Glory glory utd !
Naam timu yetu iko hovyo Sana kwenye sajili,,, wanadelay Sana au zile first opts za kocha tunazikosa na kupata second opts ,,,,mou na LVG washawahi kulisema Sana !!!
Ed anazingua Sana, nadhan last year walikuja na pendekezo tuwe na director of football , akahusishwa Van de sar Mara Ferdinand, Mara Evra lakini kimya zile tetesi zikapotea !!
Frankly speaking yule mwanamama wa Chelsea somebody sijui marina , namuelewa Sana , anajua anachofanya ,,,city pia wako vzr kwenye kukamilisha deals mapema , utd na ukwasi wote sijui wanakwama wapi !
Ole akituletea
CB mmoja
RW mmoja
CF mmoja
pia aje Dean henderson mambo yatakuwa powa pengine tutakuwa tittle contenders,,,, offload magharasa yaso na faida ! Huwezi kuwa champion bila kuwa na kikosi kipana nyenywe uwiano mzuri wa viwango vya kiuchezaji ,,,,
GGM