Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Kuna watu nawatafuta humu hamjawaona wazee? Tumevunjiwa nyumba yetu mitaa fulani hapa JF sasa hivi tunaishi kama yatima.
hata tukijaribu kujenga kakibanda ka miti, mods wanapita nako kama mgambo wa jiji.
Inatulazimu kujibanza kwenye nyumba za watu kama hii ambayo tuna unasaba nazo.
 
Kuna wenzangu nimeshawaona huku, leo FRIENDLY MATCH kwa wanaotumia mrusi kumenona sana.
liverpool, sulsburg, ajax totenham, eintrach frackfurt wanatembea wamening'iniza hela kwenye mfuko wa shati. Je, tulimwage hapa hapa?
 
Kuna wenzangu nimeshawaona huku, leo FRIENDLY MATCH kwa wanaotumia mrusi kumenona sana.
liverpool, sulsburg, ajax totenham, eintrach frackfurt wanatembea wamening'iniza hela kwenye mfuko wa shati. Je, tulimwage hapa hapa?
Mkuu fuateni huu ushauri hapa mana mtasababisha na huu nao uzimwe
Hivi


Hivi haiwezekani member mmoja kuanzisha Uzi kwenye pm yake na members wengine wote kuingia humo kuweza kuchangia ?
 
Kimsingi sisi binadamu ni watu wepwsi sana kuhukumu bila kuangalia story husika ilikuwaje(mimi mmojawapo)

Kisa cha MAGWAYA kukamatwa..

Rival fans shouted "F*** United" towards Harry Maguire and his friends at a bar in Mykonos. MAGUIRE'S SISTER WAS STABBED WITH A 'SHARP OBJECT' AND HE STEPPED IN TO DEFEND HER #mulive [mykonos voice]

Dada ake alifanyiwa fujo na kuchomwa na kitu chenye ncha kali thats why aliingilia kati kumlinda..

Hongera captain.
 
No Sancho this season
Screenshot_2020-08-22_162337.jpg


Sent from my SM-A715F using JamiiForums mobile app
 
Kimsingi sisi binadamu ni watu wepwsi sana kuhukumu bila kuangalia story husika ilikuwaje(mimi mmojawapo)

Kisa cha MAGWAYA kukamatwa..

Rival fans shouted "F*** United" towards Harry Maguire and his friends at a bar in Mykonos. MAGUIRE'S SISTER WAS STABBED WITH A 'SHARP OBJECT' AND HE STEPPED IN TO DEFEND HER #mulive [mykonos voice]

Dada ake alifanyiwa fujo na kuchomwa na kitu chenye ncha kali thats why aliingilia kati kumlinda..

Hongera captain.
Natoka nje kdg, mm namkubali Maguire ila u captain haumtoshi.
 
Kuna wenzangu nimeshawaona huku, leo FRIENDLY MATCH kwa wanaotumia mrusi kumenona sana.
liverpool, sulsburg, ajax totenham, eintrach frackfurt wanatembea wamening'iniza hela kwenye mfuko wa shati. Je, tulimwage hapa hapa?
Tutupie mzigo mkuu ..tusicheleweshe mambo ni mengi. Harakati tufanyie humu humu

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Nenda kacheze wewe

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
Mkuu ile ndiyo kazi yao cc mashabiki kazi yetu ni kulipa viingilio kutazama walichotuahidi kukifanya na ndiyo maana wanapozingua huwa wanatuomba msamaha mashabiki wote dunia nzima cz mambo yote anayofanya ni kwa ajili ya mashabiki cz mashabiki tukimpenda na ndiyo yeye mambo yake yanamwendea vzr, ss ww haya maneno yako yanajidhihirisha kabisa ni hutambui nafasi yako km shabiki bali unadhani ww kuwa shabiki ni km huruma umepewa na tm husika, hapana mkuu ucwe hivyo hayo maneno ya kwenye draft achana nayo hayana uhalisia.
 
Mkuu ile ndiyo kazi yao cc mashabiki kazi yetu ni kulipa viingilio kutazama walichotuahidi kukifanya na ndiyo maana wanapozingua huwa wanatuomba msamaha mashabiki wote dunia nzima cz mambo yote anayofanya ni kwa ajili ya mashabiki cz mashabiki tukimpenda na ndiyo yeye mambo yake yanamwendea vzr, ss ww haya maneno yako yanajidhihirisha kabisa ni hutambui nafasi yako km shabiki bali unadhani ww kuwa shabiki ni km huruma umepewa na tm husika, hapana mkuu ucwe hivyo hayo maneno ya kwenye draft achana nayo hayana uhalisia.
Apo sawa nimeelewa ..ila sasa ndo timu yetu man u ni takataka tu.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom