Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pogba ni Baloteli aliyechangamka
Breaking news;POGBA KUBAKI UTD!??
kuna taarufa zimetoka kwamba kuna uwezekano wa pogba kubaki UTD 7bu ya kutokuwa na suitor aliye tayari kulipa dau kubwa kumnunua na Kumlipa mshahara mkubwa atakao utaka..

Kwa kukumbushia JUVE pekee ndo panaonekana ni likely destination ya pogba since Madrid walishajitoa kwny mbio za kumnunua kutokana na kina bwana mdogo Valverde kukichafua pale kati..

My take; Muda utatupa majibu..tuwe wavumilivu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Corona Corona Corona Virus

Anakaribia kutuharibia shughuli

Baada ya mechi kuanza kuchezwa bila mashabiki huko Italia, sasa mechi zimeahirishwa mpaka April

Mechi ya UCL kati ya Barca VS Napoli itachezwa bila mashabiki

Dalili zinaonesha ligi nyingi zitaahirishwa hiki kirusi kikiendelea, nimesikia mmiliki wa Nottingham forest amejitangaza kuwa ana kirusi na amejitenga na jamii (sijui yupo Uingereza? )

God forbid hiki kirusi kisiendelee kutamba, watu wanaendelea kufa na ligi za soka/michezo zinaweza kusimama mashabiki tukakosa utamu wa burudani ya soka

Ligi inaweza kuwa canceled Liverpool wasichukue ubingwa, Man Utd tusiingie top 4

Sent using Jamii Forums mobile app
Corona impact
bbcsport___B9lT_-0g_fc___.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ili Bruno au Pogba wafanye vizuri ni lazima acheze free role.

Sasa kuwachezesha pamoja itakuwa risk sana defensively.

Nachokiona mm Pogba akipona huenda DMs mmojawapo atakuwa sacrificed au Bruno atakuwa forced kucheza right wing au Bruno Fernandez atakuwa rested.

Ngoja tuone Solkjaer atakuja na plan gani ya kuaccomodate wote wawili.

Sent using Jamii Forums mobile app

Alipocheza brandon william ndipo atacheza kiungo mwingine pogba na bruno kukaa bench ni ngumu au kuanzia bench matic na fred combination nzur sana scott ataanzia bench
 
Kama kuna kosa ambalo atalifanya OGS na kuharbu hii momentum ya team na dressing room ni kujarbu kumuaccomodate Pogba kwa expenses ya wachezaji wengne.

Team kwa sasa iko very stable kuanzia beki mpka ushambuliaji hata Martial japokua mvivu ila anafunga na kusaidia team

Bruno ameleta balance kubwa kwenye team kias kwamba unaona wachezaj wote wana morali ya kuitumikia team kwa moyo wote.

Pogba ni mchezaji mzur tena mzur sana ila kwa Manchester united ya sa hv tunahitaji team work kuliko uzur wa mchezaji mmoja mmoja

Chukua mfano Fred the Red maumivu ya Pogba yamemfanya awe mchezaji ambae ametumika msimu huu wote bila kuchoka na tunaona ambacho ana offer kwa Team, Matic katoka majeruh amerud kwenye form kubwa sana kias kwamba midfield yetu sasa hv tunaamua tucheze mfumo gan na upi kwa maana tuna wachezaji ambao wanakupa kila kitu kwa ajili ya Team.

Pogba anatakiwa atambue kwa sasa uhitaji wa Manchester united kwake sio mkubwa kama kipind tunaanza msimu so anatakiwa ku prove kwel anadeserve kuanza kwa kuonyesha kiwango bora, Inshort tunasema kila mtu ashinde mech zake on midfield battle na sio jina.

