Mc cane
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 5,569
- 10,527
Hao huwa hawauziani wachezaji kamwe (labda aende free), pia wachezaji wenyewe huwa hawapendi kwenda upande wa pili
Man Utd hafanyi biashara na Liverpool, City na zamani Leeds United
Sent using Jamii Forums mobile app
Man Utd hafanyi biashara na Liverpool, City na zamani Leeds United
Pogba haamini kinachotokea am afraid tutamuuza cheap but acha aende tu.usishangae akaenda liverpool!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app

zinaonesha ligi nyingi zitaahirishwa hiki kirusi kikiendelea, nimesikia mmiliki wa Nottingham forest amejitangaza kuwa ana kirusi na amejitenga na jamii (sijui yupo Uingereza? )
.
