Darmian
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 17,297
- 46,749
Sisi ni timu tajiri hatuwezi kushindwa kumlipa messiHela ya kumlipa ipo?
Sisi ni timu tajiri hatuwezi kushindwa kumlipa messiHela ya kumlipa ipo?
Sawa bwana EDSisi ni timu tajiri hatuwezi kushindwa kumlipa messi
a.k.a nyumbu fc mna mambo nyie yn tm iliyowashikisha ukuta miaka nenda rudi leo mnaiita utopolo fcMan u de utopoloView attachment 1548210





Badala ya kufanya usajil mnafikiria jins ya kumtoa maguire gerezana.k.a nyumbu fc mna mambo nyie yn tm iliyowashikisha ukuta miaka nenda rudi leo mnaiita utopolo fc![]()
We acha tu mzee ni shida sana, wakati mwingine naona kama hili jina la utopolo fc au fc nyumbu lina sound flan hvBadala ya kufanya usajil mnafikiria jins ya kumtoa maguire gerezan



Hii timu ya familia ni ya kingese sana wanaoumia ni mashabik zaoWe acha tu mzee ni shida sana, wakati mwingine naona kama hili jina la utopolo fc au fc nyumbu lina sound flan hv![]()
Ngj tuone mwisho wake huenda hii issue ya Messi ni kweli mana jamaa katikisa kiberiti na kiukweli yupo real anataka kusepa na tm zinazomuweza Messi ni chache sana hapa duniani ambazo ni Madrid (hawezi kwenda), Bayern (hawezi kwenda cz kwa ss Bayern ni km Madrid kwa Barcelona so atawaumiza sn mashabiki), na man u (japo tatizo litakuwa culture ya tm czani km atafit ila tusubiri tuone) na ndiyo maana uki connect dots utaona ya kwamba man u ina delay dili ya Sancho because of Messi, hawawezi kumsajili Sancho zen Messi itakuwa matumizi mabaya ya ofc.Hii timu ya familia ni ya kingese sana wanaoumia ni mashabik zao
Naona ni risk sana kumchukua MessiNgj tuone mwisho wake huenda hii issue ya Messi ni kweli mana jamaa katikisa kiberiti na kiukweli yupo real anataka kusepa na tm zinazomuweza Messi ni chache sana hapa duniani ambazo ni Madrid (hawezi kwenda), Bayern (hawezi kwenda cz kwa ss Bayern ni km Madrid kwa Barcelona so atawaumiza sn mashabiki), na man u (japo tatizo litakuwa culture ya tm czani km atafit ila tusubiri tuone) na ndiyo maana uki connect dots utaona ya kwamba man u ina delay dili ya Sancho because of Messi, hawawezi kumsajili Sancho zen Messi itakuwa matumizi mabaya ya ofc.
Why mkuuNaona ni risk sana kumchukua Messi
Nyie man u jau kumnunua Sancho tu kipengele sahv mnajipa matumaini kwa messi ,unafikiri man city, PSG , hawezi kumnunuaNgj tuone mwisho wake huenda hii issue ya Messi ni kweli mana jamaa katikisa kiberiti na kiukweli yupo real anataka kusepa na tm zinazomuweza Messi ni chache sana hapa duniani ambazo ni Madrid (hawezi kwenda), Bayern (hawezi kwenda cz kwa ss Bayern ni km Madrid kwa Barcelona so atawaumiza sn mashabiki), na man u (japo tatizo litakuwa culture ya tm czani km atafit ila tusubiri tuone) na ndiyo maana uki connect dots utaona ya kwamba man u ina delay dili ya Sancho because of Messi, hawawezi kumsajili Sancho zen Messi itakuwa matumizi mabaya ya ofc.
Infact Mesi siyo material nionavyo mimiNyie man u jau kumnunua Sancho tu kipengele sahv mnajipa matumaini kwa messi ,unafikiri man city, PSG , hawezi kumnunua
na hiyo jezi imempendeza vilivyo
We wacha tu mkuuna hiyo jezi imempendeza vilivyo
Binafsi sioni umuhimu wake uwanjani kwa sasa labda kama atatumika kibiashara.Why mkuu
Mkuu hakuna tm icyomuhitaji Messi duniani hapa hata Yanga ingependa kuwa naye, ukiacha kibiashara lkn bado ni mchezaji mzr lkn pia ni vzr kwa tm kuweka historia kwamba greatest players walipita hapo na ndiyo fimbo wanayoitumia tm za Spain (Madrid na Barca)Binafsi sioni umuhimu wake uwanjani kwa sasa labda kama atatumika kibiashara.
Nafikiri aje Van de beeck!!
Bro,kuna club ambazo wanapenda sana kusajili wazee wazee ila sio utd.Mkuu hakuna tm icyomuhitaji Messi duniani hapa hata Yanga ingependa kuwa naye, ukiacha kibiashara lkn bado ni mchezaji mzr lkn pia ni vzr kwa tm kuweka historia kwamba greatest players walipita hapo na ndiyo fimbo wanayoitumia tm za Spain (Madrid na Barca)