Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Charlie Nicholas ni kilaza mmoja aliyevamia fani ya uchambuzi

Kama namba 3 ni C+, namba 8 au 9 au 10 atakuwa Z?
*** you Charlie Nicholas with your grade C+

Tulikuwa wabovu kwenye mzunguko wa kwanza,kuanzia mzunguko wa pili tumebadilika sana..Jamaa haoni improvement yoyote.

This guy real hates United






View attachment 1521648
 
Charlie Nicholas ni kilaza mmoja aliyevamia fani ya uchambuzi

Kama namba 3 ni C+, namba 8 au 9 au 10 atakuwa Z?
Jamaa kilaza sana...na ana nongwa sana na United

Huwezi kusema tulikuwa mabovu throughout the season.
 
Huwa naangaliaga hata prediction zake kwa United, ni kichefuchefu... Haipendi United huyu jamaa
Jamaa kilaza sana...na ana nongwa sana na United

Huwezi kusema tulikuwa mabovu throughout the season.
 
Man utd ni kati ya timu kubwa duniani..i love this club lakini ni moja kati ya timu zenye RECRUITMENT DEPARTMENT mbovu duniani.

Kutokana na hilo ndo maana kila mchezaji tunayegusa anakuwa EXPENSIVE sana just because wanajua hatujielewi..

Transfer window imefunguliwa na unaona kbs team yetu inavyohitaji wachezaji wengi wapya(RW,CB,ST,CM) lakini utashangaaa tutaspend huu mwezi wote kunegotiate deal ya Sancho na sehemu zingine muhimu zinasahaulika until its too late!!

Angalia MAN CITY au CHELSEA hawa ni rivals wetu na wana recruiter mzuri sn
Mfn leo naona CITY wameshaweka dau kwa NATHAN AKE wakt MAN UTD tumezubaa tu km mafala..

Note;
Kwa style hii mbovu ya recruitment tutajikuta tunatumia miaka hd 10 kutwaa EPL kwa sababu hatyko serious kbs.

Ugiligili.
Man united haifanyi usajili kwa kukimbizana na plastic clubs kama Chelsea na Man city mkuu.
 
Kimsingi kwa sasa naacha kufuatilia tetesi za usajili za man u cuz kila siku utasikia tunamtaka mtu huyu na yule lkn huoni progress..stress tupu.!
Unakuwa kama vile umeanza kushabikia united kipindi Bruno kasajiliwa mkuu.

United huwa inahusishwa na kila mchezaji wa dunia hii hata kama united hawamjui hata mchezaji husika.
 
Principle yangu

Nafuatilia kwa karibu tetesi za Man Utd kutoka Skysports, BBC na Manchester Evenings

Wengine siwapi uzito wowote
Unakuwa kama vile umeanza kushabikia united kipindi Bruno kasajiliwa mkuu.

United huwa inahusishwa na kila mchezaji wa dunia hii hata kama united hawamjui hata mchezaji husika.
 
★sikujua mwanzo mpaka nina mjibu lakini nilikuwa najiuliza na akili zake timamu ko hakuona makosa yalokuwa yanatokea kwenye mechi hizi za mwisho japo tulikuwa tunashinda?
Afu kitu ambacho ninaonaga kumuweka sawa mchezaji aache malingo ni mpaka apate mbadala wake namaanisha sub yake tena yenye kiwango kumkaribia ama kumzidi haya makosa ya kipuuzi hayatokeagi kabisa★
Ana kejeli huyo, sio Man U
 
★Kila mtu anamapenzi kwa anachokipenda ko kuwa mchambuzi si mpaka uchambue timu zooote kwa uwiano sawa nazani ni ruksa kuiponda timu usoipenda ila yeye aichukie,asiipende ila ndio hivyo tupo kwenye nafasi aliyokuwa hapendi sisi tuwe pamoja na ubovu wetu.
Mpira ni techniques kama masumbwi utapigwa utapigwa lakini ukishapata chance moja tu na ukaitumia vizuri ushindi ni wazi wazi sasa hao anaosema walikuwa form (Leicester City) where are they now chakufanya ajitahidi tu kuipenda Manchester United asijipunguzie umri wa kuishi ★
*** you Charlie Nicholas with your grade C+

Tulikuwa wabovu kwenye mzunguko wa kwanza,kuanzia mzunguko wa pili tumebadilika sana..Jamaa haoni improvement yoyote.

This guy real hates United






View attachment 1521648
 
IMG_20200730_191723_430.jpg
 
★niliona
David Nerez
Mauro Icard
Kylian mbappe
Halland
Sancho
Paul Dybala
Pjanic
Immobile
Harry Kane
Eriksen
Coutinho
Griezmann
Onana
Na hawa nakumbuka kwa haraka haraka tu
Kuna nonses nyingi sana

January pekee United alikuwa connected na wachezaji zaidi ya 100

Lakini tulisajili 3 tu
 
-

"Hakuna cha ajabu alichofanya kuhusu kutwaa Epl, Laliga & Serie A. Danilo alitwaa Epl akiwa nasi hapa Man city, alishinda Laliga akiwa na Real Madrid na akatwaa kombe la Serie A akiwa Juventus"

"Ukichukuwa Mchezaji kutoka kwenye ligi ndogo hapa duniani, na akampeleka Juventus, nakuhakikishia kwamba msimu ujao atakuwa na medali ya ubingwa ikizunguka shingo yake"

"Aaron Ramsey alijiunga Juventus msimu uliopita, na leo anamedali. Juventus kushinda ubingwa wa Serie A sio habari kwetu"

"Ni kama Mchezaji akijiunga Bayern Munich au Celtic na kuita eti anafata changamoto mpya, nacheka kwa kauli kama hiyo"
Pep Guardiola kwa Ronaldo
 
Back
Top Bottom