Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Takwimu hizo hapo.




Katika Club Level;

Nesterlooy amecheza mechi 449 ana goli 249. Ratio ya goli 0.55 kwa mechi.

Lukaku amecheza mechi 361 ana goli 169. Ratio ya goli 0.46 kwa mechi.

Chicharito ana mechi 311 na goli 116. Ratio ya goli 0.37 kwa mechi.

Nesterlooy ana mechi 87 zaidi ya Lukaku na pia ana magoli 80 zaidi. Lukaku ana miaka 27.

Chicharito ana mechi 50 pungufu ya Lukaku na magoli 53 pungufu. Chicharito ana miaka 32 na sahivi yupo L.A Galaxy anakaribia kustaafu.




Katika National Level;

Lukaku amecheza mechi 84 na goli 52. Ratio ya goli 0.619 kwa mechi.

Van Nesterlooy amecheza mechi 70 na goli 35. Ratio ya goli 0.5 kwa mechi.

Chicharito amecheza mechi 102 na goli 52. Ratio ya goli 0.509 kwa mechi.





Wote wakiwa Man Utd;

Nesterlooy: mwaka 2001 - 2006 ana mechi 150 goli 95. Ratio ya goli 0.633 kwa mechi.

Lukaku: mwaka 2017 - 2019 ana mechi 66 goli 28. Ratio ya goli 0.424 kwa mechi.

Chicharito: mwaka 2010 - 2015 ana mechi 103 goli 37. Ratio ya goli 0.359 kwa mechi.

Nani yupo clinical hapo? Au kwasababu Lukaku ni mweusi mwenzetu.
Nimependa uchambuzi na ni kweli kiweledi zaidi stats ni moja ya vigezo. Tuwekee na conversion rate.
 
Klopp alifungwa fainal lkn tayari alishaonesha sign anaelekea wapi , ndio maana alipoletewa watu ali deliver
Mashabiki wengine utawaelimisha utachoka, Sasa wanawalinganisha Klopp na huyu Sos wao. Klopp unaona kabisa timu ilianza kubadilika, mbinu zake zinaonekana.

Huyu Sos wao anawapeleka Shimoni licha ya wachezaji wazuri aliokuwa nao. Hii timu pamoja na changamoto nyingine, haina mwalimu wa kuwatoa walipo.
 
Takwimu hizo hapo.




Katika Club Level;

Nesterlooy amecheza mechi 449 ana goli 249. Ratio ya goli 0.55 kwa mechi.

Lukaku amecheza mechi 361 ana goli 169. Ratio ya goli 0.46 kwa mechi.

Chicharito ana mechi 311 na goli 116. Ratio ya goli 0.37 kwa mechi.

Nesterlooy ana mechi 87 zaidi ya Lukaku na pia ana magoli 80 zaidi. Lukaku ana miaka 27.

Chicharito ana mechi 50 pungufu ya Lukaku na magoli 53 pungufu. Chicharito ana miaka 32 na sahivi yupo L.A Galaxy anakaribia kustaafu.




Katika National Level;

Lukaku amecheza mechi 84 na goli 52. Ratio ya goli 0.619 kwa mechi.

Van Nesterlooy amecheza mechi 70 na goli 35. Ratio ya goli 0.5 kwa mechi.

Chicharito amecheza mechi 102 na goli 52. Ratio ya goli 0.509 kwa mechi.





Wote wakiwa Man Utd;

Nesterlooy: mwaka 2001 - 2006 ana mechi 150 goli 95. Ratio ya goli 0.633 kwa mechi.

Lukaku: mwaka 2017 - 2019 ana mechi 66 goli 28. Ratio ya goli 0.424 kwa mechi.

Chicharito: mwaka 2010 - 2015 ana mechi 103 goli 37. Ratio ya goli 0.359 kwa mechi.

Nani yupo clinical hapo? Au kwasababu Lukaku ni mweusi mwenzetu.
Real Madrid planning surprise transfer bid for Inter Milan star Romelu Lukaku
Real Madrid planning surprise transfer bid for Inter Milan star Romelu Lukaku https://t.co/WBZ1OaA7UR
 
Wewe mwenyewe unaelewa kwa mbungi lile upikua hutoboi sema kwa mbeleko za Taylor ikawa ponapona yenu.
Acha kumsingizia refa ,umesahau ulipobebwa pale emirates , ukashindwa kwenu kwa dk 70 tupo pungufu kushinda
IMG_20200818_104030.jpg
 
Km una miaka 23 unashabikia man u mbn unatoa kauli dhaifu sana dhidi ya malegend wa tm mkuu.
Nimeweka takwimu.

