radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Bado hamna shida mkuu kwa jinsi timu inavyojijenga walau tunaweza kupata matokeo mazur
Ighalo Mungu anakuona Ighalo... umebeba coronavirus katika mabegi umekuja kusambaza England
Sent using Jamii Forums mobile app



@Chusa utamsikia akisema"Hii ndo timu yetu,huyu ndo kocha wetu na hawa ndo wachezaji wetu"..Hahahaukimuondoa yule jamaa anayeitwa Chusa ndani ya thread hii takribani wachangiaji wote humu ndani tumekuwa tuna tabia ya kubadilika kutokana na mdundo wa spika kwangu mimi ni jambo zuri sana kubadilika kifikra...... ila sielewi yule mdau anawezaje kuwa na msimamo usioyumba (acha nikupe hongera brother kwa msimamo wako wa kibabe) na pia acha niendelee kubakiwa na mshangao dhidi yako (timu ikicheza vizuri upo freshi na timu inapocheza vibaya upo fresh tu kimtazamo)
-----------------------------------------------------------
ole gunnar solskjaer....
- tokea aondoke sir alex naweza kusema yeye ndiye mwalimu pekee aliyeweza kufanya kazi na wachezaji wote huku wakionyesha bidii na nidhamu wakati wote wa safari (nyakati za shida na raha wachezaji wote wamekuwa wakijitolea kwa ajili yake) bila ya kusikia fununu yoyote yenye kuleta mgawanyo kwenye timu (hakuna tena anti mourinho wala pro mourinho) na sasa tumekuwa familia moja.
- game plan zake zimetupa faida kubwa sana ya kimatokeo pindi tunapokutana na timu zinazotuzidi kwa kuwa na kundi kubwa lenye wachezaji wenye vipaji.... ukiniuliza ni mechi ngapi ambazo sir alex amemfunga guardiola nitakutajia mechi ileeee tuliocheza marekani, ila ndani ya msimu mmoja ole ameshafanikiwa kumfunga guardiola mechi 3 kwa mfumo ule ule (3-4-3)...... guardiola kumfunga ole mechi moja si jambo geni kwenye ulimwengu wa wapenda soka.
- mimi ni mmoja ya wachangiaji wenye tabia ya kubadilika kimsimamo humu ndani na sina tabia za wapiga kura wa afrika (kama ni ccm au chadema basi ni hao hao) .... tokea tupoteze mechi dhidi ya burnley kwa sababu ya wachezaji wachache na ubishi wa mwalimu wa kuamini ya kwamba yupo sahihi kimaamuzi, baada ya hapo timu imeonyesha dalili ya kuimarika kila eneo (wapo wengine wanasema sababu ni ujio wa bruno, ighalo, kurudi kwa matic, bailly)...... ok, kila mtu anabaki na sababu zake anazoziona kupitia jicho lake pindi anapokaa kwenye televisheni kufuatilia mechi zetu........ kwa muda huu sioni umuhimu wa kutafuta mwalimu mwengine.
- naweza kusema ole amekuwa kama catepillar, tunahitaji kuwa na uvumilivu na huyu catepillar ili baadae tupate kumshuhudia kipepeo mwenye mbawa nzuri zinazovutia machoni mwetu.
mechi 10 zilizopita OLE na benchi lake la ufundi wamejirekebisha sana kutokana na makosa waliokuwa wakiyafanya mara kwa mara hususani kwenye mechi ndogo.Ushaanza kumpamba sasa OGS Bado ana muda wakujipanga Kurejesha Furaha ilopotea pale OT katuangusha Mechi ngapi mpaka unaanza kumpa sifa kama hizo.
Hii corona ni utupolo mtupu..
. Two weeks no epl no uefa siku zitakuwa ndefu sanaHii corona ni utupolo mtupu..
Sasa wikiendi kama hii tufanyaje wakuu??..
Imetuondolea sana burudani
For sure kama anataka kuondoka wamwachie tu dunia hii imejaliwa vipaji vingi sana.
Sidhani kama utakosa mtu wa kuvaa viatu vyake wapo wengi sana tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tukijiuliza maswali mengi tunaweza kuwa vichaa..Hivi ikitokea hadi Aprili 03 maambukizi yakawa bado hayajadhibitiwa kwa kiasi cha kutosha,kuna uwezekano ligi ikaahirishwa?
Na je ikiahirishwa mshindi au anayeshuka daraja watampata kwa vigezo gani?
Hapo ndo mziki ulipo kitu bora ni dunia kuungana kupambana na hii kituTukijiuliza maswali mengi tunaweza kuwa vichaa..
ushajiuliza corona ikiendelea hivi hivi bila kukoma itakuwaje kwenye mambo mengine??..achana na soka,kwenye maisha ya kawaida
Niliulizia soka sababu hapa ndio mahala sahihi pa kuongelea soka...kuna uzi wa FRANC THE GREAT pamoja na nyuzi kibao zinaongelea athari za corona kwenye kila nyanja.Tukijiuliza maswali mengi tunaweza kuwa vichaa..
ushajiuliza corona ikiendelea hivi hivi bila kukoma itakuwaje kwenye mambo mengine??..achana na soka,kwenye maisha ya kawaida