Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mbona umepanick na unataka kupasuka na kulia utafikiri ww ndio mmiliki wa arsenal8 au huamini kuona Kikosi chenu ni sawa na thamani anayouzwa messi. Wekeni sokoni wachezaji wote 30 wa Arsenal uone kama itazidi hata 500M Euro,,,,. Yaani na chenji zitabaki.

Mm nilikuwa sijui kama kuna sentensi zinawafanya mpasuke kabisa😅😅😂😂😂😂😅😅
Unataka upewe raha?kilichonikera Mimi ni kuiweka Arsenal na takataka cheltyako,
Kwani wewe nyumbu una thamani gani?maana hao kina halima gwaya mlipigwa tu ng'ombe nyie
 
Hiyo Release Clause ya 700M paund ni kubwa na inauwezo wa kununua kikosi kizima cha WACHEZAJI 30 wa Arsenal,, ila bado kuna shabiki fulani wa arsenal na chelsea haamini , anaona kama vile 700M pauni ni ela ya kitoto. Badala ya apige mahesabu aone ukweli
 
Unataka upewe raha?kilichonikera Mimi ni kuiweka Arsenal na takataka cheltyako,
Kwani wewe nyumbu una thamani gani?maana hao kina halima gwaya mlipigwa tu ng'ombe nyie
Je Pepe thamani yake alichotoa Arsenal ana utofauti gani na Greenwood under 19
 
Napendekeza UEFA iunde chombo cha kusimamia hizi bei yn wawe wana wa rank wachezaji na gharama zao yn wafanye hv

Grade A (£91mil -£100mil)

Grade B (£81mil - £90mil)

Grade C (£71mil - £80mil)

Grade D (£61mil - £70mil)

Grade E (£51mil - £60mil)

Grade F (£41mil - £50mil)

Grade G (£31mil - £40mil)

Grade H (£21mil - £30mil)

Grade I (£11mil - £20mil)

Grade J (£1mil - £10mil)

Na hapo wawe wana update viwango (ranks) vya wachezaji mara kwa mara hii pia itasaidia hata ktk kumpata mshindi halisi wa tunzo km za ligi mpk za kidunia na co mchezaji anang'ara mcm mmoja huyoo anabeba ballon d'or, lkn pia itasaidia kulinda soko la wachezaji linalokwenda kuharibika na kwenda nje ya uhalisia.

Lkn pia itasaidia kuwabana mawakala wenye tamaa zilizo pitiliza cz hao ndiyo wanaoharibu mpira kwa kuweka ma price tag yasiyo na msingi matokeo yake mchezaji anacheza kwa pressure kubwa cz akifikiria price aliyonunuliwa haimstahili kabisa mwisho wake hatupati ladha kamili ya soka cz pesa inazd kushika hatamu.

Hii pia itasaidia kumpeleka mchezaji tm anayotaka, mfano mchezaji wa grade A anatakiwa na tm lukuki but price yake ishawekwa hadharani kitakachobaki hapo ni mchezaji kuchagua tm anayotaka so hapo itabd tm zngne ziboreshe viwango ili kuvutia wachezaji.
Ha ha ha hapa inaweza ikaanza biashara haramu kati ya maafisa watakaoshughulika na hizo grade na mawakala Wa wachezaji
 
Mkuu kama hiyo avatar ndio picha yako aiseeeeh,naamini kuna mahala patakuwa panawasha na panahitaji kukunwa na kitu kigumu,
Acha kuidharaulisha Arsenal ,ungekuwa karibu ungechezea nako
Hii imetoka moyoni
 
Usajili (0)

Beki za kushoto (majeruhi)

Bissaka (atakaa quarantine wiki 2)

Pogba (ana maambukizi ya virusi vya Corona)

Rashford (anahitaji muda wa kupumzika kutokana na jeraha lake la ankle)

Maguire (Wagiriki bado wamemganda)

**Another long season incoming.......
 
Usajili (0)

Beki za kushoto (majeruhi)

Bissaka (atakaa quarantine wiki 2)

Pogba (ana maambukizi ya virusi vya Corona)

Rashford (anahitaji muda wa kupumzika kutokana na jeraha lake la ankle)

Maguire (Wagiriki bado wamemganda)

**Another long season incoming.......
Ole is on the wheel mkuu
 
Screenshot_20200828-064343.png
 
Mbona umepanick na unataka kupasuka na kulia utafikiri ww ndio mmiliki wa arsenal8 au huamini kuona Kikosi chenu ni sawa na thamani anayouzwa messi. Wekeni sokoni wachezaji wote 30 wa Arsenal uone kama itazidi hata 500M Euro,,,,. Yaani na chenji zitabaki.

Mm nilikuwa sijui kama kuna sentensi zinawafanya mpasuke kabisa
Uyu Arse8 achananaye timu yake ishajifia. Ila siyo kwa Chelsea, Arse8 inaingia mara tatu kimapato kwa Chelsea, Spurs mara tano, Liverpool mara tatu.. aliyetupita kidogo ji Man u ata Man city anaingia mara mbili kwa Chelsea.

Hivi unamjua Roman Abramovich??
 
Hiyo Release Clause ya 700M paund ni kubwa na inauwezo wa kununua kikosi kizima cha WACHEZAJI 30 wa Arsenal,, ila bado kuna shabiki fulani wa arsenal na chelsea haamini , anaona kama vile 700M pauni ni ela ya kitoto. Badala ya apige mahesabu aone ukweli
Huu ni ukweli kabisa, unanunua timu nzima ya Arse8 na benchi la ufundi pamoja na uwanja wao.
 
★He has poor Ball control .

Understandable.... “I’m sorry what did u say?”

Ila Maguire sawa bhana★

#GGMU
vutbolfans-20200828-0001.jpeg
 
Je Pepe thamani yake alichotoa Arsenal ana utofauti gani na Greenwood under 19
Pepe umeshasahau alichowafanya pale emirates kwa dakika 30 akatoka zake?

Kweli nyumbu ni wasahaulifu

Karudie ile mech mnapigwa 2-0 halafu pepe anamaliza kazi yake anatoka
 
Back
Top Bottom