Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,498
- 28,720
Siasa gani hapo, hata Mpira ,structure ilikuwa inaonekana ,Unajua alifungwaje? Sign ipi alishaonyesha? Kufungwa ni kufungwa hakuna cha sign. Acha siasa kwenye football
Siasa gani hapo, hata Mpira ,structure ilikuwa inaonekana ,Unajua alifungwaje? Sign ipi alishaonyesha? Kufungwa ni kufungwa hakuna cha sign. Acha siasa kwenye football
Umekuwa mpiga ramli eti enheeeJamaa anavimba kila thread na wakati hapo tunawahesabia baada ya misimu minne tena.
Ulitaka asivimbe wakati ulichapwa ,halafu acha kupiga ramliJamaa anavimba kila thread na wakati hapo tunawahesabia baada ya misimu minne tena.
Wewe mwenyewe unaelewa kwa mbungi lile upikua hutoboi sema kwa mbeleko za Taylor ikawa ponapona yenu.Umekuwa mpiga ramli eti enheee
Hujanifunga wewe usidanganye umma. Huna uwezo huoUlitaka asivimbe wakati ulichapwa ,halafu acha kupiga ramli
Nimependa uchambuzi na ni kweli kiweledi zaidi stats ni moja ya vigezo. Tuwekee na conversion rate.Takwimu hizo hapo.
Katika Club Level;
Nesterlooy amecheza mechi 449 ana goli 249. Ratio ya goli 0.55 kwa mechi.
Lukaku amecheza mechi 361 ana goli 169. Ratio ya goli 0.46 kwa mechi.
Chicharito ana mechi 311 na goli 116. Ratio ya goli 0.37 kwa mechi.
Nesterlooy ana mechi 87 zaidi ya Lukaku na pia ana magoli 80 zaidi. Lukaku ana miaka 27.
Chicharito ana mechi 50 pungufu ya Lukaku na magoli 53 pungufu. Chicharito ana miaka 32 na sahivi yupo L.A Galaxy anakaribia kustaafu.
Katika National Level;
Lukaku amecheza mechi 84 na goli 52. Ratio ya goli 0.619 kwa mechi.
Van Nesterlooy amecheza mechi 70 na goli 35. Ratio ya goli 0.5 kwa mechi.
Chicharito amecheza mechi 102 na goli 52. Ratio ya goli 0.509 kwa mechi.
Wote wakiwa Man Utd;
Nesterlooy: mwaka 2001 - 2006 ana mechi 150 goli 95. Ratio ya goli 0.633 kwa mechi.
Lukaku: mwaka 2017 - 2019 ana mechi 66 goli 28. Ratio ya goli 0.424 kwa mechi.
Chicharito: mwaka 2010 - 2015 ana mechi 103 goli 37. Ratio ya goli 0.359 kwa mechi.
Nani yupo clinical hapo? Au kwasababu Lukaku ni mweusi mwenzetu.
Mashabiki wengine utawaelimisha utachoka, Sasa wanawalinganisha Klopp na huyu Sos wao. Klopp unaona kabisa timu ilianza kubadilika, mbinu zake zinaonekana.Klopp alifungwa fainal lkn tayari alishaonesha sign anaelekea wapi , ndio maana alipoletewa watu ali deliver
Duh Kwahiyo Auba aliwafunga kina nani zile goli 2Hujanifunga wewe usidanganye umma. Huna uwezo huo



