Upo sawa
Kwangu mimi United and Paul needs to separate for every part best interests
Kwangu mimi pande hizo zilifikia point of no return pale PP aliposema anahitaji new challenge summer iliyopita, pale Raiola aliposema hata Pele na Maradona wange flop wakichezea United, pale kaka zake zaidi ya mara moja walipoweka wazi kuwa PP ataondoka United.
Kuna uoumbavu mwingi sana uliofanywa na Pogba's camp katika kui undermine my Manchester United, that should never be tolerated.
Siku akiondoka nitakula pilau, walahi hata kama hiyo ratiba haikuwepo
Sent using
Jamii Forums mobile app