Bruno anacheza mpira for fun sio kwa assist anazopiga Greenwood goli zuri next Tottenham.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulivomkosa Joao felix wengi mlimind sana lakini mi namuona dogo bado tena ni kama kashuka sahv
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wamepata kiburi sana baada ya kuja Bruno.
Eti," we don't need Pogba " Really?
Time will tell...!
Ipo confirmed, nimeona na ODOI wa chelsea nae.tetesi tetesi Arteta ana corona, possible hakuna tena Football msimu huu, tu enjoy mechi yetu ya mwisho
chekini kichwa maji hiki.
Mechi imekuwa rahisi sana nadhan hata kocha hakutegemea
Goli la Ighalo tamu na goli la Greenwood hadi wamempigia makofi
Mdogo mdogo tutafika tunapokwenda
GGMU
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata bruno mwenyewe mkuu ukimwambia hivi atakushangaa kifupi bruno kaja kipindi ambacho wachezaj wote wamepata fom yao hasa viungo fred,matic na scott unaona hata clean sheet tunapata pogba alihangaika ukiangalia viungo wote katikati walikuwa hovyo hebu fikiria lingard anacheza nyuma ya martial na rashford halafu tunamponda pogba
Narudia simtetei pogba na sipend auzwe timu nzur huundwa na viungo imara kuna muda tutahitaj pasi ndefu basi pogba ni dawa kuna vitu vingi sana bruno kazidiwa na pogba skills, umiliki wa mpira na hata upigaji wa pasi ndefu pogba akituliza akili ni mnyama
Ni mtazamo wake mkuu! Na kila mtu ana muono wake. Msitake kila mtu aamini mnachokiabudu nyie. Ndio maana hata Klopp alimsajili Adrian kuwa backup goalkeeper badala ya kumchukua Romerochekini kichwa maji hiki.
inasemekana tumefikisha mechi 11 bila ya kupoteza, kivyovyote kuna mabadiliko makubwa sana ya kiucheza ambayo tumeyapitia kwa nyakati hizi na ni tumaini la kila mdau wa man utd kuendelea kuomba hali hii tunayokwenda nayo izidi kuimarika zaidi na si kurudi tena nyuma kama ilivyokuwa msimu uliopita.
LASK waliwafunga sporting lisbon,PSV, AZ alkamaar cha kufurahisha zaidi hawa jamaa waliruhusu magoli manne kwenye kampeni yao ya EL (ila leo tumewafunga magoli matano kupitia wachezaji tofauti)
andreas perreira na jesse lingard ndio wanadamu waliokuwa wanasababisha uwanjani tuwe pungufu pindi tunapocheza na kibaya zaidi tulikosa wachezaji wa kuziba nafasi zao (si kwa sababu hawakuwepo wachezaji wa kuchukua nafasi zao bali na wao pia hawakuwa kwenye viwango vyenye kueleweka).
fred alikuwa ovyo ila kwa sasa yupo vizuri
nemanja matic alipoteza muelekeo baadae akapata majeruhi, kuumia kwa mctominay kulimrudisha upya nemanja matic kwenye ulimwengu wa soka (kwa sasa unahitaji kuwa na degree ya roho mbaya pindi unapochagua mchezaji wa kuanza kwenye mechi kati ya nemanja matic na scott mctominay)
brandon williams amenivutia sana eneo la upande wa kulia (dogo ni asset inayo-ongezeka thamani ya ubora kama ilivyo ardhi).
victor lindeloff vs eric bailly (hii ni mechi ngumu sana)
bruno fernandez vs paul pogba (nimeshakata tiketi ya kushuhudia huu mpambano wa wanaume)
tumebakisha wachezaji watatu hadi wanne ili tuwe na timu ya ushindani.
Mkuu Daemusin credit kwa andiko lako.inasemekana tumefikisha mechi 11 bila ya kupoteza, kivyovyote kuna mabadiliko makubwa sana ya kiucheza ambayo tumeyapitia kwa nyakati hizi na ni tumaini la kila mdau wa man utd kuendelea kuomba hali hii tunayokwenda nayo izidi kuimarika zaidi na si kurudi tena nyuma kama ilivyokuwa msimu uliopita.
LASK waliwafunga sporting lisbon,PSV, AZ alkamaar cha kufurahisha zaidi hawa jamaa waliruhusu magoli manne kwenye kampeni yao ya EL (ila leo tumewafunga magoli matano kupitia wachezaji tofauti)
andreas perreira na jesse lingard ndio wanadamu waliokuwa wanasababisha uwanjani tuwe pungufu pindi tunapocheza na kibaya zaidi tulikosa wachezaji wa kuziba nafasi zao (si kwa sababu hawakuwepo wachezaji wa kuchukua nafasi zao bali na wao pia hawakuwa kwenye viwango vyenye kueleweka).
fred alikuwa ovyo ila kwa sasa yupo vizuri
nemanja matic alipoteza muelekeo baadae akapata majeruhi, kuumia kwa mctominay kulimrudisha upya nemanja matic kwenye ulimwengu wa soka (kwa sasa unahitaji kuwa na degree ya roho mbaya pindi unapochagua mchezaji wa kuanza kwenye mechi kati ya nemanja matic na scott mctominay)
brandon williams amenivutia sana eneo la upande wa kulia (dogo ni asset inayo-ongezeka thamani ya ubora kama ilivyo ardhi).
victor lindeloff vs eric bailly (hii ni mechi ngumu sana)
bruno fernandez vs paul pogba (nimeshakata tiketi ya kushuhudia huu mpambano wa wanaume)
tumebakisha wachezaji watatu hadi wanne ili tuwe na timu ya ushindani.
Kama Pogba anaondoka Sms muhimu, Sms na pogba uchezaji wao unafanana ni complete package.Hivi Man united ya sasa bado inamhitaji Sergej Millinkovic Savic?
Hivi Man united ya sasa bado inamhitaji Milan Skinniar ?
Hivi Man united ya sasa bado inamhitaji Khalidou Koulibally ?
Hivi Man united ya sasa bado inamhitaji Mauricio Pochetino ?
Hivi Man united ya sasa bado inamhitaji Masmilliano Allegry ?
Najaribu kujiuliza tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Corona Corona Corona Virus
Anakaribia kutuharibia shughuli
Baada ya mechi kuanza kuchezwa bila mashabiki huko Italia, sasa mechi zimeahirishwa mpaka April
Mechi ya UCL kati ya Barca VS Napoli itachezwa bila mashabiki
Dalilizinaonesha ligi nyingi zitaahirishwa hiki kirusi kikiendelea, nimesikia mmiliki wa Nottingham forest amejitangaza kuwa ana kirusi na amejitenga na jamii (sijui yupo Uingereza? )
God forbid hiki kirusi kisiendelee kutamba, watu wanaendelea kufa na ligi za soka/michezo zinaweza kusimama mashabiki tukakosa utamu wa burudani ya soka
Ligi inaweza kuwa canceled Liverpool wasichukue ubingwa, Man Utd tusiingie top 4
Sent using Jamii Forums mobile app
baadhi ya nyakati wachezaji wa ulaya ambao tunawafahamu kama ni professional (wa tabia, matendo na fikra) hufanya maamuzi ambayo hayatofautiani na yale yanayochukuliwa na wachezaji wa kiswahili (unampongeza samatta kwa kucheza aston villa ila wewe unakataa ofa ya tp mazembe, unakimbia sweden na unaikataa al ahly ya sudan kwa sababu ya hamida)Mmmmm hapana dogo mzur sana mfumo wa diego ni hatar kwa kipaji chake