Real Madrid planning surprise transfer bid for Inter Milan star Romelu LukakuTakwimu hizo hapo.
Katika Club Level;
Nesterlooy amecheza mechi 449 ana goli 249. Ratio ya goli 0.55 kwa mechi.
Lukaku amecheza mechi 361 ana goli 169. Ratio ya goli 0.46 kwa mechi.
Chicharito ana mechi 311 na goli 116. Ratio ya goli 0.37 kwa mechi.
Nesterlooy ana mechi 87 zaidi ya Lukaku na pia ana magoli 80 zaidi. Lukaku ana miaka 27.
Chicharito ana mechi 50 pungufu ya Lukaku na magoli 53 pungufu. Chicharito ana miaka 32 na sahivi yupo L.A Galaxy anakaribia kustaafu.
Katika National Level;
Lukaku amecheza mechi 84 na goli 52. Ratio ya goli 0.619 kwa mechi.
Van Nesterlooy amecheza mechi 70 na goli 35. Ratio ya goli 0.5 kwa mechi.
Chicharito amecheza mechi 102 na goli 52. Ratio ya goli 0.509 kwa mechi.
Wote wakiwa Man Utd;
Nesterlooy: mwaka 2001 - 2006 ana mechi 150 goli 95. Ratio ya goli 0.633 kwa mechi.
Lukaku: mwaka 2017 - 2019 ana mechi 66 goli 28. Ratio ya goli 0.424 kwa mechi.
Chicharito: mwaka 2010 - 2015 ana mechi 103 goli 37. Ratio ya goli 0.359 kwa mechi.
Nani yupo clinical hapo? Au kwasababu Lukaku ni mweusi mwenzetu.
Acha kumsingizia refa ,umesahau ulipobebwa pale emirates , ukashindwa kwenu kwa dk 70 tupo pungufu kushindaWewe mwenyewe unaelewa kwa mbungi lile upikua hutoboi sema kwa mbeleko za Taylor ikawa ponapona yenu.
Km una miaka 23 unashabikia man u mbn unatoa kauli dhaifu sana dhidi ya malegend wa tm mkuu.Kuna unachojua wewe? Au unaishi kwa kukariri majina? Takwimu hizo hapo juu zinaongea.
Nina miaka 23 nashabikia Man Utd, huo ni sawa na umri wako.
Pumbavu kabisa.
Nimeweka takwimu.Km una miaka 23 unashabikia man u mbn unatoa kauli dhaifu sana dhidi ya malegend wa tm mkuu.
We jamaa nazidi kupata ukakasi juu ya ushabiki wako yn unataka kumfananisha lukaku na nisterlooy? Hawafanani kabisa kuanzia talent mpk delivering style, kuna magoli nisterlooy alikuwa anafunga lukaku hajawahi kufunga mpk leo na hatokaa afunge ktk career yake, kuhusu idadi ya mechi cc hatuna haja ya kujua bali tunachojua ni kwamba nisterlooy yuko mbele ya lukaku na hawajawahi kufananishwa hata kidogo na haiwezi kuwa hivyo hata iweje. Ok ngj nkuache tu uamini unavyojua ww cz con mantiki hapa.Takwimu hizo hapo.
Katika Club Level;
Nesterlooy amecheza mechi 449 ana goli 249. Ratio ya goli 0.55 kwa mechi.
Lukaku amecheza mechi 361 ana goli 169. Ratio ya goli 0.46 kwa mechi.
Chicharito ana mechi 311 na goli 116. Ratio ya goli 0.37 kwa mechi.
Nesterlooy ana mechi 87 zaidi ya Lukaku na pia ana magoli 80 zaidi. Lukaku ana miaka 27.
Chicharito ana mechi 50 pungufu ya Lukaku na magoli 53 pungufu. Chicharito ana miaka 32 na sahivi yupo L.A Galaxy anakaribia kustaafu.
Katika National Level;
Lukaku amecheza mechi 84 na goli 52. Ratio ya goli 0.619 kwa mechi.
Van Nesterlooy amecheza mechi 70 na goli 35. Ratio ya goli 0.5 kwa mechi.
Chicharito amecheza mechi 102 na goli 52. Ratio ya goli 0.509 kwa mechi.
Wote wakiwa Man Utd;
Nesterlooy: mwaka 2001 - 2006 ana mechi 150 goli 95. Ratio ya goli 0.633 kwa mechi.
Lukaku: mwaka 2017 - 2019 ana mechi 66 goli 28. Ratio ya goli 0.424 kwa mechi.
Chicharito: mwaka 2010 - 2015 ana mechi 103 goli 37. Ratio ya goli 0.359 kwa mechi.
Nani yupo clinical hapo? Au kwasababu Lukaku ni mweusi mwenzetu.
Sipo kwa Chico mm, nipo kwa nisterlooy vs lukaku.Nimeweka takwimu.
Weka zako, nioneshe Chicharito yupo juu ya Lukaku.
Wote wapo kwenye the same category.
Nishawish otherwise.
Twendeni taratibu jamani tutaelewana mdogomdogoKuna unachojua wewe? Au unaishi kwa kukariri majina? Takwimu hizo hapo juu zinaongea.
Nina miaka 23 nashabikia Man Utd, huo ni sawa na umri wako.
Pumbavu kabisa.

Ukipaniki tu,Hili nalo unasimama mbele ya wanaume unaliia kombeukivuta bang* uwe unalamba na asali utakuja kunishkuru




















Wewe anakupenda? Mkishakunywa wanzuki msiingie jf mnajiabisha.....Tushakubaliana kama Rashford ni welbeck aliyechangamka ...huyu dogo simpendi toka kipindi cha Mourinho
Jipoze na hii★Hata hamu ya kulala sina hamu ya kuchat sina hamu ya kuwazia mechi iloisha ndio sina kabisa Hapa mapigo ya Moyo yanaenda hovyo hovyo tu ningekuwa mlevi ningekunywa hata barafu ya konyagi nazani ingemaliza haya machungu Usiku Mwema★
See how childish you are. I expected facts from you.We jamaa nazidi kupata ukakasi juu ya ushabiki wako yn unataka kumfananisha lukaku na nisterlooy? Hawafanani kabisa kuanzia talent mpk delivering style, kuna magoli nisterlooy alikuwa anafunga lukaku hajawahi kufunga mpk leo na hatokaa afunge ktk career yake, kuhusu idadi ya mechi cc hatuna haja ya kujua bali tunachojua ni kwamba nisterlooy yuko mbele ya lukaku na hawajawahi kufananishwa hata kidogo na haiwezi kuwa hivyo hata iweje. Ok ngj nkuache tu uamini unavyojua ww cz con mantiki hapa.