★Kuna watu wanasumbuliwa na matatizo ya akili mi nawaona tu ushindi wa leo wamechachamaa ka konda alonyimwa nauli,tulikuwa tunawapiga 4 kavu leo wao 1-3 lakini kelele zake sasa
★Kuna watu wanasumbuliwa na matatizo ya akili mi nawaona tu ushindi wa leo wamechachamaa ka konda alonyimwa nauli,tulikuwa tunawapiga 4 kavu leo wao 1-3 lakini kelele zake sasa
Kesho nataka nije hapa nisome Comments tu za Washabiki wa hii Timu halafu nizilinganishe na zile comments za tangu iliporejea Ligi baada ya Corona mpaka kufikia Jana.