Ningekuwa kwenye nafasi ya OGS Pogba ningempa nafas kama ambavyo wengne wanapewa akiwa flopp anapigwa bench kusubiri wenzie wamuonyeshe umuhimu wa kuichezea Manchester United, na ikifika Jully ntammuliza unahitaj kupigania namba na team au kusepa,


Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa timu inapoelekea pogba anatakiwa kucheza ili tujue endapo kama atataka kubaki wakat wakina matic na fred wanaanza kuelewana pogba anaumia hivyo hatukuweza kuona uchezaj wao wakiwa pomoja chini ya solskjaer tuone kwanza kisha tumseme binafsi sikutegemea kama matic na fred wanaweza kutengeneza muunganiko mzur baada ya kuumia scott sasa basi matic anapokuwepo uwanjani na fred

Na hapo scott aliumia matic kapona hivyo walipishana mech ya juz dhid ya city anaingia scott anatoka bruno timu ikawa nzur zaidi kiulinz kuna kitu kocha kaonesha nafikir sasa uelekeo unaanza kuonekana si mbaya scott akawa anaingia sub pamoja na wakina igalo acheze mahali pa martial hapo timu inakuwa ya utata zaidi


starts this season
clean sheets


Hizo ni rekod nzur sana ndio maana scott hakuweza kuanza mech ya city angevuluga kiungo tunapokuwa na scott sawa kana kaza ila kutunguliwa kunakuwepo huo ndo utofaut uliopo sasa kwa hiyo ni muhimu sana kwa pogba kucheza kama atabaki ili timu ijulikane
 
Kwahiyo Pogba ataenda kucheza kama wingback ?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mifumo mkuu badala ya kutumia mawinga ama wingback inatumia midfield wa kulia na kushoto mfano ni kama alioutaja mdau huko juu 4-4-2 diamond ama ule tulioutumia na Everton 4-3-1-2

Sababu ya uhaba wa mawinga, majeruhi ya Rashford na Form ya James pogba akirudi naamini Ole atatumia mifumo inayo Accomodate midfielder wengi zaidi.
 
Kuna mifumo mkuu badala ya kutumia mawinga ama wingback inatumia midfield wa kulia na kushoto mfano ni kama alioutaja mdau huko juu 4-4-2 diamond ama ule tulioutumia na Everton 4-3-1-2

Sababu ya uhaba wa mawinga, majeruhi ya Rashford na Form ya James pogba akirudi naamini Ole atatumia mifumo inayo Accomodate midfielder wengi zaidi.

(4-3-1-2)
 
4 4 2 diamond kwa United bado ni mtihani

Diamond huwa haiitaji sana mawinga, na ili timu iwe na width compastion yake ni kuwa na ma full backs wenye tabia ya wing back yaani wazuri kwenye kulinda na kupandisha mashambulizi na kupiga krosi

Kwa United hatuna hao watu especially upande wa kulia kwa kuwa Ole hawezi kumuweka Bissaka benchi na kumchezesha Dalot.

Kwa upande wa kushoto ni hivyo hivyo, Williams ni mzuri sana kwenye kupandisha timu na kupiga krosi, lakini siamini kama Solskjaer yupo tayari kumuweka Shaw nje na kumuanzisha dogo, Shaw final balls zake ni very poor



Sent using Jamii Forums mobile app
 
So Bruno atacheza free role then Pogba atapewa limited operation space right ?.

Hii sawa possibly anaweza kuwa accommodated, but hapa ni pale Rashford anapokuwa hayupo.
(4-3-1-2)