Weka zako, nioneshe Chicharito yupo juu ya Lukaku.

Wote wapo kwenye the same category.

Nishawish otherwise.
 
Takwimu hizo hapo.




Katika Club Level;

Nesterlooy amecheza mechi 449 ana goli 249. Ratio ya goli 0.55 kwa mechi.

Lukaku amecheza mechi 361 ana goli 169. Ratio ya goli 0.46 kwa mechi.

Chicharito ana mechi 311 na goli 116. Ratio ya goli 0.37 kwa mechi.

Nesterlooy ana mechi 87 zaidi ya Lukaku na pia ana magoli 80 zaidi. Lukaku ana miaka 27.

Chicharito ana mechi 50 pungufu ya Lukaku na magoli 53 pungufu. Chicharito ana miaka 32 na sahivi yupo L.A Galaxy anakaribia kustaafu.




Katika National Level;

Lukaku amecheza mechi 84 na goli 52. Ratio ya goli 0.619 kwa mechi.

Van Nesterlooy amecheza mechi 70 na goli 35. Ratio ya goli 0.5 kwa mechi.

Chicharito amecheza mechi 102 na goli 52. Ratio ya goli 0.509 kwa mechi.





Wote wakiwa Man Utd;

Nesterlooy: mwaka 2001 - 2006 ana mechi 150 goli 95. Ratio ya goli 0.633 kwa mechi.

Lukaku: mwaka 2017 - 2019 ana mechi 66 goli 28. Ratio ya goli 0.424 kwa mechi.

Chicharito: mwaka 2010 - 2015 ana mechi 103 goli 37. Ratio ya goli 0.359 kwa mechi.

Nani yupo clinical hapo? Au kwasababu Lukaku ni mweusi mwenzetu.
We jamaa nazidi kupata ukakasi juu ya ushabiki wako yn unataka kumfananisha lukaku na nisterlooy? Hawafanani kabisa kuanzia talent mpk delivering style, kuna magoli nisterlooy alikuwa anafunga lukaku hajawahi kufunga mpk leo na hatokaa afunge ktk career yake, kuhusu idadi ya mechi cc hatuna haja ya kujua bali tunachojua ni kwamba nisterlooy yuko mbele ya lukaku na hawajawahi kufananishwa hata kidogo na haiwezi kuwa hivyo hata iweje. Ok ngj nkuache tu uamini unavyojua ww cz con mantiki hapa.
 
Kuna unachojua wewe? Au unaishi kwa kukariri majina? Takwimu hizo hapo juu zinaongea.

Nina miaka 23 nashabikia Man Utd, huo ni sawa na umri wako.

Pumbavu kabisa.
Twendeni taratibu jamani tutaelewana mdogomdogo


Here we go.
 
★Hata hamu ya kulala sina hamu ya kuchat sina hamu ya kuwazia mechi iloisha ndio sina kabisa Hapa mapigo ya Moyo yanaenda hovyo hovyo tu ningekuwa mlevi ningekunywa hata barafu ya konyagi nazani ingemaliza haya machungu Usiku Mwema
Jipoze na hii
1596308315776.jpg
 
We jamaa nazidi kupata ukakasi juu ya ushabiki wako yn unataka kumfananisha lukaku na nisterlooy? Hawafanani kabisa kuanzia talent mpk delivering style, kuna magoli nisterlooy alikuwa anafunga lukaku hajawahi kufunga mpk leo na hatokaa afunge ktk career yake, kuhusu idadi ya mechi cc hatuna haja ya kujua bali tunachojua ni kwamba nisterlooy yuko mbele ya lukaku na hawajawahi kufananishwa hata kidogo na haiwezi kuwa hivyo hata iweje. Ok ngj nkuache tu uamini unavyojua ww cz con mantiki hapa.
See how childish you are. I expected facts from you.

Benchmark yako ya kupima talent ni ipi?

Hata Chico alikuwa anafunga na kisogo, tumbo. Magoli ya Zlatan vipi?

Style of scoring or delivering doesn't matter, but we need goals.

Nyie ndo mnachagua mtu kwa kuangalia mvuto wake na sio takwimu.
 
Back
Top Bottom