Napendekeza UEFA iunde chombo cha kusimamia hizi bei yn wawe wana wa rank wachezaji na gharama zao yn wafanye hv

Grade A (£91mil -£100mil)
Grade B (£81mil - £90mil)
Grade C (£71mil - £80mil)
Grade D (£61mil - £70mil)
Grade E (£51mil - £60mil)
Grade F (£41mil - £50mil)
Grade G (£31mil - £40mil)
Grade H (£21mil - £30mil)
Grade I (£11mil - £20mil)
Grade J (£1mil - £10mil)
Na hapo wawe wana update viwango (ranks) vya wachezaji mara kwa mara hii pia itasaidia hata ktk kumpata mshindi halisi wa tunzo km za ligi mpk za kidunia na co mchezaji anang'ara mcm mmoja huyoo anabeba ballon d'or, lkn pia itasaidia kulinda soko la wachezaji linalokwenda kuharibika na kwenda nje ya uhalisia.
Lkn pia itasaidia kuwabana mawakala wenye tamaa zilizo pitiliza cz hao ndiyo wanaoharibu mpira kwa kuweka ma price tag yasiyo na msingi matokeo yake mchezaji anacheza kwa pressure kubwa cz akifikiria price aliyonunuliwa haimstahili kabisa mwisho wake hatupati ladha kamili ya soka cz pesa inazd kushika hatamu.
Hii pia itasaidia kumpeleka mchezaji tm anayotaka, mfano mchezaji wa grade A anatakiwa na tm lukuki but price yake ishawekwa hadharani kitakachobaki hapo ni mchezaji kuchagua tm anayotaka so hapo itabd tm zngne ziboreshe viwango ili kuvutia wachezaji.