaji kukunwa na kitu kigumu,
Acha kuidharaulisha Arsenal ,ungekuwa karibu ungechezea nako
Mbona umepanick na unataka kupasuka na kulia utafikiri ww ndio mmiliki wa arsenal8 au huamini kuona Kikosi chenu ni sawa na thamani anayouzwa messi. Wekeni sokoni wachezaji wote 30 wa Arsenal uone kama itazidi hata 500M Euro,,,,. Yaani na chenji zitabaki.

Mm nilikuwa sijui kama kuna sentensi zinawafanya mpasuke kabisa😅😅😂😂😂😂😅😅
 
Back
Top Bottom