Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna watu nawatafuta humu hamjawaona wazee? Tumevunjiwa nyumba yetu mitaa fulani hapa JF sasa hivi tunaishi kama yatima.
hata tukijaribu kujenga kakibanda ka miti, mods wanapita nako kama mgambo wa jiji.
Inatulazimu kujibanza kwenye nyumba za watu kama hii ambayo tuna unasaba nazo.
kwanini wamefuta lile jukwaa........halafu pesa nje nje mule
nina wasiwasi kuna kampuni ya kubeti imewapa ela wafute maana wanaliwa sana huko
 
Chelsea this window;
Ziyech
Havertz
Thiago silva
Timo werner
Ben Chilwell-->hatua za mwisho

Sisi MAN UTD..
Zero transfer mpk leo

Alaf eti msimu ujao tuchallenge kombe!? Hahahaa..kwa style hii hatutachukua hata kombe la mbuzi.

Man utd inaboard ya ajabu sana wabahiri na wazembe..bila hii board kubadilika tutajikuta tunafukuza makocha kila mwaka.
 
Chelsea this window;
Ziyech
Havertz
Thiago silva
Timo werner
Ben Chilwell-->hatua za mwisho

Sisi MAN UTD..
Zero transfer mpk leo

Alaf eti msimu ujao tuchallenge kombe!? Hahahaa..kwa style hii hatutachukua hata kombe la mbuzi.

Man utd inaboard ya ajabu sana wabahiri na wazembe..bila hii board kubadilika tutajikuta tunafukuza makocha kila mwaka.
Ila bodi wamesajli 2 windows huku chelsea wakiwa wamefungiwa hivo usiwalaumu tumieni kilichopo
 
Sijui hata mwaka gani tutakùa na timu kali kama ile bayern ya kumshindilia mtu bao nane uefa
Tatizo nyie wengine mmeanza kushabikia man u juzi especially baada ya betting kushika kasi lkn man u ishawahi kumpiga mtu bao 8-2 nao ni As Roma, game ya kwnz Roma alishinda kwao 2-1 akaja OT akakutana na hicho kiama, ule ni ushindi ambao ckuwahi kuuona kwny ucl mpk ile juzi Bayern Munich nayo inapata ushindi ule.
 
Beki bora hadi nje ya uwanja
IMG_20200824_193033_566.JPG
 
See how childish you are. I expected facts from you.

Benchmark yako ya kupima talent ni ipi?

Hata Chico alikuwa anafunga na kisogo, tumbo. Magoli ya Zlatan vipi?

Style of scoring or delivering doesn't matter, but we need goals.

Nyie ndo mnachagua mtu kwa kuangalia mvuto wake na sio takwimu.
Mkuu uko deep sana na facts za kutosha
 
Tatizo nyie wengine mmeanza kushabikia man u juzi especially baada ya betting kushika kasi lkn man u ishawahi kumpiga mtu bao 8-2 nao ni As Roma, game ya kwnz Roma alishinda kwao 2-1 akaja OT akakutana na hicho kiama, ule ni ushindi ambao ckuwahi kuuona kwny ucl mpk ile juzi Bayern Munich nayo inapata ushindi ule.
Kumbukumbu zangu ziko hivi.

Man u v As Roma 7-2

Bayern Munich vs Barcelona 7-0

Real Madrid v Bayern Munichen 6 - 3

Bayern Munichen vs Barcelona 8-2

Barcelona vs Bayern Munichen 5- 3.

Rivalry ya Bayern na Barcelona siyo ya kawaida hizi timu ili uwaondoe kwenye mashindano lazima ufunge goli nyingi vinginevyo wanakutoa tu.

Ndiyo maana kila mmoja akimuotea mwenzake huwa anapiga kweli kweli.
 
Back
Top Bottom