Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nakwenda zangu

Kumbe sio Mimi tu ninaye muonaga
FB_IMG_1598115476167.jpg
 
★Matatizo yenu ya akili msiwe mnayapitishiamo kwenye ushabiki basi,maana naona watu wengi humu team tofauti wanapingaga ujinga ujinga tu kumbe ni Mapunguwani.
Mwisho tutaiomba Mod iwe inafanya BRAIN SCAN kabla mtu hajaanza ku QUOTE au KUPOST Kitu,mfano ulicho Post hapo umePost ili tukusaidie nini sisi??? nazani hatuna msaada wowote na Post yako chamsingi ungepeleka Kwenye Jukwaa la Timu pinzani ili mlijadili vizuri★
Nakwenda zangu

Kumbe sio Mimi tu ninaye muonagaView attachment 1545114
 
Hii timu haijasajili mpaka sasa

Mwaka huu ni lazima mshuke daraja..

Usajili wenu wa beki unawasili baadae uingereza kutoka gerezani!

Nyumbuuuuuu!!!
 
Hii inshu ya Maguire siijui vizuri ila vyombo vya habari uingereza naona wamekausha . Hilo tukio angefanya mtu kama Pogba aisee wangelishikia bango mpaka angetamani kuhama nchi
 
Back
Top Bottom