Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nina wasiwasi kubwa sana na professionalism ya board ya Man Utd. Inakuaje chief executive anakuwa na majukumu yote haya, swala la usajiri as far viwango vya soka vya ulaya vilipofikia ni highly technical, linahitaji investment on people to do it, several infrastructures kama databases, software models, international presence etc Yaani ni kitengo kikubwa tena ambacho kikiwa chini ya senior person anayereport to the board moja kwa moja with a high level of independence.

Woodward angebakia na mambo mengine ikiwa pamoja, na hasa kuhakikisha, hasa kwenye swala la usajiri anasign wire transfer documents. baaasi.

Sasa kinachoendelea pale, ni kama vile tuko kama simba na yanga, yaani cricsant magori anaweza wachezaji wake analeta, au madega nae anawachezaji wake analeta, ama sivyo hili swala la huyu jamaa kuwa kwenye media spot lights wakati wote wa usajiri nyuma yake kuna tatizo kubwa sana.

Na hii inamfrustrate OGS, OGS came in with a very good strategic plan, to bring back Faggie football style, attach attach attach, akamuondoa lukaku kwa maelezo kwamba haendani na hiyo philosophy, sasa hii inaishia kuwa ni maneno matupu kama style ya usajiri inabakie ile ile, ndio maana hata van gaal alisema, man utd ya OGS inapack basi kuliko yake, hakuna cha attack attack attack wala nini.

Na zaidi hata OGS mwenyewe ni kama kaisha itupa hiyo strategy, yaani toka amsajiri ighalo sijamsikia anasema hayo maneno, na kinachoonekana iwe ni kwenye normal management meeting au board level hakuna mtu anambana OGS kuhusu football style na quality ya team.
 
-

"Hakuna cha ajabu alichofanya kuhusu kutwaa Epl, Laliga & Serie A. Danilo alitwaa Epl akiwa nasi hapa Man city, alishinda Laliga akiwa na Real Madrid na akatwaa kombe la Serie A akiwa Juventus"

"Ukichukuwa Mchezaji kutoka kwenye ligi ndogo hapa duniani, na akampeleka Juventus, nakuhakikishia kwamba msimu ujao atakuwa na medali ya ubingwa ikizunguka shingo yake"

"Aaron Ramsey alijiunga Juventus msimu uliopita, na leo anamedali. Juventus kushinda ubingwa wa Serie A sio habari kwetu"

"Ni kama Mchezaji akijiunga Bayern Munich au Celtic na kuita eti anafata changamoto mpya, nacheka kwa kauli kama hiyo"
Pep Guardiola kwa Ronaldo
Umeulizwa?
 
Hivi msimu ujao lengo letu ni nini?
Tujue mapema,maana kwa squad yetu hii bado hatuwezi kucompete na City wala Liverpool na pia tusipofanya sajili za kueleweka kuboresha kikosi chetu basi hata Chelsea watatushinda next season..

Inabidi tuendelee kuclose gap letu dhidi ya City na Liver..Na hili linafanyika kwa kuongeza wachezaji wenye ubora kwenye squad yetu.

IMO tunahitaji;

✓RW(Sancho)

✓CB

✓CF

✓ Energetic,High compusure RB or LB..Beki kama yule Davies wa Bayern ndo ninaowazungumzia hapa na sio old school AWB who can't even deliver a good cross in open space.


Haya yasipofanyika sitoshangaa kuendelea kuwa na offs and ons nyingi next season.

Tuna wachezaji wenye inconsiste ncy sana na dawa ni kuwa na kikosi kipana tu kilicho bora..Shida yetu sisi mashabiki wa United huwa tukishinda in a row tunaona kama tayari tushakuwa na kikosi cha kubebe kombe,then tunaishia kupiga Mark time tu msimu unaofuata..
 
Lkn utd inanivusha msimu vema, tena ikiwa inapigania Europa.....hivi niulize wajuzi huwa siachi kuuliza
...je utd unasababu ya kupigania ueropa league wkt imeshavuka kwenda elite league?

Au kwa ajiliyakuliweka kwenye museum?
Ipo sababu kubwa tu. Ile in silverware kubwa na ya heshima pia japo si kama UCL. Lakini pia ni sehemu ya masndalizi ya kuzidi kuwakomaza na kuwaweka pamoj zaidi kimapambano wachezaji wetu hasa hawa wadogo
 
Uhamisho unaokisiwa wa Jadon Sancho kwenda Manchester United uko karibuni kufikiwa, wakati Borussia Dortmund wakiwa tayari kukubali ada ya awali ya pauni milioni 60 kwa ajili ya winga huyo, 20. (Independent)
 
nataka niwe msomaji comments za wachangiaji kwa kipindi hiki, humu ndani inapatikana burudani ya kipekeee.
kwa manchester united usajili wa mchezaji mmoja unachukua wastani wa wiki 6- mc cane
hahahahahaaaaa.
========================

niwakumbushe:
man utd hatujawahi kukosa soko la kununua mchezaji ndio maana tumekuwa tukivumishiwa usajili wa wachezaji takribani 50 kwa kila dirisha (leo hii tunavumishiwa usajili james rodriguez ),

changamoto kubwa inayotukabili kwa sasa ni kutafuta mnunuaji wa wachezaji wetu, pindi wachezaji wote watakaporudi klabuni tutakuwa na jumla ya wachezaji 35.

wage bill structures inatuumiza na inatuadhibu kwa sasa......wanunuzi wapo kimya ila wauzaji wanaongezeka