De Gea

AWB, lindelof,Maguire, Shaw

Matic, Fred, Pogba

Fernandes

Martial, Rashford

Ila kwa matic ataanza scott atasubir bench uzoefu ni muhimu sana


Nafikir unapata ka picha kidogo hapo juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja na yoote yatakayozungumzwa lakini tunahitaji SQUAD DEPTH kwa maana waliomo ndani na walipo nje wasiwe na tofauti sn kwny kiwango ili hata akiumia mmoja inakuwa ni rahisi kuziba pengo lake..
Hata pogba akibaki bado tunahutaji midfield mwingine mzuri na striker mzuri na Winger(rw) ili competition iongezeke kwny club maana Competition ndo imefanya leo Hii Luke shaw anang'aa na Martial anajitahidi kupunguza uzembe alionao since ighalo alivyokuja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wote mnaodhani Pogba hana nafasi Man United mmefeli katika hilo. Pogba ni mchezaji mzuri na mchango wake ameuthibitisha mara nyingi sana. Pogba amekuwa akijitahidi sana kupambana kadiri ya uwezo wake akiwa chini ya Mourinho [Kocha ambaye kwa sasa ni vigumu sana kucheza kwenye kiwango chako cha juu ukiwa chini yake,ukikataa wewe.. Alexis Sanchez, Henrikh Mkhitaryan, na Anthony Martial watanisupport katika hili]

Paul Pogba ni mchezaji ambaye amekuwa akitegemewa sana washabiki kufanya mambo makubwa kwenye timu ambayo ilikuwa inapitia changamoto nyingi sana hususan kwenye nyakati ngumu. Hili lilipelekea Pogba abakie ndiye mchezaji pekee ambaye macho yote ya washabiki yapo kwake, alitegemewa sana abadilishe matokeo na kuthibitisha kuwa yeye anastahili kubeba uzito wa heshima aliyopewa na club.

Ngoja niweke sawa jambo moja hapa, katika siku za nyuma kidogo, sio Pogba ndiye aliyetufanya tucheze kiwango cha chini, tatizo lilikuwa ni team na management kwa ujumla. Katika ule wakati nakuhakikishieni kuwa hata hata Bruno Miguel Fernandez angekuwa Man Utd, mngemkataa tu! In other words, B. Fernandez ni mchezaji sahihi, kwenye timu sahihi, kwa wakati sahihi.. na ninaweza kusema hiyo imekuwa ni bahati nzuri kwake pia.

Naomba niweke hivi mtazamo wangu.. mshabiki kwa sasa, tunatakiwa tutulie tuwaamini wachezaji na kocha wetu Ole Gunner Solskjaer, waijenge timu kwa pamoja, tuachane na chuki juu ya wachezaji wetu. Lazima tuwe na subira, Roma haikujengwa kwa siku moja. Haya mambo sio mageni, hata Sir. Alex Ferguson kashapitia changamoto nyingi sana zaidi ya huyu OGS. Lakini baada ya kuamininiwa kwa kupewa muda aliweza kuijenga Man United anayoitaka yeye, na sisis tukaipenda, ndio hii tunayohangaika nayo hivi sasa tena.

Keep Calm, Pogba atatulia, atapambana na wenzake, na sote tutampenda.
Wengi tunaopingana na Pogba tunapingana naye kwa attitude zake..Na kama unavyojua Pogba ana big Personality kwahiyo kuharibu dressing room ni sekunde tu

Angekuwa ni mtu anayejali na kuipenda hii timu yetu angefanya yafuatayo;

✓Angejitokeza kupinga kauli za kaka yake ambaye amekuwa akiongea na Media kuhusu mdogo wake kutaka kuondoka United

✓Angemkanya wakala wake roporopo maana yeye ndo bosi wake..Vijana wanapambana waingie Top Four wakala wake anaanza kuleta stori za kuwa mteja wake yupo kwenye timu isiyokuwa na structure ya kueleweka..Like serious??

✓Yupo tayari kuwaza kuhusu Kucheza Euro's kuliko kuipambania timu inayomlipa mpunga wa kutosha na kumpa maisha..Refer surgery aliyoifanya..kulikuwa kuna uwezekano wa kufanyika baada ya season kuisha

Pogba ni mchezaji mzuri mwenye talent kubwa lakini tunahitaji mengi zaidi kutoka kwake..I'm keen to see how we shall handle him when he will be fit..Ole inabidi aonyeshe maturity yakutosha na sio kumremba remba

Na kama nilivyosema jana"kwa sasa Pogba anatuhitaji sisi kuliko sisi tunavyomuhitaji"..so it is up to him kuonyesha kuwa anahitaji kubaki na kupambania timu..Otherwise sitojali akipigwa bei,maana tunaweza kuongeza wachezaji na tukaimarika zaidi bila yeye

Just an opinion
 
Okay... nimekuelewa mkuu!

