Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Charlie Nicholas ni kilaza mmoja aliyevamia fani ya uchambuzi
Kama namba 3 ni C+, namba 8 au 9 au 10 atakuwa Z?
Kama namba 3 ni C+, namba 8 au 9 au 10 atakuwa Z?
*** you Charlie Nicholas with your grade C+
Tulikuwa wabovu kwenye mzunguko wa kwanza,kuanzia mzunguko wa pili tumebadilika sana..Jamaa haoni improvement yoyote.
This guy real hates United
View attachment 1521648
sasa hao anaosema walikuwa form (Leicester City) where are they now chakufanya ajitahidi tu kuipenda Manchester United asijipunguzie umri wa kuishi ★
"Hakuna cha ajabu alichofanya kuhusu kutwaa Epl, Laliga & Serie A. Danilo alitwaa Epl akiwa nasi hapa Man city, alishinda Laliga akiwa na Real Madrid na akatwaa kombe la Serie A akiwa Juventus"