  1. alex sanchez anarudi - man utd watamlipa mshahara wote na bonus ya champions league.
  2. chris smalling anarudi- tulimpa mkataba wa kufuru msimu uliopita
  3. marcos rojo anarudi - mshahara wake unakaribia au kuvuka paundi laki moja, nani anamuhitaji marcos rojo?
  4. phil jones tulimpa mkataba wa miaka mitatu msimu uliopita sijui ni kwa lengo lipi
  5. jesse lingard ana mkataba wa muda mrefu na anavuta paundi laki moja au zaidi
  6. dean henderson anarudi
  7. nani anamuhitaji diogo dalot tuliyemsajili kwa paundi millioni 20
  8. nani anamuhitaji andreas perreira
  9. nani anamuhitaji eric bailly (mr injury prone)
 
★Manchester United are closing in on the signing of Raul Jimenez from Wolves,
according to Portuguese outlet RTP View attachment 1522402
Yaani kiukweli huyu Raul Jiminez hapana , hapa ni kupoteza 72M Euro za bure labda kama atakuwa sub ya Martial akitokea benchi.

Kwanza hata hajamzidi Martial kwa magoli yote katika Career yake ya mpira pamoja na kwamba ana miaka 29 ila Martial ana miaka 24. Pia huyu anaelekea almost ya age ya 30 ya uzeeni kama wakina sanchez , rooney, Berbartov na vanpersie ambayo ndiyo age ya kuchoka na kushuka kiwango kwa most of Man Utd Stikers

Mimi naona hiyo fedha waangalie young strikers below 26 kwa ajili ya long term plan
 
nataka niwe msomaji comments za wachangiaji kwa kipindi hiki, humu ndani inapatikana burudani ya kipekeee.
kwa manchester united usajili wa mchezaji mmoja unachukua wastani wa wiki 6- mc cane
hahahahahaaaaa.
========================

niwakumbushe:
man utd hatujawahi kukosa soko la kununua mchezaji ndio maana tumekuwa tukivumishiwa usajili wa wachezaji takribani 50 kwa kila dirisha (leo hii tunavumishiwa usajili james rodriguez ),

changamoto kubwa inayotukabili kwa sasa ni kutafuta mnunuaji wa wachezaji wetu, pindi wachezaji wote watakaporudi klabuni tutakuwa na jumla ya wachezaji 35.

wage bill structures inatuumiza na inatuadhibu kwa sasa......wanunuzi wapo kimya ila wauzaji wanaongezeka

  1. alex sanchez anarudi - man utd watamlipa mshahara wote na bonus ya champions league.
  2. chris smalling anarudi- tulimpa mkataba wa kufuru msimu uliopita
  3. marcos rojo anarudi - mshahara wake unakaribia au kuvuka paundi laki moja, nani anamuhitaji marcos rojo?
  4. phil jones tulimpa mkataba wa miaka mitatu msimu uliopita sijui ni kwa lengo lipi
  5. jesse lingard ana mkataba wa muda mrefu na anavuta paundi laki moja au zaidi
  6. dean henderson anarudi
  7. nani anamuhitaji diogo dalot tuliyemsajili kwa paundi millioni 20
  8. nani anamuhitaji andreas perreira
  9. nani anamuhitaji eric bailly (mr injury prone)

Duu,,hii timu kweli ilikuwa shamba la bibi,,kwa ubovu wq hao wachezaji hata ikitokea wanunuzi wakajitokeza mauzo yao wote hayawezi kufika hata Paundi Mill.40.!
 
nataka niwe msomaji comments za wachangiaji kwa kipindi hiki, humu ndani inapatikana burudani ya kipekeee.
kwa manchester united usajili wa mchezaji mmoja unachukua wastani wa wiki 6- mc cane
hahahahahaaaaa.
========================

niwakumbushe:
man utd hatujawahi kukosa soko la kununua mchezaji ndio maana tumekuwa tukivumishiwa usajili wa wachezaji takribani 50 kwa kila dirisha (leo hii tunavumishiwa usajili james rodriguez ),

changamoto kubwa inayotukabili kwa sasa ni kutafuta mnunuaji wa wachezaji wetu, pindi wachezaji wote watakaporudi klabuni tutakuwa na jumla ya wachezaji 35.

wage bill structures inatuumiza na inatuadhibu kwa sasa......wanunuzi wapo kimya ila wauzaji wanaongezeka

  1. alex sanchez anarudi - man utd watamlipa mshahara wote na bonus ya champions league.
  2. chris smalling anarudi- tulimpa mkataba wa kufuru msimu uliopita
  3. marcos rojo anarudi - mshahara wake unakaribia au kuvuka paundi laki moja, nani anamuhitaji marcos rojo?
  4. phil jones tulimpa mkataba wa miaka mitatu msimu uliopita sijui ni kwa lengo lipi
  5. jesse lingard ana mkataba wa muda mrefu na anavuta paundi laki moja au zaidi
  6. dean henderson anarudi
  7. nani anamuhitaji diogo dalot tuliyemsajili kwa paundi millioni 20
  8. nani anamuhitaji andreas perreira
  9. nani anamuhitaji eric bailly (mr injury prone)
Hii ngoma ngumu

Na sijui kwanini Ole/bodi walimpa Jones mkataba mwingine last year?..

Hawa hata kwa mafungu hawauziki na kwa sababu wanavuta mpunga mrefu wataendelea kukubali kukaa nje huku wakivuta mpunga maana hata future zao ni kama zishaisha
 
Back
Top Bottom