What if Paul akiendelea kukaa kimya nevertheless his either brother or boss are talking towards his heritage with the club, move on with his off-pitch personal stuffs, but when it comes to the match on the pitch anakichafua na analink vizuri na wachezaji wenzake na team inaperform zaidi ya hata saivi...? What will be your concern anyway?
Na kawa linawaathiri wachezaji wenzake je??

Mfano,Waseme Pogba amezungukwa na wachezaji vilaza..so kisa Pogba anaperform basi itakuwa sawa kwa wao kuongea lolote tu wanalojisikia??
 
Upo sawa

Kwangu mimi United and Paul needs to separate for every part best interests

Kwangu mimi pande hizo zilifikia point of no return pale PP aliposema anahitaji new challenge summer iliyopita, pale Raiola aliposema hata Pele na Maradona wange flop wakichezea United, pale kaka zake zaidi ya mara moja walipoweka wazi kuwa PP ataondoka United.

Kuna uoumbavu mwingi sana uliofanywa na Pogba's camp katika kui undermine my Manchester United, that should never be tolerated.

Siku akiondoka nitakula pilau, walahi hata kama hiyo ratiba haikuwepo
Wengi tunaopingana na Pogba tunapingana naye kwa attitude zake..Na kama unavyojua Pogba ana big Personality kwahiyo kuharibu dressing room ni sekunde tu

Angekuwa ni mtu anayejali na kuipenda hii timu yetu angefanya yafuatayo;

✓Angejitokeza kupinga kauli za kaka yake ambaye amekuwa akiongea na Media kuhusu mdogo wake kutaka kuondoka United

✓Angemkanya wakala wake roporopo maana yeye ndo bosi wake..Vijana wanapambana waingie Top Four wakala wake anaanza kuleta stori za kuwa mteja wake yupo kwenye timu isiyokuwa na structure ya kueleweka..Like serious??

✓Yupo tayari kuwaza kuhusu Kucheza Euro's kuliko kuipambania timu inayomlipa mpunga wa kutosha na kumpa maisha..Refer surgery aliyoifanya..kulikuwa kuna uwezekano wa kufanyika baada ya season kuisha

Pogba ni mchezaji mzuri mwenye talent kubwa lakini tunahitaji mengi zaidi kutoka kwake..I'm keen to see how we shall handle him when he will be fit..Ole inabidi aonyeshe maturity yakutosha na sio kumremba remba

Na kama nilivyosema jana"kwa sasa Pogba anatuhitaji sisi kuliko sisi tunavyomuhitaji"..so it is up to him kuonyesha kuwa anahitaji kubaki na kupambania timu..Otherwise sitojali akipigwa bei,maana tunaweza kuongeza wachezaji na tukaimarika zaidi bila yeye

Just an opinion

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rooney mwenyewe aliwahi kuomba kuondoka baada ya kuona hamna usajili wa maana alitulia baada ya kumleta van persie kuna muda mchezaj nae anakuwa na malengo tusiangalie upande wetu tu ronaldo aliomba kuondoka kwa ajili ya madrid tena mara mbili kamamwambia babu simtetei pogba hapana kuna muda timu yetu hakukua na la maana
 
Valvede kijana wa kazi
Breaking news;POGBA KUBAKI UTD!??
kuna taarufa zimetoka kwamba kuna uwezekano wa pogba kubaki UTD 7bu ya kutokuwa na suitor aliye tayari kulipa dau kubwa kumnunua na Kumlipa mshahara mkubwa atakao utaka..

Kwa kukumbushia JUVE pekee ndo panaonekana ni likely destination ya pogba since Madrid walishajitoa kwny mbio za kumnunua kutokana na kina bwana mdogo Valverde kukichafua pale kati..

My take; Muda utatupa majibu..tuwe wavumilivu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom