ze-dudu
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 18,428
- 24,145
kwanini wamefuta lile jukwaa........halafu pesa nje nje muleKuna watu nawatafuta humu hamjawaona wazee? Tumevunjiwa nyumba yetu mitaa fulani hapa JF sasa hivi tunaishi kama yatima.
hata tukijaribu kujenga kakibanda ka miti, mods wanapita nako kama mgambo wa jiji.
Inatulazimu kujibanza kwenye nyumba za watu kama hii ambayo tuna unasaba nazo.
nina wasiwasi kuna kampuni ya kubeti imewapa ela wafute maana wanaliwa sana huko

